Uyui FM Radio

Recent posts

10 February 2023, 1:52 pm

Safari ya mwisho ya mtangazaji Beatrice Mahangi

Ibada ya mazishi ya  mtangazaji wa kipindi cha BEMBEA LA WATOTO  BEATRICE JOSEPH MAHANGI  wa  kituo cha redio UFR 99.3 Tabora imefanyika   hii leo februari 10 katika Kanisa Katoliki Parokia ya Paul-Bunda mkoani Mara. Awali Meneja wa kituo  cha redio UFR …

3 February 2023, 3:16 pm

Maagizo matano kwa wakuu wa wilaya Tabora

Mkuu wa mkoa wa TABORA Balozi Daktari Batilda Buriani ametoa maagizo matano kwa Wakuu wa wilaya wa mkoa huo likiwemo la kwenda kusimamia masuala ya ulinzi na usalama katika maeneo yao. Maagizo hayo ameyatoa kwenye hafla ya uapisho wa wakuu…

12 December 2021, 7:46 pm

Mwanamke atajwa kuwa mhanga wa mabadiliko ya Tabia ya nchi

Wanawake wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kutunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kwa kuwa ni wahanga wakuu wa athari za mabadiliko ya tabia nchi katika jamii Katibu mtendaji  wa taasisi ya OHIDE Silesi Mali…

12 December 2021, 7:34 pm

Waandishi wahimizwa kusaidia jamii kukabiliana na mabadiliko ya Tabia ya nchi

Waandishi wa habari wamehimizwa kuandika na kutangaza habari kuhusu utunzaji mazingira ili kusaidia jamii na dunia kwa ujumla kuepukana na mabadiliko ya tabia nchi. Hayo yameelezwa katika mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo waandishi wa habari katika kuandika habari za mazingira nchini…

7 October 2021, 7:53 pm

Mufti ahimiza waislam kushirikiana na serikali

Mufti Mkuu wa Tanzania sheikh Abubakar Zubeir Ally amewataka viongozi wa dini ya kiislam mkoani Tabora kuendeleza ushirikiano na viongozi wa serikali ili kuhakikisha wanafanya kazi kwa ufanisi, weledi pamoja  na kuzingatia madili ya dini. Wito huo ameutoa mjini Tabora…

23 August 2021, 7:50 pm

Someni mapato na matumizi ni takwa kisheria-DC Tabora

Mkuu wa wilaya ya TABORA Dkt YAHAYA NAWANDA amemuagiza mtendaji wa kata Ya Isevya GATI ADAMU ahakikishe anasimamia suala la usomaji wa mapato na matumizi kwa wananchi kwenye kila mtaa, kisha kupeleka ripoti hiyo ofisini kwake hadi kufikia ijumaa ya…

28 July 2021, 6:42 pm

Uchunguzi miradi iliyokataliwa na Mwenge Tabora.

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa TABORA imeanzisha uchunguzi kwenye miradi 3 kati ya 35 ambayo haikuzinduliwa wakati wa mbio maalumu za mwenge wa uhuru Mkoani hapa. Akizungumza hii leo wakati wa kutoa Taarifa ya utendaji…

19 May 2021, 7:21 pm

Watoa huduma za mawasiliano Kanda ya kati wanolewa juu ya UCSAF

Watoa huduma za mawasiliano katika mkoa wa Tabora, singida na Kigoma wametakiwa kuwa na ushirikiano kwa wananchi ili kutumia mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF kwa lengo la kuhakikisha huduma inayotolewa inakuwa bora hususani katika maeneo ya vijijini. RICHARD SOTERY…

26 April 2021, 5:45 pm

Rc Tabora awa mbogo kusuasua ujenzi wa hospital ya Wilaya

Mkuu wa mkoa wa Tabora Dkt Philemon Sengati ameiagiza Wilaya ya Kaliua  kukamilisha haraka mradi wa hospitali ya wilaya hiyo pamoja na ujenzi wa kituo  cha afya Usinge ili wananchi waanze kupata huduma za afya maeneo hayo. Ametoa agizo hilo…

20 April 2021, 5:41 pm

Katibu Hospitali ya Rufaa Kitete kufanyiwa uchunguzi wa kinidhamu

Watumishi wa afya katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora -Kitete wamemuomba mkuu wa mkoa wa Tabora kufanya uchunguzi wa kinidhamu dhidi ya Katibu wa Hospitali hiyo BABY NYIMBO kutokana na tuhuma mbalimbali za kiutendaji. Akizungumza kwa niaba ya…