Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
17 November 2023, 2:19 pm
Katika kuboresha huduma bora za afya na kudhibiti upotevu wa mapato katika vituo vya afya na zahanati serikali imevitaka vituo hivyo kuimarisha usimamizi wa utumiaji wa mfumo wa GoT-HoMIS ambao utaleta ufanisi katika masuala ya usimamizi wa dawa,vifaa tiba, pamoja…
17 November 2023, 11:55 am
Serikali imeendelea kuwafikia wananchi waishio vijijini kwa kuwasogozea nyanja za ufunguzi wa maendeleo hususani katika ukarabati wa barabara kupitia wakala wa barabara za mijini na vijijini (TARURA) ambapo zinakwenda kuwaunganisha wananchi pamoja na kuwainua kiuchumi kwenye kilimo ambayo watayasafirisha hadi…
23 October 2023, 11:02 am
Shirika la Marekani la Maendeleo la Kimataifa (USAID), kupitia mradi wa Kilimo Tija wameanza kuboresha teknolojia za kisasa za kilimo nchini Tanzania sambamba na kuweka mifumo ya kilimo pamoja na masoko ya mazao ya mbogamboga na matunda kwa kutoa elimu…
9 September 2023, 2:19 pm
Katika kipindi cha miaka miwili Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa imeweza kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo kujenga shule za Awali, Msingi na Sekondari mpya ili kupunguza mrundikano wa wanafunzi. “Tumefanikiwa kuwafikia wanafunzi wanaotembea umbali mrefu kufika shuleni katika miradi…
5 September 2023, 8:44 am
Kukamilika kwa barabara hiyo kuleta neema kwa wananchi wa Mserereko ambao walikuwa wakitembea umbali mrefu ili kupata usafiri wa kuwapeleka kwenye mahitaji yao ya kijamii kama huduma za afya ambapo ikitokea mgonjwa au amefariki wanambeba mikononi kurudisha nyumbani. Na Asha…
23 July 2023, 11:37 am
Na Asha Madohola Katika kusherekea kilele cha wiki ya wananchi Julai 22 wanachama na mashabiki wa Tawi la Yanga Kilosa Mjini wamejitokeza kufanya usafi wa mazingira katika Kliniki ya Mama na Mtoto Kilosa. Wananchi hao wa jangwani waliamua kuungana kwa…
18 July 2023, 12:07 pm
Kupatiwa fedha na serikali katika mradi wa shule ya ujenzi wa uzio katika ya shule ya Mazinyungu unakwenda kuwanufaisha wanafunzi shuleni hapo ambao walikua wanakumbana na adha mbalimbali hususan ya usalama wao wawapo shule kwa kuwa shule hiyo ipo karibu…
18 July 2023, 11:19 am
Ukosekanaji wa barabara unachangia kwa kiasi kikubwa kuzorota kwa maendeleo katika maeneo mengi hasa ya wananchi wanategemea kilimo kuwakomboa kiuchumi na wakati mwingine majanga kama vile vifo hutokea hususan kwa akinamama wajawazito kukosa usafiri pindi wanapojitaji kwenda Hospitali. Na Asha…
7 July 2023, 1:41 pm
Serikali imelenga kutoa elimu ya shughuli za kimaendeleo katika sekta ya ufugaji kwa vijana hususan wazawa ambao baada ya mafunzo hayo watakuwa mabalozi wazuri wa kusambaza elimu ya ufugaji wa kisasa katika ngazi ya familia na jamii nzima kwa ujumla…
6 July 2023, 4:50 pm
Kutokana na kuachwa wazi katika kata mbalimbali Tanzania bara, Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC ilitangaza kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 14 utakaofanyika Julai 13 mwaka huu na kampeni zilianza tangu Julai mosi hadi Julai 12 mwaka…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu