Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
09/09/2024, 20:41
Mitandao ya kijamii imekuwa chanzo cha ongezeko la upashaji wa habari zisizo na ukweli kwa sababu watu wamekuwa wakitafuta umaarufu ama ufuatiliwaji na watu wengi katika kurasa za mitandao ya kijamii kwa kuwachafua wengine jambo ambalo mamlaka inapaswa kuweka misingi…
09/09/2024, 19:20
Waandishi wa habari wanawake wameziomba mamlaka husika kutambua mchango wao katika tasnia ya habari nchini yenye dhumuni la kuihabarisha jamii katika masuala mbalimbali kama vile ya kijamii, kiuchumi na kisiasa ili kuchagiza chachu ya maendeleo kupitia uhabarishaji. Na Asha Madohola…
04/09/2024, 12:54
Ili kuikuza sekta ya kilimo pamoja na kuhakikisha wakulima wanapata tija katika kilimo kwa kujikwamua kiuchumi, serikali imekuja na mpango wa kuwasajili wakulima katika mfumo wa kidijitali utakaowawezesha kupata ruzuku ya mbolea. Na Asha Madohola Wito umetolewa kwa wakulima wa…
31/08/2024, 08:17
“Ustawi wa mwananchi wilayani Kilosa unategemea busara za Baraza hili, kila mmoja kwa nafasi yake ahakikishe malengo yaliyowekwa yanafikiwa kwa manufaa ya wana Kilosa na Taifa kwa ujumla na mkatumie mikutano yenu ya hadhara kuwahamasisha wananchi kujitokeza na kutumia haki…
28/08/2024, 12:59
Na Asha Madohola Katika kuunga mkono juhudi za serikali kwenye sekta ya afya na Eeimu, benki ya NMB imetoa msaada wa madawati, meza na vifaa tiba ikiwemo mashine za kupimia mapigo ya moyo, magodoro na Mashuka vyenye thamani ya shilingi…
08/05/2024, 17:27
Mitandao ya kijamii inachangia kwa kiasi kikubwa kuifikia jamii kubwa katika kuwahabarisha, kuwaunganisha na kudumisha upendo na amani hivyo wajibu kwa waandishi kuwa na weledi ya kutosha katika kuitumia mitandao hiyo. Na Asha Madohola Waandishi wa habari wa Redio Jamii…
07/05/2024, 11:46
Serikali imedhamiria kuondoa tatizo la uoni hafifu na kutokusikia kwa wanafunzi wa shule za msingi nchini kwa kuweka mpango madhubuti wa kuwapima macho na masikio wanafunzi wote na watakaobainika waweze kupatiwa matibabu mapema ili isiwaathiri katika usomaji wao. Na Asha…
09/04/2024, 15:07
Serikali imedhamiria kwa dhati kumaliza changamoto za miundombinu ya barabara kwa kutengeneza madaraja, mifereji na makaravati wilayani Kilosa kwa kuondoa adha ya usafiri na kuwainua wananchi kiuchumi kwa kuweza kusafirisha mazao yao kuyapeleka kwenye masoko makubwa ambayo yatawaongezea kipato mara…
09/04/2024, 13:09
Zimesalia siku chache ili kuisha kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambapo waislam duniani kote wamekuwa wakitimiza moja ya nguzo muhimu ya dini kwa kufunga na kufanya ibada na matendo mema huku wakidumisha amani, upendo na ushirikiano baina yao. Na Asha…
06/04/2024, 22:04
Kutokana na mafuriko ya mara kwa mara yanayotokea wilayani Kilosa hususani katika kata ya Dumila na kupelekea kuathiri shughuli za kiuchumi serikali imedhamiria kumaliza changamoto hiyo kwa kutenga fedha zitakazotumika katika ujenzi wa tuta ambalo litakuwa suluhisho. Na Asha Madohola…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu