Radio Jamii Kilosa

Recent posts

11/03/2023, 18:05

Watendaji kata wakabidhiwa pikipiki Kilosa

Katika kurahisisha utendaji kazi wa kuyafikia maeneo yote yaliyopo katika kata serikali imewapatia maafisa watendaji kata pikipiki ambazo zitawasaidia kuwafikisha maeneo ambayo walikua hawayafikii kiurahisi kutokana na umbali uliopo. Awali viongozi wa kata walikua wanakabiliwa na changamoto ya usafiri kwa…

21/02/2023, 14:21

Abaka na kulawiti wadogo zake wawili Kilosa

Vitendo vya kikatili vinavyoendelea dhidi ya Watoto wadogo bado ni tatizo kubwa katika jamii zetu tunazoishi,hali inayopelekea watoto kukatisha ndoto zao kutokana na ukatili wanaofanyiwa. Na Beatrice Majaliwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilosa linamshikilia George Idd (19) mkazi wa…

17/02/2023, 20:46

Wakulima walalamika Kilosa

Wakulima wilaya ya Kilosa  wamelalamika kuchelewa kwa kupatiwa mbolea za ruzuku ile hali msimu wa kilimo umeshaanza na imefikia kipindi cha uwekaji wa mbolea katika mimea. Na Asha Madohola Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mlimani Boma ililyopo kata…

14/02/2023, 12:48

Suluhisho la utoro na kufeli kwa mitihani shule za msingi lapatikana Kilosa

Shule ya Msingi Mazinyungu inatarajia kunufaika na mradi wa kilimo waliouanzisha ambao utawasaidia wanafunzi kupata chakula cha mchana shuleni hapo na kuwapunguzia gharama za uchangiaji wa fedha za chakula suala ambalo litawawezesha wanafunzi kutumia muda mwingi wakiwa shule kwa ajili…

13/02/2023, 15:57

Siku ya Redio yaadhimishwa Kilosa

Siku ya Redio duniani huadhimishwakila ifikapo Tarehe 13, Februari kila mwaka, ambapo siku hii ilianzishwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO), mnamo mwaka 2012 mara baada ya baraza kuu la Unesco kutambua umuhimu wake.…

04/02/2023, 22:42

Hatimaye migogoro ya mashamba yatatuliwa Kilosa

Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuwa, ihakikishe inapima eneo la Shamba ambalo Serikali ilikabidhi Halmashauri hiyo na kuwapatia Wananchi kwa kuwapatia hati ndogo inayoonyesha umiliki halali wa eneo hilo. Na Epiphanus Danford Waziri huyo…

02/02/2023, 14:12

Migogoro ya ardhi wilayani Kilosa sasa basi

Kutokujua sheria kwa wananchi imeelezwa ndio chanzo cha migogoro ya ardhi ya kudumu katika wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro ambayo huchochea migogoro ya wakulima na wafugaji hali inayochangia punguza ukuaji wa shughuli za kiuchumi. Na Asha Madohola Halmashauri Ya Wilaya…

31/01/2023, 12:16

Wazazi hakikisheni watoto wanapata elimu

Wazazi na walezi watakiwa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu ambayo inatolewa bila malipo pamoja na kuwalea katika maadili mema kwa kuwarithisha mila na desturi njema ili kuwa taifa lenye sifa njema na maadili mema. By Asha Mado Katika kuhakikisha watoto…

30/01/2023, 13:45

Wakulima watakiwa kulima kilimo cha Ikolojia.

Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa wakulima wilaya ya Kilosa wametakiwa kulima kilimo ikolojia ambacho ni Kilimo rafiki kwa mazingira na kinasaidia kupunguza gharama za kununua madawa na mbolea kwa ajili ya kustawisha mashamba na kuua wadudu kwenye mazao.…

MISSION AND VISSION

Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu