Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
30/05/2023, 23:05
Katika juhudi za kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha huduma za afya nchini , Umoja wa Wanawake Tanzania UWT wilaya ya Kilosa wametembelea kituo cha Afya Kidodi kuwafariji wagonjwa pamoja na kutoa misaada ya kijamii kama vile sabuni na mashuka…
30/05/2023, 14:57
Miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya sita inadhamiria kuondoa adha za wananchi wanazokabiliana nazo ikiwemo katika sekta ya elimu, afya na masuala ya kijamii ambayo ili kukamilika inahitaji jitihada za wananchi kuunga mkono jitihada hizo hususan kujitolea nguvu…
30/05/2023, 10:14
Serikali imedhamiria kuondoa adha za sekta ya elimu nchini kwa kuwaletea mradi wa Boost ambao umeanzishwa kwa makusudio ya uboreshaji wa miundombinu kwa madarasa ya awali na msingi, kuimarisha mapito ya wanafunzi wa awali na msingi kwa kuweka mpango wa…
19/05/2023, 15:19
Kushamiri kwa vitendo viovu vya ubakaji na ulawiti wa watoto wa kiume na wa kike vinavyofanywa na wananchi wasiokuwa na maadili mema serikali imedhamiria kuwekeza nguvu zaidi katika kukomesha vitendo hivyo vinavyotokea hususan kuanzia ngazi ya familia, shuleni na mitaani.…
12/05/2023, 22:45
Makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru kutoka wilayani Kilosa yamefanyika wilaya ya Gairo ili kuendeleza falsafa ya Mwenge wa Uhuru kama ilivyoasisiwa na Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere ikiwa ni tunu ya kuleta amani katika Taifa na tumaini kulipokua…
29/04/2023, 17:52
Kutokana na matukio ya kujiingiza kwenye mapenzi ya jinsia moja wananchi wametakiwa kuwa makini na wageni ambao wanaowakaribisha majumbani mwao na kuwalaza katika vyumba vya watoto jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa watoto kwa kufanyiwa vitendo visivyofaa. “Wanafunzi hakikisheni…
29/04/2023, 11:07
Ni zaidi ya miaka kumi shule ya msingi Madaraka imehamishwa kutokana na mafuriko yaliyoingia shuleni hapo na kupelekea wanafunzi kuhamishwa Jumuiya ya wazazi wameishauri serikali kuikarabati shule hiyo. “Majengo tumeyaona na tatizo kubwa lililofanya shule hiyo kuhamishwa ilikuwa ni mafuriko…
28/04/2023, 13:42
Ili kukomesha vitendo vya kikatili vya ubakaji viongozi na wananchi wanatakiwa kuungana kwa pamoja ili kupinga vitendo hivyo kwa kuwa vinachangia kudhorotesha ndoto za watoto na wengine kupata mimba za utotoni. Watoto kwa bahati mbaya mkifanyiwa ukatili huo toeni taarifa…
27/04/2023, 10:13
Viongozi wa kata na vijiji wilayani Kilosa wametakiwa kujiwekea malengo ya upandaji miti kuanzia ngazi ya kata kupanda miti takribani 500 kwa mwezi ili kutimiza azma ya serikali ya kufikisha idadi ya miti milioni moja na nusu kwa mwaka 2022…
26/04/2023, 19:31
Wahitimu 256 wa chuo cha ualimu Ilonga watakiwa kwenda kuleta maendeleo yenye tija kwenye sekta ya elimu kwa kutumia ujuzi na maarifa waliyopatiwa kipindi chote ambacho walikua chuoni hapo. “Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu