Recent posts
7 January 2021, 1:05 pm
Rc Morogoro awachukulia hatua Wenyeviti wa vitongoji Mikumi.
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amekemea vikali kitendo kilichoonyeshwa na Wenyeviti wa vitongoji 21 Katika Mamlaka ya Mji Mdogo Mikumi kwa kushindwa kuhamasisha wananchi kushiriki kwenye ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa Katika shule ya Sekondari Mikumi…
7 January 2021, 2:39 am
Wananchi wametakiwa kupanda Miti,Maua na kusafisha Mifereji ya Maji ya Mvua -Kil…
Wananchi Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wahamasishwa kupanda Miti na Maua pamoja na kusafisha Mifereji ya Maji ya Mvua Ili kutunza Mazingira. Akizungumza na Radio Jamii Kilosa Januari 6,2021 Afisa Mazingira Kilosa Anthony Heriel Mbise kuwa ni vizuri Wananchi wakatumia Mvua…
6 January 2021, 6:45 pm
Wananchi watakiwa kupanda Miti,Maua na kusafisha mifereji ya maji ya mvua Kilosa…
6 January 2021, 3:10 pm
Wananchi Wilayani Kilosa Wametakiwa kutunza na kuifadhi mazingira .
Wananchi Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wahamasishwa kupanda Miti na Maua pamoja na kusafisha mifereji ya maji ya mvua Katika maeneo yao Ili Kutunza mazingira. Akizungumza na Radio Jamii Kilosa januari 6,2021 Afisa Mazingira Kilosa Anthony Mbise amesema kuwa ni vizuri…
6 January 2021, 2:17 pm
Wananchi wananchi wailayani Kilosa wametakiwa kupanda miti maia na kusafisha Mif…
6 January 2021, 10:14 am
Wananchi wametakiwa kutunza na kuhifadhi mazingira
Akizungumza na Radio Jamii Kilosa Januari 6 ,2021 Afisa Mazingira Bwana Anthony Heriel Mbise amesema kuwa ni vyema wananchi wakatumia mvua zinazo endelea kunyesha kipindi hiki kupanda Miti na Maua. Amesema kuwa Maua yanasaidia kupendezesha mazingira yanayo zunguuka na Miti…
6 January 2021, 8:56 am
Wananchi Wilayani Kilosa wametakiwa kufukuwa mitaro kudhibiti mazalia ya Mbu.
6 January 2021, 8:36 am
Wanachi watakiwa kufukua mitaro Kudhibiti Mbu Kilosa .
17 December 2020, 9:13 am
Wananchi wahimizwa kukata kadi za bima ya afya – RC Morogoro
Wananchi Wilayani Kilosa na Mkoa wa Morogoro kiujumla wamehimizwa kukata kadi za bima ya afya kwa ajili ya familia zao kwani kadi hizo ni muhimu na zinasaidia kupata matibabu kwa urahisi hata nyakati ambazo mtu anakuwa hana fedha kwa ajili…