Radio Jamii Kilosa

Recent posts

30 September 2025, 3:18 pm

Daniel Samson: Thibitisha habari kabla ya kuzisambaza

Waandishi wa habari na jamii kwa ujumla wanalo jukumu kubwa la kuhakikisha taarifa wanazopokea au kuzitumia, zinakuwa sahihi na zimethibitishwa ili kuepuka kuchochea taharuki, chuki au migawanyiko isiyo ya lazima.  Na Asha Madohola Katika kipindi maalumu kilichorushwa na Redio Jamii…

26 September 2025, 4:50 pm

Kilosa yaimarisha usawa wa kijinsia

Programu ya Kizazi chenye Usawa ni programu inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii, yenye lengo la kuhimiza usawa wa kijinsia katika nyanja zote za kijamii na kiuchumi na Programu hii inalenga kuwezesha wanawake…

24 September 2025, 6:22 pm

Wakazi wa Kilosa watakiwa kuzingatia ufugaji bora wa mbwa

Maadhimisho ya wiki ya kichaa cha mbwa yanatarajiwa kufanyika 28 Septemba 2025 katika kijiji cha Ruhembe ambapo yamebebwa na kauli mbiu isemayo “Chukua hatua sasa,Wewe, mimi, Jamii”. Na Beatrice Majaliwa Kuelekea katika Wiki ya Kichaa Cha Mbwa inayotarajiwa kuadhimishwa tarehe…

17 September 2025, 9:16 am

Wanachama 2,590 waandikishwa ICHF 2025 Kilosa

Kwa mujibu wa takwimu, katika mwaka wa fedha 2024/2025 wanachama 15,000 waliandikishwa kwenye mfuko wa bima ya afya ICHF wilayani Kilosa na tangu kuanza kwa mwaka wa fedha huu wa 2025, hadi sasa, wanachama 2,590 tayari wamejiunga na kupatiwa kadi…

11 September 2025, 2:20 pm

NGOs Kilosa zatakiwa kufanya kazi kwa uwajibikaji

NGO’s hufanya kazi kwa kushirikiana na jamii na mara nyingi hupata ufadhili kutoka kwa wafadhili wa ndani au nje ya nchi kwa lengo la kusaidia maendeleo ya jamii katika nyanja mbalimbali kama vile afya, elimu, mazingira, haki za binadamu n.k.,…

28 August 2025, 4:04 pm

OCS Kilosa ataka kudumisha amani kati ya wakulima na wafugaji

Migogoro kati ya wakulima na wafugaji huondoa amani kwa kusababisha vurugu, uharibifu wa mali, chuki baina ya jamii, na hata vifo ambapo migogoro hii huathiri maisha, uchumi wa familia, na maendeleo ya kijamii kwa ujumla, hivyo kudumisha maelewano ni muhimu…

27 August 2025, 8:24 pm

Vikundi 38 Kilosa vyanufaika na mkopo wa asilimia 10

Mikopo ya asilimia 10 ni fedha zinazotolewa na Halmashauri zote nchini kwa wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu ambapo kila Halmashauri hutenga asilimia 10 ya mapato yake ya ndani—asilimia 4 kwa wanawake, 4 kwa vijana, na 2 kwa watu wenye…

21 August 2025, 5:22 pm

Mgombea CUF: Nitapigania haki za wenye ulemavu

Kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) zoezi la uchukuaji wa fomu za uteuzi wa wagombea ubunge na udiwani yameanza tarehe 14 Agosti, 2025 hadi tarehe 27 Agosti, 2025 ambapo wagombea wa vyama vya siasa waliopitishwa na vyama…

21 August 2025, 1:37 pm

Mkuu wa wilaya Kilosa ataka ushirikiano wa jamii katika lishe mashuleni

Chakula shuleni ni muhimu kwa maendeleo ya afya na elimu ya mwanafunzi. Huchangia kuongeza nguvu na uwezo wa kujifunza, hupunguza utoro, na huimarisha mahudhurio ya wanafunzi darasani na lishe bora pia huongeza uwezo wa kufikiri, umakini na utendaji wa mwanafunzi.…

19 August 2025, 11:38 pm

TASAF yaleta mafanikio Kilosa, wanufaika waomba kuendelezwa

Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF) ni mradi wa Serikali ya Tanzania unaolenga kusaidia kaya zenye hali duni za kiuchumi kwa kuwapatia ruzuku ya fedha, fursa za ajira za muda na kuwajengea uwezo wa kujitegemea na mradi huu umejikita katika…

MISSION AND VISSION

Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu