Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
18 July 2023, 11:19 am
Ukosekanaji wa barabara unachangia kwa kiasi kikubwa kuzorota kwa maendeleo katika maeneo mengi hasa ya wananchi wanategemea kilimo kuwakomboa kiuchumi na wakati mwingine majanga kama vile vifo hutokea hususan kwa akinamama wajawazito kukosa usafiri pindi wanapojitaji kwenda Hospitali. Na Asha…
7 July 2023, 1:41 pm
Serikali imelenga kutoa elimu ya shughuli za kimaendeleo katika sekta ya ufugaji kwa vijana hususan wazawa ambao baada ya mafunzo hayo watakuwa mabalozi wazuri wa kusambaza elimu ya ufugaji wa kisasa katika ngazi ya familia na jamii nzima kwa ujumla…
6 July 2023, 4:50 pm
Kutokana na kuachwa wazi katika kata mbalimbali Tanzania bara, Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC ilitangaza kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 14 utakaofanyika Julai 13 mwaka huu na kampeni zilianza tangu Julai mosi hadi Julai 12 mwaka…
6 July 2023, 7:35 am
Kukamilika kwa daraja la Berega kutawaondolea adha ya muda mrefu ya upatikanaji wa usafiri waliyokuwa wanakabiliana nayo wananchi wa kata ya Berega ambayo ilichangia wananchi kupoteza maisha wakivuka kwenye mto wakati wa masika ili kufuata mahitaji muhimu ya kijamii. Viongozi…
6 July 2023, 7:04 am
Watumishi wapya kutoka Idara za Afya ,Elimu msingi na sekondari wametakiwa kujua kuwa wana jukumu la kutumikia jamii pamoja na kuunga mkono juhudi za Serikali kwa kutimiza majukumu yao ipasavyo ili kuleta maendeleo chanya kwa jamii ya Kilosa. Na Gladys…
25 June 2023, 5:28 pm
Wakulima wa vitunguu kushindwa kunufaika na kilimo cha vitunguu kunatokana na kukosa ujuzi wa kuhifadhi mazao hivyo huwalazimu kuyauza kipindi ambacho mazao mengi yanakua sokoni. Unapotumia njia ya kidigitali ya uhifadhi wa vitunguu utakusaidia kuwa usalama wa mazao yako na…
21 June 2023, 4:10 pm
Katika kuhakikisha thamani ya mazao yanayolimwa wilayani Kilosa inaongezeka sokoni ni wajibu kwa wakulima kutumia mbolea za mboji na kuzalisha mazao yasiyo na kemikali za mbolea ya viwandani ambayo mazao hayo yanauzwa kwa gharama kubwa katika masoko ya nje. “Acheni…
30 May 2023, 11:05 pm
Katika juhudi za kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha huduma za afya nchini , Umoja wa Wanawake Tanzania UWT wilaya ya Kilosa wametembelea kituo cha Afya Kidodi kuwafariji wagonjwa pamoja na kutoa misaada ya kijamii kama vile sabuni na mashuka…
30 May 2023, 2:57 pm
Miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya sita inadhamiria kuondoa adha za wananchi wanazokabiliana nazo ikiwemo katika sekta ya elimu, afya na masuala ya kijamii ambayo ili kukamilika inahitaji jitihada za wananchi kuunga mkono jitihada hizo hususan kujitolea nguvu…
30 May 2023, 10:14 am
Serikali imedhamiria kuondoa adha za sekta ya elimu nchini kwa kuwaletea mradi wa Boost ambao umeanzishwa kwa makusudio ya uboreshaji wa miundombinu kwa madarasa ya awali na msingi, kuimarisha mapito ya wanafunzi wa awali na msingi kwa kuweka mpango wa…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu