Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
6 July 2023, 7:35 am
Kukamilika kwa daraja la Berega kutawaondolea adha ya muda mrefu ya upatikanaji wa usafiri waliyokuwa wanakabiliana nayo wananchi wa kata ya Berega ambayo ilichangia wananchi kupoteza maisha wakivuka kwenye mto wakati wa masika ili kufuata mahitaji muhimu ya kijamii. Viongozi…
6 July 2023, 7:04 am
Watumishi wapya kutoka Idara za Afya ,Elimu msingi na sekondari wametakiwa kujua kuwa wana jukumu la kutumikia jamii pamoja na kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kutimiza majukumu yao ipasavyo ili kuleta maendeleo chanya kwa jamii ya Kilosa. Na Gladys…
25 June 2023, 5:28 pm
Wakulima wa vitunguu kushindwa kunufaika na kilimo cha vitunguu kunatokana na kukosa ujuzi wa kuhifadhi mazao hivyo huwalazimu kuyauza kipindi ambacho mazao mengi yanakua sokoni. Unapotumia njia ya kidigitali ya uhifadhi wa vitunguu utakusaidia kuwa usalama wa mazao yako na…
21 June 2023, 4:10 pm
Katika kuhakikisha thamani ya mazao yanayolimwa wilayani Kilosa inaongezeka sokoni ni wajibu kwa wakulima kutumia mbolea za mboji na kuzalisha mazao yasiyo na kemikali za mbolea ya viwandani ambayo mazao hayo yanauzwa kwa gharama kubwa katika masoko ya nje. “Acheni…
30 May 2023, 11:05 pm
Katika juhudi za kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha huduma za afya nchini , Umoja wa Wanawake Tanzania UWT wilaya ya Kilosa wametembelea kituo cha Afya Kidodi kuwafariji wagonjwa pamoja na kutoa misaada ya kijamii kama vile sabuni na mashuka…
30 May 2023, 2:57 pm
Miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya sita inadhamiria kuondoa adha za wananchi wanazokabiliana nazo ikiwemo katika sekta ya elimu, afya na masuala ya kijamii ambayo ili kukamilika inahitaji jitihada za wananchi kuunga mkono jitihada hizo hususan kujitolea nguvu…
30 May 2023, 10:14 am
Serikali imedhamiria kuondoa adha za sekta ya elimu nchini kwa kuwaletea mradi wa Boost ambao umeanzishwa kwa makusudio ya uboreshaji wa miundombinu kwa madarasa ya awali na msingi, kuimarisha mapito ya wanafunzi wa awali na msingi kwa kuweka mpango wa…
19 May 2023, 3:19 pm
Kushamiri kwa vitendo viovu vya ubakaji na ulawiti wa watoto wa kiume na wa kike vinavyofanywa na wananchi wasiokuwa na maadili mema serikali imedhamiria kuwekeza nguvu zaidi katika kukomesha vitendo hivyo vinavyotokea hususan kuanzia ngazi ya familia, shuleni na mitaani.…
12 May 2023, 10:45 pm
Makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru kutoka wilayani Kilosa yamefanyika wilaya ya Gairo ili kuendeleza falsafa ya Mwenge wa Uhuru kama ilivyoasisiwa na Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere ikiwa ni tunu ya kuleta amani katika Taifa na tumaini kulipokua…
29 April 2023, 5:52 pm
Kutokana na matukio ya kujiingiza kwenye mapenzi ya jinsia moja wananchi wametakiwa kuwa makini na wageni ambao wanaowakaribisha majumbani mwao na kuwalaza katika vyumba vya watoto jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa watoto kwa kufanyiwa vitendo visivyofaa. “Wanafunzi hakikisheni…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu