Recent posts
23 October 2024, 4:48 pm
Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia uadilifu
Mfumo mpya wa manunuzi NEST umetajwa kuondoa urasimu na kuongeza uwajibikaji. Na Nyamizi Mdaki Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amezitaka taasisi zinazojihusisha na manunuzi mbalimbali kuzingatia maadili wakati wa kusimamia na kugawa zabuni zinazotangazwa. Mkuu wa Mkoa ameeleza…
18 October 2024, 2:52 pm
Viongozi wa dini Tabora wahamasisha uandikishaji
Zoezi la kujiorodesha katika daftari la mpiga kura kwaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa linafikia tamati oktoba 20 mwaka huu. Na Nyamizi Mdaki Wananchi Mkoani Tabora wakumbushwa kwenda kujiandikisha ili wapate sifa za kuwachagua viongozi wanaowahitaji. Rai hiyo imetolewa…
17 October 2024, 5:01 pm
Dc Mtulyakwaku: Nendeni mkajiorodheshe mpate viongozi bora
Na Nyamizi Mdaki Mkuu wa Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora Mohamed Mtulyakwaku amesema nyumba nzuri inaendana na msingi imara hivyo wananchi wanapaswa kujiorodesha kwenye daftari la orodha ya wapiga kura ili wapate viongozi bora. Mtulyakwaku ametoa rai kwenye uzinduzi wa…
27 September 2024, 4:39 pm
Auawa katika purukushani na Jeshi la Polisi
Wananchi wamesisitizwa kuendelea kutoa taarifa za uhalifu kwa jeshi la polisi ili kudhibiti vitendo hivyo. Na Nyamizi Mdaki Mtu mmoja mwenye umri wa miaka 27 mkazi wa Usinge Mkoani Tabora John Machibya ameuawa katika purukushani na jeshi la polisi. Kamanda…
26 September 2024, 10:40 am
Kamati ya siasa Uyui yaridhishwa na mradi wa maji
Kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Uyui inafanya ziara ya ufuatiliaji na ukaguzi wa miradi inayotekelezwa na serikali katika majimbo ya Tabora Kaskazini na Igalula. Na Nyamizi Mdaki Kamati ya siasa ya Halmashauri kuu ya CCM…
24 September 2024, 4:32 pm
Shilingi milioni 10 zachangwa na wananchi kujenga daraja
Katika eneo hilo wananchi wamekuwa wakipata tabu ya kuvuka hususasni kipindi cha masika na kusababisha maafa ya watoto,kuibiwa na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Na Salma Abdul Wananchi wa kata ya chemchem Manispaa ya Tabora wamechangia fedha na nguvu kazi…
9 September 2024, 2:22 pm
Wakazi wa Ufunga Manispaa ya Tabora waamua kujenga daraja la miti
Uamuzi wa kujenga daraja hilo ulipitishwa kwenye mkutano wa kijiji kutokana na adha kubwa ya kuvuka katika eneo hilo hasa kipindi cha masika. Na Zaituni Juma. Wakazi wa kitongoji cha Ufunga kijiji cha Tumbi Manispaa ya Tabora wameanza ujenzi wa…
29 August 2024, 6:12 pm
Wapeni nafasi vijana kuwaongoza-katibu wazazi CCM Tabora
Baadhi ya jamii zimekuwa na mtazamo hasi kuwa vijana hawawezi kushika nafasi mbalimbali za uongozi Na zaituni Juma. Jamii imetakiwa kuona umuhimu wa vijana kuongoza nafasi mbalimbali kwani wao pia wana uwezo wa kutatua matatizo yanayowakabili wanachi wa maeneo husika.…
14 August 2024, 9:56 am
Hospitali wilaya ya Tabora yapata vifaa tiba
Vifaa tiba vilivyotolewa vina thamani ya zaidi ya shilingi milioni sita. Na Salma Abdul Mkuu wa mkoa wa Tabora Paul Chacha amepokea vifaa tiba ikiwemo viti mwenda pamoja na vitanda kwaajili ya kusaidia utoaji wa huduma mbalimbali za matibabu katika…
9 August 2024, 9:07 pm
Serikali kuboresha viwanja vya nanenane Tabora
Kaulimbiu ya maonesho ya nane nane mwaka huu ni ‘’Chagua viongozi bora wa serikali za mitaa kwa maendeleo endelevu ya kilimo,mifugo na uvuvi. Na Zaituni Juma Serikali imewaagiza waratibu wa maonesho ya nane nane kanda ya magharibi kuandaa mpango mahususi…