Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
10 September 2024, 1:00 am
Na Aloycia Mhina Mimba za utotoni ni suala linalohitaji umakini mkubwa kutokana na athari zake kwa afya ya mama na mtoto, ambapo Mariamu Kamala mtoa huduma ngazi za jamii na mabinti katika kituo cha afya Kimamba amesema athari zake ni…
10 September 2024, 12:34 am
Wanawake wametakiwa kuwa na utaratibu wa kujifungulia katika vituo vya afya na hospitalini na kuachana na mila na desturi ya kujifungulia nyumbani kwa wakunga wa jadi .Hayo yameelezwa na Maria Chalalika wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mila…
10 September 2024, 12:00 am
Na Farida Hassan Uoga na kutojiamini zimetajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazopelekea wanawake wengi nchini kushindwa kugombea nafasi mbalimbali za uongozi serikalini. Hayo yameelezwa na Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi UWT Wilaya ya Kilosa Bi Joha…
9 September 2024, 11:46 pm
Na Farida Hassan Vitisho na vipigo ni miongoni mwa sababu kubwa zinazopelekea wanawake wengi nchini kushindwa kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wanavyofanyiwa na watu mbalimbali katika jamii hususani wenza wao. Kauli hiyo imetolewa na Diwani wa Viti Maalum Tarafa…
9 September 2024, 8:41 pm
Mitandao ya kijamii imekuwa chanzo cha ongezeko la upashaji wa habari zisizo na ukweli kwa sababu watu wamekuwa wakitafuta umaarufu ama ufuatiliwaji na watu wengi katika kurasa za mitandao ya kijamii kwa kuwachafua wengine jambo ambalo mamlaka inapaswa kuweka misingi…
9 September 2024, 7:20 pm
Waandishi wa habari wanawake wameziomba mamlaka husika kutambua mchango wao katika tasnia ya habari nchini yenye dhumuni la kuihabarisha jamii katika masuala mbalimbali kama vile ya kijamii, kiuchumi na kisiasa ili kuchagiza chachu ya maendeleo kupitia uhabarishaji. Na Asha Madohola…
4 September 2024, 12:54 pm
Ili kuikuza sekta ya kilimo pamoja na kuhakikisha wakulima wanapata tija katika kilimo kwa kujikwamua kiuchumi, serikali imekuja na mpango wa kuwasajili wakulima katika mfumo wa kidijitali utakaowawezesha kupata ruzuku ya mbolea. Na Asha Madohola Wito umetolewa kwa wakulima wa…
31 August 2024, 8:17 am
“Ustawi wa mwananchi wilayani Kilosa unategemea busara za Baraza hili, kila mmoja kwa nafasi yake ahakikishe malengo yaliyowekwa yanafikiwa kwa manufaa ya wana Kilosa na Taifa kwa ujumla na mkatumie mikutano yenu ya hadhara kuwahamasisha wananchi kujitokeza na kutumia haki…
28 August 2024, 12:59 pm
Na Asha Madohola Katika kuunga mkono juhudi za serikali kwenye sekta ya afya na Eeimu, benki ya NMB imetoa msaada wa madawati, meza na vifaa tiba ikiwemo mashine za kupimia mapigo ya moyo, magodoro na Mashuka vyenye thamani ya shilingi…
8 May 2024, 5:27 pm
Mitandao ya kijamii inachangia kwa kiasi kikubwa kuifikia jamii kubwa katika kuwahabarisha, kuwaunganisha na kudumisha upendo na amani hivyo wajibu kwa waandishi kuwa na weledi ya kutosha katika kuitumia mitandao hiyo. Na Asha Madohola Waandishi wa habari wa Redio Jamii…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu