Radio Jamii Kilosa

Recent posts

19 May 2023, 3:19 pm

Wazazi na walezi shirikianeni na walimu kuwapatia malezi bora watoto

Kushamiri kwa vitendo viovu vya ubakaji na ulawiti wa watoto wa kiume na wa kike vinavyofanywa na wananchi wasiokuwa na maadili mema serikali imedhamiria kuwekeza nguvu zaidi katika kukomesha vitendo hivyo vinavyotokea hususan kuanzia ngazi ya familia, shuleni na mitaani.…

29 April 2023, 5:52 pm

Wanafunzi Kilosa waaswa kuacha kutumia mitandao ya kijamii

Kutokana na matukio ya kujiingiza kwenye mapenzi ya jinsia moja wananchi wametakiwa kuwa makini na wageni ambao wanaowakaribisha majumbani mwao na kuwalaza katika vyumba vya watoto jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa watoto kwa kufanyiwa vitendo visivyofaa. “Wanafunzi hakikisheni…

28 April 2023, 1:42 pm

Watoto waaswa kutoa taarifa wakifanyiwa ukatili wa ubakaji

Ili kukomesha vitendo vya kikatili vya ubakaji viongozi na wananchi wanatakiwa kuungana kwa pamoja ili kupinga vitendo hivyo kwa kuwa vinachangia kudhorotesha ndoto za watoto na wengine kupata mimba za utotoni. Watoto kwa bahati mbaya mkifanyiwa ukatili huo toeni taarifa…

21 April 2023, 10:42 am

Wakulima wa Kilosa wanashauriwa kupanda alizeti

Zao la alizeti ni zao ambalo ni la muda mfupi pia linastahimili mvua kidogo hivyo mkulima atanufaika kwenye mazao ambayo atajikwamua kiuchumi kwa haraka tofauti na mazao mengine. “Mvua zimerudi kwa kipindi kingine ambacho mkulima awali alipanda mazao kama mahindi…

16 April 2023, 6:28 pm

Mmomonyoko wa maadili wawaibua viongozi wa dini Kilosa

Wananchi waaswa kuwa na karibu na watoto ili kuwafundisha maadili mema ambayo yatawasaidia kujihusisha na matendo maovu ikiwemo ushoga ambao umeikumba dunia kwa sasa. “Dunia kwa sasa imegubikwa na ushoga vijana wengi wengi wanaingia kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja…

12 April 2023, 9:29 am

Maafsa ugani Kilosa sasa kuwafikia wakulima vijijini kwa haraka.

Serikali imewakabidhi pikipiki maafisa ugani wote wilayani Kilosa ili kuondokana na adha walioyokuwa wanaipata ya usafiri na kushindwa kuwafikia wakulima wengi kwenye mashamba yao na kutatua changamoto. “Tunaishukuru serikali kwa kuiona kwa jicho la pekee wizara yetu ya kilimo kwa…

MISSION AND VISSION

Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu