Radio Jamii Kilosa

Recent posts

31 July 2025, 8:21 pm

HESLB yatoa elimu ya mikopo kwa wanafunzi wa sekondari Kilosa

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ina jukumu la kuhakikisha vijana wengi zaidi wa Kitanzania wanapata fursa ya kujiendeleza kielimu kwa kutoa mikopo yenye masharti nafuu. Vigezo vya kupata mkopo ni pamoja na ufaulu wa masomo,…

26 July 2025, 11:15 am

Vikundi vya mikopo Kilosa vyahimizwa kutumia fedha kwa malengo

Mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri kwa vijana wanawake na watu wenye ulemavu inafanya kazi kama mfuko unaozunguka ambapo mikopo hiyo inakusudiwa kuimarisha shughuli zinazowaingizia kipato wanawake, vijana na watu wenye ulemavu wasio na ajira rasmi…

4 July 2025, 10:52 pm

DC Kilosa ahamasisha uwekezaji wa sekta binafsi

Wananchi na wawekezaji wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo wilayani Kilosa, ikiwemo kilimo, utalii na viwanda, ili kuchochea uchumi na maendeleo ya Taifa. Na Beatrice Majaliwa Wananchi ndani na nje ya Wilaya ya Kilosa wametakiwa kutumia kikamilifu fursa zilizopo…

3 July 2025, 3:51 pm

Viongozi Kilosa wakumbushwa wajibu wao

Uvunaji wa misitu ni mchakato wa kuvuna mazao ya misitu kama magogo, kuni, na mkaa kwa kufuata taratibu rasmi na mipango ya matumizi bora ya ardhi. Uvunaji huo unapaswa kuwa endelevu ili kuepuka uharibifu wa mazingira. Na Beatrice Majaliwa Mkuu…

3 July 2025, 3:21 pm

Vijana Kilosa waomba elimu ya afya ya akili itolewe kwa jamii

Afya ya akili ni hali ya ustawi wa kiakili, kihisia na kijamii inayomuwezesha mtu kukabiliana na changamoto za maisha, kufanya kazi kwa ufanisi, na kuchangia katika jamii matatizo ya kiafya. Afya ya akili inahitaji uangalizi sawa na afya ya mwili,…

24 June 2025, 11:36 pm

Mfumo wa ruzuku wapunguza gharama za kilimo Kilosa

Wakulima wanahimizwa kujisajili kwenye mfumo wa ruzuku ya mbolea na mbegu ili kunufaika na pembejeo bora kwa bei nafuu. Mfumo huo unalenga kuwainua wakulima kiuchumi kupitia kilimo cha kisasa chenye tija. Na Beatrice Majaliwa Wakulima mbalimbali kutoka wilaya ya Kilosa…

3 June 2025, 6:58 pm

Wananchi watakiwa kuongeza unywaji wa maziwa kwa afya bora

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), mtu mzima anapaswa kunywa angalau lita 200 za maziwa kwa mwaka. Hata hivyo, takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa wastani wa unywaji wa maziwa kwa Mtanzania ni lita 67.2 kwa mwaka, kiwango…

26 May 2025, 11:40 pm

Wananchi Kilosa wanufaika na haki bila malipo

Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni mpango wa kitaifa unaolenga kuwapatia wananchi elimu na huduma za kisheria bila malipo, hasa kwa wale wasioweza kumudu gharama za mawakili. Na Beatrice Majaliwa Wananchi wa Wilaya ya Kilosa wametakiwa kujitokeza…

25 May 2025, 4:05 pm

Elimu ya lishe yazidi kutoa matokeo chanya kata ya Berega

Serikali inaendelea kuwekeza katika elimu ya lishe, na kuongeza upatikanaji wa vyakula vyenye virutubisho muhimu kwa mama na mtoto na lengo ni kuhakikisha jamii inapata lishe bora na afya njema kwa maendeleo endelevu ya taifa. Na Asha Madohola Kata ya…

14 May 2025, 9:40 pm

Watendaji wasisitizwa kuzingatia sheria katika uboreshaji wa daftari

Wananchi wamepatiwa wasaa wa kushiriki kuhakiki na kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapigakura nchini ili waweze kutumia haki ya msingi ya kikatiba ya kupiga kura kwa kumchagua kiongozi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Na…

MISSION AND VISSION

Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu