Highlands FM
Highlands FM
27 September 2023, 13:07
Baadhi ya wazazi wamekuwa wakiwahusisha watoto wadogo kwenye sherehe hali inayopelekea watoto kubadilika tabia na wengine kushindwa kuendelea na masomo na kuwa wanenguaji katika sherehe hizo. Na Samwel Mpogole Afisa Tarafa wa Sisimba Jijini Mbeya John Mboya amewataka wazazi na…
26 September 2023, 16:20
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya wanafunzi wilayani Kyela kujiingiza katika vitendo viovu na kupelekea kushindwa kuendelea na masomo kutokana na sababu mbalimbali na wengine kujiingiza katika wimbi la uhalifu. Na Samwel Mpogole.. Imeibuka tabia kwa baadhi ya vijana katika…
25 September 2023, 17:52
Baadhi ya wananchi waishio mipakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya chanjo ya polio kwani baadhi yao wameshindwa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo hiyo. Na Samwel Mpogole Wananchi waishio mpakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali…
22 September 2023, 13:10
Unapoingia katika ndoa au mahusiano huwezi kufikiria hata kidogo kwamba asilimia kubwa ya ndoa au mahusiano hayo kufeli, ndoa au mahusiano yanaweza kufeli kwa sababu nyingi na iwapo ndoa yako ilianguka na kufeli sababu kubwa yaweza kuwa na tofauti nyingine.…
22 September 2023, 12:44
Maambukizi ya virusi vya polio ni maambukizi yanayoathiri mfumo wa neva na huweza kusababisha udhaifu wa misuli au kupooza,Ugonjwa huu ni adimu, kwa kuwa chanjo imepunguza uwepo wa virusi hivi katika nji nyingi. na mwanaisha makumbuli Mkuu wa Mkoa wa…
22 September 2023, 12:21
Ukatili ni hali ya kusababisha kwa makusudi mateso na kukosesha raha dhidi ya mtu mwingine, ilihali suluhisho la wazi linapatikana kwa urahisi. Na Mwanaisha Makumbuli Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Benjamin Kuzaga amesema kuwa jeshi la polisi kupitia dawati…
20 September 2023, 14:14
Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii ESRF Tanzania inaendesha mafunzo kwa waandishi wa habari wa Radio Jamii nchini ili kusaidia katika juhudi za kuboresha huduma za afya katika jamii na isack mwashiuya Mafunzo hayo ya siku 4 yameanza rasmi…
20 September 2023, 13:09
Kwa mujibu wa sera ya maji ,Maji ni muhimu kwa viumbe vyote duniani, bila maji hakuna uhai. Aidha maji ni muhimu kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na usafi…
15 September 2023, 19:35
Na Mwandishi wetu Isack Mwashiuya Imebainika kuwa ‘ubize’ wa wazazi na ushiriki mdogo kwa akina baba katika malezi ya mtoto tangu anapozaliwa ni moja kati ya sababu ya watoto wengi kuwa na uwezo mdogo wa uelewa na kuwa wazito katika…
15 September 2023, 18:21
Mafunzo ya uelimishaji rika kwa vijana yatasaidia kuondoa changamoto katika masuala ya afya na uchumi. Na mwandhisi wetu Samwel Mpogole Vijana wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupata mafunzo ya uelimishaji rika kwa lengo la kusaidia vijana wengine waliopo kwenye jamii kuepukana…
Welcome to Mbeya Highlands FM, your premier source for quality radio broadcasting in Tanzania. We are committed to bringing you the best in news, entertainment, and music, and strive to make your listening experience as enjoyable and informative as possible.
Our team of dedicated professionals works tirelessly to produce high-quality content that reflects the interests and needs of our listeners. From breaking news stories and in-depth interviews to the latest music hits and cultural programming, we cover a wide range of topics that are relevant to our community.
At Mbeya Highlands FM, we believe in the power of radio to connect people and foster dialogue. Our programming is designed to reflect the diversity of our community and promote understanding and appreciation of different cultures and perspectives. Whether you’re tuning in for the latest news updates or just looking to relax and enjoy some great music, we’ve got you covered.
Our station is committed to supporting local talent and promoting homegrown artists. We regularly feature interviews and performances by local musicians, and showcase the vibrant arts and culture scene in our region. We also provide a platform for community members to share their views and opinions on important issues affecting our society.
With our state-of-the-art facilities and experienced team of professionals, Mbeya Highlands FM is dedicated to delivering the highest quality radio programming in Tanzania. We are always looking for ways to improve our service and welcome your feedback and suggestions.
Thank you for choosing Mbeya Highlands FM as your go-to source for quality radio broadcasting. We look forward to serving you and keeping you informed and entertained for years to come.