Radio Jamii Kilosa
Radio Jamii Kilosa
11/03/2023, 18:05
Katika kurahisisha utendaji kazi wa kuyafikia maeneo yote yaliyopo katika kata serikali imewapatia maafisa watendaji kata pikipiki ambazo zitawasaidia kuwafikisha maeneo ambayo walikua hawayafikii kiurahisi kutokana na umbali uliopo. Awali viongozi wa kata walikua wanakabiliwa na changamoto ya usafiri kwa…
01/03/2023, 09:20
Machi nane mwaka huu wanawake wameshauriwa kujitokeza kwa wingi ili kujiunga katika vikundi ambavyo itawawezesha kupata mikopo kwa urahisi kupitia asilimia 4 ya mikopo inayotolewa kwa wanawakekutoka serikalini ambayo itawawezesha kubuni ama kuendeleza miradi ambayo wanayo na kuwasaidia kuwakwamua kichumi…
21/02/2023, 14:21
Vitendo vya kikatili vinavyoendelea dhidi ya Watoto wadogo bado ni tatizo kubwa katika jamii zetu tunazoishi,hali inayopelekea watoto kukatisha ndoto zao kutokana na ukatili wanaofanyiwa. Na Beatrice Majaliwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilosa linamshikilia George Idd (19) mkazi wa…
17/02/2023, 20:46
Wakulima wilaya ya Kilosa wamelalamika kuchelewa kwa kupatiwa mbolea za ruzuku ile hali msimu wa kilimo umeshaanza na imefikia kipindi cha uwekaji wa mbolea katika mimea. Na Asha Madohola Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mlimani Boma ililyopo kata…
14/02/2023, 12:48
Shule ya Msingi Mazinyungu inatarajia kunufaika na mradi wa kilimo waliouanzisha ambao utawasaidia wanafunzi kupata chakula cha mchana shuleni hapo na kuwapunguzia gharama za uchangiaji wa fedha za chakula suala ambalo litawawezesha wanafunzi kutumia muda mwingi wakiwa shule kwa ajili…
13/02/2023, 15:57
Siku ya Redio duniani huadhimishwakila ifikapo Tarehe 13, Februari kila mwaka, ambapo siku hii ilianzishwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO), mnamo mwaka 2012 mara baada ya baraza kuu la Unesco kutambua umuhimu wake.…
04/02/2023, 22:42
Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuwa, ihakikishe inapima eneo la Shamba ambalo Serikali ilikabidhi Halmashauri hiyo na kuwapatia Wananchi kwa kuwapatia hati ndogo inayoonyesha umiliki halali wa eneo hilo. Na Epiphanus Danford Waziri huyo…
02/02/2023, 14:12
Kutokujua sheria kwa wananchi imeelezwa ndio chanzo cha migogoro ya ardhi ya kudumu katika wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro ambayo huchochea migogoro ya wakulima na wafugaji hali inayochangia punguza ukuaji wa shughuli za kiuchumi. Na Asha Madohola Halmashauri Ya Wilaya…
31/01/2023, 12:16
Wazazi na walezi watakiwa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu ambayo inatolewa bila malipo pamoja na kuwalea katika maadili mema kwa kuwarithisha mila na desturi njema ili kuwa taifa lenye sifa njema na maadili mema. By Asha Mado Katika kuhakikisha watoto…
30/01/2023, 13:45
Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa wakulima wilaya ya Kilosa wametakiwa kulima kilimo ikolojia ambacho ni Kilimo rafiki kwa mazingira na kinasaidia kupunguza gharama za kununua madawa na mbolea kwa ajili ya kustawisha mashamba na kuua wadudu kwenye mazao.…
Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu