Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
03/07/2025, 15:21
Afya ya akili ni hali ya ustawi wa kiakili, kihisia na kijamii inayomuwezesha mtu kukabiliana na changamoto za maisha, kufanya kazi kwa ufanisi, na kuchangia katika jamii matatizo ya kiafya. Afya ya akili inahitaji uangalizi sawa na afya ya mwili,…
24/06/2025, 23:36
Wakulima wanahimizwa kujisajili kwenye mfumo wa ruzuku ya mbolea na mbegu ili kunufaika na pembejeo bora kwa bei nafuu. Mfumo huo unalenga kuwainua wakulima kiuchumi kupitia kilimo cha kisasa chenye tija. Na Beatrice Majaliwa Wakulima mbalimbali kutoka wilaya ya Kilosa…
03/06/2025, 18:58
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), mtu mzima anapaswa kunywa angalau lita 200 za maziwa kwa mwaka. Hata hivyo, takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa wastani wa unywaji wa maziwa kwa Mtanzania ni lita 67.2 kwa mwaka, kiwango…
26/05/2025, 23:40
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni mpango wa kitaifa unaolenga kuwapatia wananchi elimu na huduma za kisheria bila malipo, hasa kwa wale wasioweza kumudu gharama za mawakili. Na Beatrice Majaliwa Wananchi wa Wilaya ya Kilosa wametakiwa kujitokeza…
25/05/2025, 16:05
Serikali inaendelea kuwekeza katika elimu ya lishe, na kuongeza upatikanaji wa vyakula vyenye virutubisho muhimu kwa mama na mtoto na lengo ni kuhakikisha jamii inapata lishe bora na afya njema kwa maendeleo endelevu ya taifa. Na Asha Madohola Kata ya…
14/05/2025, 21:40
Wananchi wamepatiwa wasaa wa kushiriki kuhakiki na kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapigakura nchini ili waweze kutumia haki ya msingi ya kikatiba ya kupiga kura kwa kumchagua kiongozi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Na…
12/05/2025, 14:09
Suala la lishe nchini limekuwa ni tatizo kubwa ambalo serikali imejizatiti ili kuondoa kadhia hiyo ambayo imekuwa ikisababisha wananchi kupata matatizo ya kiafya kutokana na kukithiri kwa lishe duni . Na Asha Madohola Katika kuhakikisha wanafunzi wote wanapata chakula cha…
06/12/2024, 20:16
Wito umetolewa kwa serikali kutoa fedha kwa wakati na kwa kiwango kinachohitajika, huku jamii ikihamasishwa kuchukua jukumu kubwa katika kuhakikisha kila kaya inazingatia lishe bora kwa ajili ya afya na ustawi wa watoto. Na. Asha Rashid Madohola Wilaya ya Kilosa…
04/12/2024, 20:18
Katika muendelezo wa siku 16 za kupinga ukatili duniani wilayani Kilosa Jeshi la Polisi kupitia dawati la jinsia na watoto kwa kushirikiana, dawati la msaada wa kisheria, Ustawi wa Jamii na Smaujata wameendelea kutoa elimu ya kupinga ukatili kwa kuyagusa…
30/11/2024, 00:21
Wilayani Kilosa, viongozi wapya wa serikali za mitaa waliopatikana kupitia uchaguzi uliofanyika Novemba 27 na 28 mwaka huu wameapishwa rasmi tarehe 29 Novemba 2024 . Viongozi hao, wakiwemo wenyeviti wa vijiji, wenyeviti wa vitongoji, wajumbe wa viti maalum, na wajumbe…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu