Uyui FM Radio

Recent posts

13 April 2024, 6:51 pm

Wananchi Tabora waaswa kumuenzi Wakasuvi kwa uchapakazi

Marehemu Wakasuvi alikuwa mchapakazi lakini pia alikuwa na mahusiano mazuri na watu hivyo dumisheni amani na ushirikiano. Na Zaituni Juma Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amewataka wananchi kuendelea kuyaenzi yale aliyokuwa akiyatenda aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi…

19 March 2024, 4:20 pm

RC Chacha awataka watumishi kuwatendea haki wananchi

watumishi mkoani Tabora wametakiwa kufanya kazi kwa bidii huku wakiwatendea haki wananchi. Na Zaituni Juma Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amewataka watumishi mkoani hapa kuuthamini umma wanao uongoza. Ametoa rai hiyo mara baada ya kuwasili katika ofisi ya…

31 January 2024, 1:29 pm

Asilimia 90 kesi zinazoripotiwa mahakama ya wilaya Uyui ni za ubakaji

Asilimia 90 ya kesi zinazoripotiwa katika mahakama ya Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora ni za ubakaji. Na Zaituni Juma Hakimu mkazi Mfawidhi Mahakama ya wilaya ya Uyui mkoani Tabora Tausi Mongi amesema asilimia 90 ya kesi zinazoripotiwa katika mahakama hiyo…

6 October 2023, 11:16 am

Wanawake wenye ualbino walalamikia kunyanyapaliwa kwenye mahusiano

Jamii mkoani Tabora imeaswa kuondoa dhana potofu dhidi ya  wanawake  wenye  ualbino pindi wanapohitaji kuingia kwenye ndoa. Zaituni Juma ametuandalia taarifa zaidi baada ya kuwatembelea baadhi ya wanawake na viongozi wa chama cha watu wenye ualbino TAS – Tabora

25 September 2023, 3:19 pm

Vishawishi chanzo wanafunzi wa kike kushindwa kuendelea na masomo

Mfumo dume unaoendelea katika baadhi ya jamii umetajwa kuwa ni moja ya sababu inayosababisha wanafunzi  wa kike kushindwa kufaulu vizuri masomo yao. Zaituni Juma  ana taarifa zaidi baada ya kutembelea  kata ya Gongoni Manispaa ya Tabora katika shule ya msingi…

11 September 2023, 3:17 pm

Wanahabari kuwa mabalozi kutoa elimu ya sikoseli

Mkoa wa Tabora unashika nafasi ya nne miongoni mwa mikoa yenye waathirika wengi wa ugonjwa wa sikoseli nchini. Kaimu Mkurugenzi wa hospital ya Rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete Dkt. Renatus Burashahu amewaomba waandishi wa habari kuwa mstari wa mbele…

29 August 2023, 2:27 pm

Wanandoa waaswa kuacha  mfumo dume

Wanandoa katika manispaa ya Tabora wametakiwa kuacha dhana ya mfumo dume na badala yake  washirikiane katika masuala ya uzalishaji mali na kisha kutoa maamuzi ya pamoja kwa ajili ya maendeleo. Zaituni Juma  ametuandalia taarifa  ambayo imeangazia umuhimu wa ushirikino kwa…

21 August 2023, 5:55 pm

Jukumu la afya ya uzazi si la mama peke yake-Dkt. Festo Mnyiriri

Na Zaituni Juma Wanaume katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora wamekumbushwa kujali afya ya mama mjamzito na hata baada ya kujifungua. Zaituni Juma ametuandalia taarifa ambayo imelenga ushiriki wa wazazi wote wawili  (baba na mama)  kwenda kliniki kwa pamoja hasa …

18 August 2023, 6:02 pm

Miaka 15 jela  kwa kusababisha kifo akijifanya daktari wa upasuaji

Mahakama kuu kanda yaTabora imetoa hukumu ya kifungo cha miaka kumi na Tano jela kwa Amos  Mathias. Na Salma Abdul. Amos Mathias  mkazi wa Kijiji cha Nhungulu wilayani Nzega  amehukumiwa na Mahakama kuu kanda yaTabora kifungo cha miaka kumi na…

18 August 2023, 5:27 pm

Madiwani watakiwa kupambania chakula shuleni

Madiwani wamesisitizwa kuhakikisha upatikanaji wa chakula shuleni unazingatiwa. Mkuu wa wilaya ya Igunga Sauda Mtondoo amewataka madiwani kushirikiana na walimu kuhakikisha chakula kinapatikana shuleni ili wanafunzi wapate muda wa kutosha wa kujifunza. Amesema hayo akiwa kwenye kikao cha baraza la…