Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
12 May 2025, 2:09 pm
Suala la lishe nchini limekuwa ni tatizo kubwa ambalo serikali imejizatiti ili kuondoa kadhia hiyo ambayo imekuwa ikisababisha wananchi kupata matatizo ya kiafya kutokana na kukithiri kwa lishe duni . Na Asha Madohola Katika kuhakikisha wanafunzi wote wanapata chakula cha…
6 December 2024, 8:16 pm
Wito umetolewa kwa serikali kutoa fedha kwa wakati na kwa kiwango kinachohitajika, huku jamii ikihamasishwa kuchukua jukumu kubwa katika kuhakikisha kila kaya inazingatia lishe bora kwa ajili ya afya na ustawi wa watoto. Na. Asha Rashid Madohola Wilaya ya Kilosa…
4 December 2024, 8:18 pm
Katika muendelezo wa siku 16 za kupinga ukatili duniani wilayani Kilosa Jeshi la Polisi kupitia dawati la jinsia na watoto kwa kushirikiana, dawati la msaada wa kisheria, Ustawi wa Jamii na Smaujata wameendelea kutoa elimu ya kupinga ukatili kwa kuyagusa…
30 November 2024, 12:21 am
Wilayani Kilosa, viongozi wapya wa serikali za mitaa waliopatikana kupitia uchaguzi uliofanyika Novemba 27 na 28 mwaka huu wameapishwa rasmi tarehe 29 Novemba 2024 . Viongozi hao, wakiwemo wenyeviti wa vijiji, wenyeviti wa vitongoji, wajumbe wa viti maalum, na wajumbe…
20 November 2024, 11:17 pm
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa inaendelea kutekeleza afua mbalimbali za Lishe kwa kuzingatia viashiria vya Mkataba wa Lishe kwa kushirikiana na Watendaji wa Kata na Vijiji, Wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii na watoa Huduma za Afya vituoni, kwa lengo…
15 November 2024, 2:00 pm
Serikali inaendelea kupambana na changamoto zinazowakabili watoto chini ya miaka miwili ambao wamekuja wakikabiliwa na ukondefu mkali ama utapiamulo pamoja na udumavu kwa kutoa elimu kwa watumishi wa afya. Na Asha Rashid Madohola Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Lishe, Ndugu…
12 November 2024, 6:59 am
Watendaji wa kata kutambua kuwa jukumu la kusimamia miradi linaenda sambamba na kuwajibika kwa ufanisi wa vyanzo vya mapato vya halmashauri. Na Asha Madohola Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg Michael John Gwimile, akizungumza katika kikao kazi…
11 October 2024, 2:16 pm
Suala la udumavu na utapiamulo nchini bado ni changamoto kubwa katika baadhi ya maeneo hapa nchini ambapo katika kukabiliana na kadhia hiyo serikali imeendelea kutoa elimu ya lishe bora kwa wazazi na walezi ambao ndio wanajukumu la kuhakikisha wanawahudumia watoto…
20 September 2024, 9:29 pm
Siku ya usafishaji Duniani huadhimishwa kila ifikapo 20 Septemba ya kila mwaka huku maadhimisho ya mwaka huu yamebebwa na kaulimbiu isemayo, “Uhai hauna mbadala, tuzingatie usafi wa mazingira”. Na Asha Madohola Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kusafisha mazingira yao mara…
13 September 2024, 11:23 pm
Serikali imedhamiria kupambana na changamoto zinazoikabili sekta ya afya kwa kuwatumia waganga Wafawidhi kuimarisha maadili kwa watumishi vituoni na usimamizi wa mapato ili wateja ambao ni wananchi waweze kufurahia huduma bora. Na Asha Madohola Waganga Wafawidhi Wilayani Kilosa wametakiwa kutekeleza…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu