Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
31 August 2024, 8:17 am
“Ustawi wa mwananchi wilayani Kilosa unategemea busara za Baraza hili, kila mmoja kwa nafasi yake ahakikishe malengo yaliyowekwa yanafikiwa kwa manufaa ya wana Kilosa na Taifa kwa ujumla na mkatumie mikutano yenu ya hadhara kuwahamasisha wananchi kujitokeza na kutumia haki…
28 August 2024, 12:59 pm
Na Asha Madohola Katika kuunga mkono juhudi za serikali kwenye sekta ya afya na Eeimu, benki ya NMB imetoa msaada wa madawati, meza na vifaa tiba ikiwemo mashine za kupimia mapigo ya moyo, magodoro na Mashuka vyenye thamani ya shilingi…
8 May 2024, 5:27 pm
Mitandao ya kijamii inachangia kwa kiasi kikubwa kuifikia jamii kubwa katika kuwahabarisha, kuwaunganisha na kudumisha upendo na amani hivyo wajibu kwa waandishi kuwa na weledi ya kutosha katika kuitumia mitandao hiyo. Na Asha Madohola Waandishi wa habari wa Redio Jamii…
7 May 2024, 11:46 am
Serikali imedhamiria kuondoa tatizo la uoni hafifu na kutokusikia kwa wanafunzi wa shule za msingi nchini kwa kuweka mpango madhubuti wa kuwapima macho na masikio wanafunzi wote na watakaobainika waweze kupatiwa matibabu mapema ili isiwaathiri katika usomaji wao. Na Asha…
9 April 2024, 3:07 pm
Serikali imedhamiria kwa dhati kumaliza changamoto za miundombinu ya barabara kwa kutengeneza madaraja, mifereji na makaravati wilayani Kilosa kwa kuondoa adha ya usafiri na kuwainua wananchi kiuchumi kwa kuweza kusafirisha mazao yao kuyapeleka kwenye masoko makubwa ambayo yatawaongezea kipato mara…
9 April 2024, 1:09 pm
Zimesalia siku chache ili kuisha kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambapo waislam duniani kote wamekuwa wakitimiza moja ya nguzo muhimu ya dini kwa kufunga na kufanya ibada na matendo mema huku wakidumisha amani, upendo na ushirikiano baina yao. Na Asha…
6 April 2024, 10:04 pm
Kutokana na mafuriko ya mara kwa mara yanayotokea wilayani Kilosa hususani katika kata ya Dumila na kupelekea kuathiri shughuli za kiuchumi serikali imedhamiria kumaliza changamoto hiyo kwa kutenga fedha zitakazotumika katika ujenzi wa tuta ambalo litakuwa suluhisho. Na Asha Madohola…
29 March 2024, 5:06 pm
Ili kuleta kasi ya maendeleo kwa wananchi wote watumishi inatakiwa waendane sambamba na miongozo ya kiserikali ya kiutendaji ambayo ndio itakua chachu pekee ya kuleta maendele. Na Asha Rashid Madohola Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg Michael…
18 March 2024, 1:50 pm
Katika kuhakikisha elimu inawafikia watoto wote nchini serikali imewekeza kuhakikisha shule za awali, msingi na sekondari zinakuwepo za kutosha hususan vijijini ambapo ilikuwa inawalazimu watoto kutembea umbali mrefu kwenda shule. Na Asha Rashid Madohola Mbunge wa jimbo la Kilosa Prof.…
10 March 2024, 1:05 am
Katika kuhakikisha wananchi wanaishi kwa usalama kipindi chote cha kiangazi na masika serikali imeamua kuwajenge mifereji ambayo itarahisha upitisha maji msimu wa mvua a na kupunguza maji kusambaa kwenye makazi ya watu na kuleta maafa. Na Asha Madohola Wananchi waishio…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu