Uyui FM Radio

Recent posts

15 April 2021, 6:09 pm

Malalamiko 50 kati ya 116 yakutwa na viashiria vya rushwa -TABORA.

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Tabora  imepokea jumla ya malalamiko 116 ambayo kati yake 50 yalikuwa na viashiria vya rushwa. Akitoa taarifa kwa vyombo vya Habari   naibu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Tabora  Mashauri Elisante…

12 April 2021, 5:49 pm

Wananchi Kaliua wapigwa marufuku hifadhi ya Isawima.

Naibu waziri wa maliasiri na utalii Marry Masanja amezuia wananchi kufanya shughuli yoyote ndani ya hifadhi ya ISAWIMA wilayani Kaliua mkoani Tabora baada ya wananchi kuvamia hifadhi hiyo na kukaidi maelekezo ya serikali ya mkoa iliyowataka kuondoka. Naibu waziri amesema…

8 April 2021, 5:25 pm

Milioni 18 kugharamia ujenzi matundu ya vyoo 13 S/M GONGONI.

Zaidi ya shilingi milioni 18 zimegharamia ujenzi wa matundu ya vyoo 13 katika shule ya msingi GONGONI kata ya KANYENYE Manispaa ya TABORA. Mhashamu Askofu Mkuu jimbo katoliki TABORA PAUL RUZOKA amesema hayo wakati wa kukabidhi jengo lenye matundu 13…

29 March 2021, 7:13 pm

Ibada maalumu ya kuliombea Taifa yafanyika Tabora

Waumini wa madhehebu ya kikristo Mkoani Tabora wametakiwa kuendeleza mazuri aliyoyaacha Hayati Dokta John Magufuli ikiwa ni pamoja na kutunza tunu za kitaifa hususani amani, upendo na mshikamano. Hayo yameelezwa na Mkuu wa wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora Abel Busalama…

25 March 2021, 4:14 pm

Wafanyabiashara Tabora wamlilia Hayati Dkt Magufuli

Wafanyabiashara na wajasiriamali  katika Manispaa ya Tabora wamesema watamkumbuka aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt John Pombe Magufuli kutokana na namna alivyo wapigania na kupata maeneo ya kufanyia biashara bila Bugudha. Wafanyabiashara hao akiwemo Haki Kasawa,Sheila Chambuso…

24 March 2021, 1:14 pm

Wananchi ManiSpaa ya Tabora waendelea kumuenzi Hayati Dkt JOHN MAGUFULI

Jamii katika Manispaa ya Tabora imesema inamuenzi na  itaendelea kumkumbuka aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano  katika Jamuhuri ya muungano wa Tanzania  hayati Dkt John Pombe Magufuli  kwa juhudi na uchapakazi wake  ikiwa ni pamoja na  kuhakikisha watanzania wanapata huduma…