Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
29 April 2023, 11:07 am
Ni zaidi ya miaka kumi shule ya msingi Madaraka imehamishwa kutokana na mafuriko yaliyoingia shuleni hapo na kupelekea wanafunzi kuhamishwa Jumuiya ya wazazi wameishauri serikali kuikarabati shule hiyo. “Majengo tumeyaona na tatizo kubwa lililofanya shule hiyo kuhamishwa ilikuwa ni mafuriko…
28 April 2023, 1:42 pm
Ili kukomesha vitendo vya kikatili vya ubakaji viongozi na wananchi wanatakiwa kuungana kwa pamoja ili kupinga vitendo hivyo kwa kuwa vinachangia kudhorotesha ndoto za watoto na wengine kupata mimba za utotoni. Watoto kwa bahati mbaya mkifanyiwa ukatili huo toeni taarifa…
27 April 2023, 10:13 am
Viongozi wa kata na vijiji wilayani Kilosa wametakiwa kujiwekea malengo ya upandaji miti kuanzia ngazi ya kata kupanda miti takribani 500 kwa mwezi ili kutimiza azma ya serikali ya kufikisha idadi ya miti milioni moja na nusu kwa mwaka 2022…
26 April 2023, 7:31 pm
Wahitimu 256 wa chuo cha ualimu Ilonga watakiwa kwenda kuleta maendeleo yenye tija kwenye sekta ya elimu kwa kutumia ujuzi na maarifa waliyopatiwa kipindi chote ambacho walikua chuoni hapo. “Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu…
21 April 2023, 10:42 am
Zao la alizeti ni zao ambalo ni la muda mfupi pia linastahimili mvua kidogo hivyo mkulima atanufaika kwenye mazao ambayo atajikwamua kiuchumi kwa haraka tofauti na mazao mengine. “Mvua zimerudi kwa kipindi kingine ambacho mkulima awali alipanda mazao kama mahindi…
16 April 2023, 6:28 pm
Wananchi waaswa kuwa na karibu na watoto ili kuwafundisha maadili mema ambayo yatawasaidia kujihusisha na matendo maovu ikiwemo ushoga ambao umeikumba dunia kwa sasa. “Dunia kwa sasa imegubikwa na ushoga vijana wengi wengi wanaingia kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja…
12 April 2023, 9:29 am
Serikali imewakabidhi pikipiki maafisa ugani wote wilayani Kilosa ili kuondokana na adha walioyokuwa wanaipata ya usafiri na kushindwa kuwafikia wakulima wengi kwenye mashamba yao na kutatua changamoto. “Tunaishukuru serikali kwa kuiona kwa jicho la pekee wizara yetu ya kilimo kwa…
10 April 2023, 1:37 pm
Waliotajwa katika ripoti ya CAG watakiwa kuachia ngazi za madaraka walizonazo kutokana na ubadhirifu walioufanya kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria. “Serikali imepata hasara kubwa kutokana na watumishi wenye nia ovu na kama Rais alishasema wapishe, kama chama cha mapinduzi…
8 April 2023, 10:40 pm
Serikali ikiwa katika kumaliza migogoro ya wakulima na wafugaji wilayani Kilosa imeamua kuanzisha majaribio ya mashamba ya malisho ili kunusuru mifugo kuchungiwa kwenye mashamba ya mazao. “Tabia ya wafugaji kuingiza mifugo kwenye mashamba ya wakulima imekua ni mazoea kwa kuwa…
7 April 2023, 1:07 pm
Adha wanayoipata kwa sasa wanafunzi wa shule ya msingi Mambegwa ni kukaa chini pamoja na kusomea kwenye majengo ya muda yaliyojengwa na wananchi baada ya majengo ya kudumu ya shule hiyo kusombwa na maji. Na Asha Madohola Hatimaye kijiji cha…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu