

17 October 2024, 5:01 pm
Na Nyamizi Mdaki Mkuu wa Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora Mohamed Mtulyakwaku amesema nyumba nzuri inaendana na msingi imara hivyo wananchi wanapaswa kujiorodesha kwenye daftari la orodha ya wapiga kura ili wapate viongozi bora. Mtulyakwaku ametoa rai kwenye uzinduzi wa…
27 September 2024, 4:39 pm
Wananchi wamesisitizwa kuendelea kutoa taarifa za uhalifu kwa jeshi la polisi ili kudhibiti vitendo hivyo. Na Nyamizi Mdaki Mtu mmoja mwenye umri wa miaka 27 mkazi wa Usinge Mkoani Tabora John Machibya ameuawa katika purukushani na jeshi la polisi. Kamanda…
26 September 2024, 10:40 am
Kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Uyui inafanya ziara ya ufuatiliaji na ukaguzi wa miradi inayotekelezwa na serikali katika majimbo ya Tabora Kaskazini na Igalula. Na Nyamizi Mdaki Kamati ya siasa ya Halmashauri kuu ya CCM…
24 September 2024, 4:32 pm
Katika eneo hilo wananchi wamekuwa wakipata tabu ya kuvuka hususasni kipindi cha masika na kusababisha maafa ya watoto,kuibiwa na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Na Salma Abdul Wananchi wa kata ya chemchem Manispaa ya Tabora wamechangia fedha na nguvu kazi…
9 September 2024, 2:22 pm
Uamuzi wa kujenga daraja hilo ulipitishwa kwenye mkutano wa kijiji kutokana na adha kubwa ya kuvuka katika eneo hilo hasa kipindi cha masika. Na Zaituni Juma. Wakazi wa kitongoji cha Ufunga kijiji cha Tumbi Manispaa ya Tabora wameanza ujenzi wa…
29 August 2024, 6:12 pm
Baadhi ya jamii zimekuwa na mtazamo hasi kuwa vijana hawawezi kushika nafasi mbalimbali za uongozi Na zaituni Juma. Jamii imetakiwa kuona umuhimu wa vijana kuongoza nafasi mbalimbali kwani wao pia wana uwezo wa kutatua matatizo yanayowakabili wanachi wa maeneo husika.…
14 August 2024, 9:56 am
Vifaa tiba vilivyotolewa vina thamani ya zaidi ya shilingi milioni sita. Na Salma Abdul Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha amepokea vifaa tiba ikiwemo viti mwenda pamoja na vitanda kwaajili ya kusaidia utoaji wa huduma mbalimbali za matibabu katika…
9 August 2024, 9:07 pm
Kaulimbiu ya maonesho ya nane nane mwaka huu ni ‘’Chagua viongozi bora wa serikali za mitaa kwa maendeleo endelevu ya kilimo,mifugo na uvuvi. Na Zaituni Juma Serikali imewaagiza waratibu wa maonesho ya nane nane kanda ya magharibi kuandaa mpango mahususi…
6 August 2024, 1:37 pm
Kiongozi mstaafu wa ACT wazalendo ZITTO KABWE yupo mkoani Tabora kwa ziara ya siku 6 ambayo imelenga kutangaza sera za chama hicho. Na Zaituni Juma Kiongozi mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo ZITTO KABWE amesema ili kuleta maendeleo ni…
1 August 2024, 10:54 am
Jamii imesisitizwa kutoa taarifa za vitendo vya ukatili kwa jeshi la polisi ili vishughulikiwe. Na Adela Moses Mtoto mwenye umri wa miaka saba mwanafunzi wa shule ya Mtakatifu Doroth Manispaa ya Tabora amedaiwa kulawitiwa na mwalimu wake. Hayo yamebainishwa na…