Offline
Play internet radio

Recent posts

April 7, 2024, 4:30 pm

Cherehani apongezwa kuwezesha mawasiliano, atoa ahadi ya maji

“Mpaka sasa jimbo la Ushetu tunaendelea kulifungua kwa miradi mbalimbali ikiwemo ya barabara na madaraja kwenye barabara zinazohitaji madaraja hivyo serikali chini ya mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Ushetu tunamshukuru kwa kuendelea kutupatia fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi…

March 27, 2024, 12:35 pm

Watu wawili wanashikiliwa na polisi kwa kutengeneza silaha, Shinyanga

“Pia mnamo tarehe 17/03/2024 huko maeneo ya Kijiji cha Bugomba “A”, Kata ya Ulewe, Tarafa ya Mweli Wilaya ya Kipolisi Ushetu na Mkoa wa Shinyanga Jeshi la Polisi lilimkamata mtuhumiwa mmoja na baada ya kupekuliwa nyumbani kwake alikutwa akiwa na…

March 25, 2024, 1:13 pm

Kishimba akabidhi mawe na fedha ujenzi wa Mitaro jimboni kwake

 Neema Nkumbi-Huheso FM Mbunge wa Jimbo la Kahama mjini Mheshimiwa Jumanne Kishimba amekabidhi mifuko 50 ya saruji pamoja fedha shilingi milioni moja kwa ajili ya ujenzi wa mitaro unaoendelea Kata ya Majengo katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Mifuko hiyo…

March 18, 2024, 4:06 pm

Waziri Mavunde afungua kituo cha mafunzo ya madini Kahama

Mavunde amesisitiza kuwa katika eneo la Buzwagi sambamba na kituo hicho cha Barrick Academy wananchi wazawa na watanzania kwa ujumla lazima wanufaike nalo na serikali inaendelea kuwakaribisha wawekezaji nchini kuwekeza hali itakayosaidia kuwakuza wachimbaji wadogo kwa kupatiwa mafunzo mbalimbali. Na…

March 15, 2024, 11:47 am

Kishimba aomba tiba bure kwa wananchi kama ilivyo kwenye elimu

”Tunaendelea kuiomba serikali katika swala la matibabu ilitazame kwa jicho la upana sana kuwasamehe watoto shule na matibabu pia iwe bure kwa sababu ni kitu cha lazima” amesema Mbunge Kishimba. Na Neema Nkumbi- Huheso Fm Kituo cha afya Kagongwa kinachohudumia…

March 8, 2024, 3:58 pm

Dkt. Mzava awataka walimu kutoa malezi bora kwa wanafunzi shuleni

Walimu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwalea wanafunzi katika mienendo mizuri ili kupambana na mmomonyoko wa maadili unaoendelea kushamili nchini. Na Neema Nkumbi-Huheso FM Wito huo umetolewa na mbunge wa viti maalum mkoani Shinyanga Dkt. Christina Mzava alipotembelea Shule ya…

March 8, 2024, 10:38 am

Wananchi wachangia milioni 16 ujenzi wa vyumba vya madarasa Kahama

Serikali ya mtaa wa Mhongolo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga imeelezea namna ilivyotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kushirikiana na wananchi wa mtaa huo. Imesema kuwa zaidi ya shilingi milioni 16 nguvu za wananchi zilitumika katika ujenzi wa boma la…

March 6, 2024, 3:56 pm

Wananchi walalamikia miundombinu ya barabara Kahama

Na, Neema Nkumbi–Huheso FM Wananchi wa Kata ya Mhongolo Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga walalamikia miundombinu ya barabara kuwa mibovu wakati walipokuwa wakizungumzia kuhusu hali ya miundombinu ya Barabara. Mmoja wa wananchi hao aliejitambulisha kwa jina Obed Nyangi amesema kuwa barabara…

March 4, 2024, 4:25 pm

Wamiliki wa nyumba za dada poa Kahama kukamatwa na wateja wao

Msiwakamate wanawake tu kamata wote anaejiuza na anaemnunua wote kamata weka ndani Na Paschal Malulu Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme ameagiza kukamatwa kwa watu wanaofanya biashara haramu ya ngono wilayani Kahama baada ya kushamiri kwa biashara hiyo na…

Huheso Fm Radio

Vision

As a community servant, HUHESO FM RADIO will cultivate a synergy between art and information through social enterprise and creative programs that link diverse cultural backgrounds by stimulating the mind, body and soul. HUHESO FM RADIO will provide every person with a platform of pulsating perspectives to express themselves within the existing cultural diversities.

HUHESO FM RADIO will be the communities’ hub of information; an innovative and dynamic property of lifelong learning that will be open to all and free from the chains of any type of influence. When curiosity leads an individual to begin a voyage of enlightenment, HUHESO FM RADIO will be his or her vessel propelled by the winds of understanding.

Mission

HUHESO FM RADIO will be an independent, communities-based and, to an extent, a volunteer-run radio station dedicated to serve listeners in Kahama District council and neighboring areas.

In accordance with the HUHESO’s mission, and as partners with communities in the area of its coverage, it will engage itself in the transformation of the lives of people in Kahama District council through the exchange of compelling and enriching ideas using a diverse array of educational, informative and creative broadcast programs and services that engage, inspire and stimulate the empowerment of the communities in matters related to children and other community based affairs.

HUHESO FM RADIO aims to serve with particular regard for those individuals, groups, issues and music that have been overlooked, suppressed or under-represented by other media and to provide a forum for the exchange of cultural and intellectual ideas and music through an intuitive and inspirational approach.

Vibrant communities are well informed and involved, embrace diversity, respectfully share opinions and foster economic and social justice. HUHESO FM RADIO shall also build communities by bringing people together to celebrate the music of the world and give an alternative voice to the communities.

Objectives

With the aforementioned narrations, generally, HUHESO FM RADIO’S objectives are to ensure that there will be prompt and easy access to on- the-air (OTA) news, information, and music as well as other radio programs basing on facts and truth to the general folk in the local communities in Kahama District council.

The objectives are based on the recognition of the fact that in order to bring an alternative voice to the airwaves of Kahama District council and to thrive against current and potential future competition, HUHESO Foundation needs to build a radio that will be heavily influenced by the communities that it works for. Locally produced, alternative programming that covers and responds to local developments and the larger worldwide community is what will differentiate HUHESO FM RADIO from the more broad hand-outs of other public radio station as well as satellite radio and other developing technologies.

AUDIENCE

HUHESO FM Radio programs are dedicated to gratify the entire sectors of life. HUHESO FM RADIO offers a diverse combination of informational, educational and entertainment affairs programming reaching all age and sex groups. As we are going on with our radio programs, an estimated total number of 1.5 to 2 million listeners are reached with our broadcastings throughout our coverage areas.

COVERAGE

All listeners are from:-

Shinyanga

  • Kahama town council
  • Msalala District
  • Ushetu District
  • Shinyanga District

Tabora

  • Nzega District Council
  • Tabora Municipal
  • Urambo
  • Kaliua

Geita

  • Mbogwe District Council
  • Ushirombo District
  • Nyalugusu
  • Bukoli

 Kigoma

  • Kakonko