Radio Jamii Kilosa

Recent posts

20/11/2024, 23:17

Uboreshaji wa lishe kwa watoto wilayani Kilosa wapewa kipaumbele

Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa inaendelea kutekeleza afua mbalimbali za Lishe kwa kuzingatia viashiria vya Mkataba wa Lishe kwa kushirikiana na Watendaji wa Kata na Vijiji, Wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii na watoa Huduma za Afya vituoni, kwa lengo…

12/11/2024, 06:59

WEO Kilosa washauriwa kusimamia vema miradi ya maendeleo

Watendaji wa kata kutambua kuwa jukumu la kusimamia miradi linaenda sambamba na kuwajibika kwa ufanisi wa vyanzo vya mapato vya halmashauri. Na Asha Madohola Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg Michael John Gwimile, akizungumza katika kikao kazi…

11/10/2024, 14:16

Kilosa yajipanga kuadhimisha siku ya lishe Kitaifa

Suala la udumavu na utapiamulo nchini bado ni changamoto kubwa katika baadhi ya maeneo hapa nchini ambapo katika kukabiliana na kadhia hiyo serikali imeendelea kutoa elimu ya lishe bora kwa wazazi na walezi ambao ndio wanajukumu la kuhakikisha wanawahudumia watoto…

20/09/2024, 21:29

Siku ya usafi duniani Kilosa yafanya usafi sokoni

Siku ya usafishaji Duniani huadhimishwa kila ifikapo 20 Septemba ya kila mwaka huku maadhimisho ya mwaka huu yamebebwa na kaulimbiu isemayo, “Uhai hauna mbadala, tuzingatie usafi wa mazingira”. Na Asha Madohola Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kusafisha mazingira yao mara…

13/09/2024, 23:23

Waganga wafawidhi Kilosa watakiwa kusimamia ukusanyaji mapato

Serikali imedhamiria kupambana na changamoto zinazoikabili sekta ya afya kwa kuwatumia waganga Wafawidhi kuimarisha maadili kwa watumishi vituoni na usimamizi wa mapato ili wateja ambao ni wananchi waweze kufurahia huduma bora. Na Asha Madohola Waganga Wafawidhi Wilayani Kilosa wametakiwa kutekeleza…

10/09/2024, 01:00

Kilosa bila mimba za utotoni inawezekana, tuwalinde

Na Aloycia Mhina Mimba za utotoni ni suala linalohitaji umakini mkubwa kutokana na athari zake kwa afya ya mama na mtoto, ambapo Mariamu Kamala mtoa huduma ngazi za jamii na mabinti katika kituo cha afya Kimamba amesema athari zake ni…

10/09/2024, 00:34

Wakunga wa jadi waacheni akinamama wajawazito

Wanawake wametakiwa kuwa na utaratibu wa kujifungulia katika vituo vya afya na hospitalini na kuachana na mila na desturi ya kujifungulia nyumbani kwa wakunga wa jadi .Hayo yameelezwa na Maria Chalalika wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mila…

10/09/2024, 00:00

Wanawake Kilosa waaswa kugombea nafasi za uongozi

Na Farida Hassan Uoga na kutojiamini zimetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea wanawake wengi nchini kushindwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi serikalini. Hayo yameelezwa na Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi UWT Wilaya ya Kilosa Bi Joha…

09/09/2024, 23:46

Wanawake Kilosa kipigo sasa basi, toeni taarifa

Na Farida Hassan Vitisho na vipigo ni miongoni mwa sababu kubwa zinazopelekea wanawake wengi nchini kushindwa kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wanavyofanyiwa na watu mbalimbali katika jamii hususani wenza wao. Kauli hiyo imetolewa na Diwani wa Viti Maalum Tarafa…

MISSION AND VISSION

Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu