![](https://radiotadio.co.tz/mkoanifm/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
![](https://radiotadio.co.tz/mkoanifm/wp-content/uploads/sites/27/2024/05/redio-jamii-mkoani-pemba-150x150.png)
11 October 2023, 5:28 pm
Mskilizaji sayansi imeeleza uzazi wa mpango ni njia muhimu ya kukuza afya ya mama na mtoto, uzazi wa mpango ni njia rahisi ya kunyonyesha mtoto hadi kufikia miaka miwili. Licha ya maelekezo hayo ya dini na ya kisayansi bado jamii…
10 October 2023, 11:03 pm
Wakulima Zanzibar wametakiwa kulima kilimo cha kisasa ili waendane na mapinduzi makubwa ya kilimo ulimwenguni ili waweze kujikomboa kupitia kilimo kwa kujihakikishia kupata chakula cha uhakika. Na Fatma Rashid Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh. Othamn Masoud Othmani…
10 October 2023, 5:12 pm
Amina Masoud Suala la kujiuliza je, ndoa inashabihianaje na afya, ndoa ni makubaliano ya hiari kati ya mwanamke na mwanamme. Kila anayeingia katika ndoa anahitaji kupata tulizo la moyo wake na hapa wahenga walisemaa tulizo la moyo ni kupata mke…
8 October 2023, 10:26 pm
Kuwepo kwa changamoto ya usafiri wa anga kisiwani Pemba kumepelekea kuengezeka kwa kampuni nyengine ya usafirishaji abiria kwa njia ya anga. Na Fatma Rashid. Wazir wa ujenzi mawasoliano na uchukuzi Dr Khalid Salim Mohd amesema Ujenzi wa uwanja wa ndege…
5 October 2023, 10:23 am
Waandishi wahabari kisiwani Pemba wametakiwa kusaidia jamii kupambanana na udhalilisha wa aina yoyote ile sambamba na kutoa elimu juu ya vitendo hivyo ambavyo bado vimo ndani ya jamii. Na Khadija Rashid Jumuiya ya KUKHAWA kisiwani Pemba imezitaka kamati za kuibua…
3 October 2023, 10:55 am
Kukamilika kwa miradi ya maji safi kisiwani Pemba yanayotarajia kufikia kila kijiji baada ya kukamilika miradi hiyo itafika kila kijiji na kuwafikia wananchi kwa masaa 24 bila ya kukatika. Na fatma Rashid Msimamizi wa huduma za jamii kutoka Ofisi ya…
30 September 2023, 6:03 pm
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar haijaridhishwa na utengenezaji wa mradi wa barabara ya Chakechake – Wete, ambayo imeshatumia miezi 19 tangu ilipoanza kutengenezwa. Na fatma Rashid Waziri wa ujenzi mawasiliano na uchukuzi Dkt. Khalid Salum Mohd amesema hajaridhishwa na utendaji kazi…
29 September 2023, 4:37 pm
Wananchi waache kuchafua mazingira ya bahari ili ibaki katika haiba yake na kuwalinda viumbe hai wanaopatikana ndani yake. Na fatma Rashid. Waziri wa Ujenzi, Mawasoliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt. Khalid Salim Ali ameitaka jamii kuacha tabia ya kutupa taka ovyo…
27 September 2023, 11:15 pm
Kutokana kwa uwepo wa wanawake wachache kwenye sekta ya bahari hasa kuwa mabaharia ndio asasi mbali mbali kuungana kuhamasisha maskuli ili wasome masomo ya sayansi wawepo kwenye sekta hiyo. Na Fatma Rashid Wanafunzi kisiwani Pemba wametakiwa kizingatia masomo ya sayansi…
26 September 2023, 7:38 am
“Usafiri wa baharini ni usafiri salama kama vile maeneo mengine yanayotoa huduma za usafiri hivyo wananchi tutumie usafiri wa baharini kwa shuguli zetu mbalimbali za kimaisha kwani ni sehemu salama na Tanziania imeimarisha utoaji wa huduma za usafiri baharini“ Na…
Kiswahili
Radio Jamii Mkoani ni taasisi isio ya kiserekali na isilo na lengo la kugawana faida. Taasisi hii ilianzishwa kwa makubaliano ya pamoja ya wanajamii wa Wilaya ya Mkoani kua ni kituo cha Radio ambacho kitarusha matangazo yake kwa mustakbali wa maendeleo ya jamii.
Kituo hichi kilifungiliwa rasmi tarehe 03/01/2015 na kusajiliwa rasmi mnamo 13/06/2016 nakupewa lesi ya utangazaji na Tume ya Utangazaji Zanzibar (Zanzibar Broadcasting Commission) chini ya sheria ya mwaka 2003 kifungu 12 (1) cha huduma za utangazaji.
Lengo kuu la kunzishwa taasisi hii ni kuchangia katika kuleta maendeleo endelevu na kupunguza matatizo mbali mbali yanayorudisha nyuma maendeleo ya jamii katika Wilaya ya Mkoani na maeneo mengine ya karibu kupitia programu mbali mbali za Radio na mitandao ya kijamii.
Kituo hichi kina wataalamu mbali mbali waliobobea katika kuandaa na kurusha programu na vipindi mbali mbali vinavyotoa mwamko wa maendeleo na kupunguza matatizo yanayoikumba jamii zetu. Hadi kufikia sasa, Kituo hichi kimejijengea sifa za kutosha katika kipengele cha kuelimisha jamii kupitia program zilizoandaliwa kwa umakini mkubwa kikishirikiana na taasisi mbali mbali.
Radio jamii imefanikiwa kuendesha program za kupambana na ubaguzi wa kijinsia, ndoa za utotoni, kutumikishwa kwa watoto, migogoro ya kijamii, malezi mabovu, vitendo vya ukatili, ubakaji, wizi wakupindukia, tabia mbovu, madawa ya kulevya, miripuko ya maradhi mbali mbali, uharibifu wa mazingira nk. Pia, imehamasisha mambo mbali mbali mazururi ikiwemo ubunifu wa ajira kwa vijana, kutafuta elimu, uzalishaji mali, stadi za maisha, kutoa elimu ya uraiya na kuhamasisha wanawake kushiriki kwenye nafasi za uongozi.
DIRA
Kuwa chombo imara cha kuunganisha jamii kuwa moja iliyoelimika yenye afya na uchumi imara
DHAMIRA
Kukuza Maendeleo ya Wilaya ya Mkoani Kiuchumi, Kielimu, Kiafya na kuanzisha Jukwaa la mjadala wa kuleta Maendeleo ya Wilaya.
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
English
Mkoani Community Radio is not for profits, it is a non governmental Organization established by nationalists from Mkoani District in 2015 and was official registered under the society Act No.6 of 1995 of Zanzibar Revolutionary Government for the purpose of contributing in national and global efforts of bring about sustainable development and poverty reduction in the community by providing community radio broadcasting services at Mkoani areas and adjacent locales.
The Radio contributes to the social economic and political wealth of our local community in Mkoani areas and adjacent setting by providing access to a truly independent, community owned and run local radio station. It has professional and experienced personnel on local and National level Radio broadcasting program. It works through its already established structures led by Executive committee that is responsible for day –to day management of the station which include planning ,implementation and monitoring of the activities.
VISSION
To be a strong institution this will build a united community, educated and economical wel being.
MISSION
To enhance the development of Mkoani district economically, educationally and good health condition. to develop a fourm to discuss and bring Mkoani district in a sustainable Development.