March 11, 2025, 3:54 pm

Mabinti balehe wakabidhiwa vifaa vya kazi kujikwamua kiuchumi

“mradi wa CHAGUO LANGU HAKI YANGU unalenga kuboresha mifumo ya huduma salama za afya ya uzazi na kuzuia ukatili wa kijinsia, hasa kwa mabinti balehe na wanawake vijana, wakiwemo wenye ulemavu.” Na Neema Nkumbi Zaidi ya wasichana na wanawake vijana…

Offline
Play internet radio

Recent posts

March 11, 2025, 3:54 pm

Mabinti balehe wakabidhiwa vifaa vya kazi kujikwamua kiuchumi

“mradi wa CHAGUO LANGU HAKI YANGU unalenga kuboresha mifumo ya huduma salama za afya ya uzazi na kuzuia ukatili wa kijinsia, hasa kwa mabinti balehe na wanawake vijana, wakiwemo wenye ulemavu.” Na Neema Nkumbi Zaidi ya wasichana na wanawake vijana…

February 28, 2025, 3:51 pm

Elimu itolewe kwa wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya marburg

“Elimu bado haifiki kwa wakati kwenye jamii, wataalam wa afya wafike maeneo ya vijijini kutoa elimu, Serikali ibuni namna ya kutoa hamasa kwa wananchi wake” Na Duah JuliusMtaalam wa Magonjwa ya Mlipuko kutoka Hospitali ya Manispaa ya Kahama Daktari Raphael…

February 27, 2025, 12:35 pm

Wasichana 700 waokolewa na ukatili mikoa ya Shinyanga na Mara

“Tunatambua kuwa hapa kijijini swala la upatikanaji wa maji safi na salama kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi na jamii na jamii bado ni tatizo, hivyo kampuni inawaomba wote kwa ujumla tuwe na subra kwa maana kampuni imekwishafikisha ombi la…

February 26, 2025, 5:31 pm

Serikali ya Mtaa yaifukuza SAMBA MICROFINANCE kwa kuwaumiza wananchi

“Hawa akina mama walikopa mwezi Januari tarehe 30, 2025 walitakiwa kufanya marejesho ya mkopo mwezi March 01, 2025 lakini kabla hata muda wa kurudisha haujafika wamepeleka hela wanakataliwa wanapigwa penati ya mara mbili ya fedha ambayo walitakiwa kurejesha hii sio…

February 26, 2025, 12:03 pm

Huduma za afya zahanati ya Busangi zaboreshwa

Mwaka jana, Huheso Fm iliripoti changamoto za huduma za afya zinazoikabili Zahanati ya Busangi. Tuligundua kuwa changamoto ya Miundombinu ya maji ilisababisha Kwenda na maji yao kituoni jambo ambalo linakera wananchi; changamoto ya uhaba wa dawa ilisababisha wananchi kushindwa Kwenda…

February 25, 2025, 3:51 pm

Walimu watakiwa kuendana na mahitaji ya dunia

“Tunatakiwa kuweka nguvu katika elimu ili kuendelea kubadilika kulingana na ushindani wa dunia, aneyefanya kazi vizuri ananifanya nisifoke foke kwani hasira hupunguza maisha,” amesema Mkuu wa Mkoa. NA NEEMA NKUMBI Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha, amewataka walimu kuepuka…

February 25, 2025, 3:40 pm

Serikali, sekta binafsi kuimarisha huduma za fedha nchini

“Exim yachangia vifaa vya matibabu vya shilingi milioni 25 Hospitali ya Wilaya Kahama” Uzinduzi wa tawi la Exim Bank Kahama ni uthibitisho wa ukuaji wa sekta ya benki, ushirikiano wa sekta binafsi na Serikali na dhamira ya kukuza uchumi wa…

February 24, 2025, 2:25 pm

Afariki kwa kupigwa shoti ya umeme akiiba nyaya

“Ulinzi wa miundombinu ya umeme ni jukumu letu sote, toeni taarifa kuhusu wanaohujumu. Pia wananchi epukeni kusogea kwenye Transfoma na njia za umeme kwani ni hatari. Ukiangalia hata hapa kwenye hii Transfoma kuna onyo kabisa kwamba ni HATARI”,amesema Mhandisi Tarimo.…

February 24, 2025, 12:48 pm

Ajeruhiwa na sungusungu kwa kudai Ujira wake

“Tunawashikilia Watuhumiwa wawili ambao ni Bundala Dalali na Issack Kulwa kwa kuhusika na tukio hili na upelelezi unaendelea tukikamilisha tutawafikisha Mahakamani,niwaombe Wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi na kama mtu amekamatwa kwa tuhuma ya wizi ni bora akafikishwa polisi,”amesema Magomi. NA…

January 17, 2025, 5:41 pm

Watatu washikiliwa na polisi Shinyanga kwa mauaji

Na Neema Nkumbi Mwili wa Mwanamke Asha Mayenga anayekadiriwa kuwa na miaka 62 alieuawa na kuzikwa Malindi Mtaa wa Seeke Kata ya Nyahanga Manispaa ya Kahama umefukuliwa na kutambuliwa na ndugu zake. Tukio la kufukua kaburi limefanyika januari 17, 2025 ambapo…

Huheso Fm Radio

Vision

As a community servant, HUHESO FM RADIO will cultivate a synergy between art and information through social enterprise and creative programs that link diverse cultural backgrounds by stimulating the mind, body and soul. HUHESO FM RADIO will provide every person with a platform of pulsating perspectives to express themselves within the existing cultural diversities.

HUHESO FM RADIO will be the communities’ hub of information; an innovative and dynamic property of lifelong learning that will be open to all and free from the chains of any type of influence. When curiosity leads an individual to begin a voyage of enlightenment, HUHESO FM RADIO will be his or her vessel propelled by the winds of understanding.

Mission

HUHESO FM RADIO will be an independent, communities-based and, to an extent, a volunteer-run radio station dedicated to serve listeners in Kahama District council and neighboring areas.

In accordance with the HUHESO’s mission, and as partners with communities in the area of its coverage, it will engage itself in the transformation of the lives of people in Kahama District council through the exchange of compelling and enriching ideas using a diverse array of educational, informative and creative broadcast programs and services that engage, inspire and stimulate the empowerment of the communities in matters related to children and other community based affairs.

HUHESO FM RADIO aims to serve with particular regard for those individuals, groups, issues and music that have been overlooked, suppressed or under-represented by other media and to provide a forum for the exchange of cultural and intellectual ideas and music through an intuitive and inspirational approach.

Vibrant communities are well informed and involved, embrace diversity, respectfully share opinions and foster economic and social justice. HUHESO FM RADIO shall also build communities by bringing people together to celebrate the music of the world and give an alternative voice to the communities.

Objectives

With the aforementioned narrations, generally, HUHESO FM RADIO’S objectives are to ensure that there will be prompt and easy access to on- the-air (OTA) news, information, and music as well as other radio programs basing on facts and truth to the general folk in the local communities in Kahama District council.

The objectives are based on the recognition of the fact that in order to bring an alternative voice to the airwaves of Kahama District council and to thrive against current and potential future competition, HUHESO Foundation needs to build a radio that will be heavily influenced by the communities that it works for. Locally produced, alternative programming that covers and responds to local developments and the larger worldwide community is what will differentiate HUHESO FM RADIO from the more broad hand-outs of other public radio station as well as satellite radio and other developing technologies.

AUDIENCE

HUHESO FM Radio programs are dedicated to gratify the entire sectors of life. HUHESO FM RADIO offers a diverse combination of informational, educational and entertainment affairs programming reaching all age and sex groups. As we are going on with our radio programs, an estimated total number of 1.5 to 2 million listeners are reached with our broadcastings throughout our coverage areas.

COVERAGE

All listeners are from:-

Shinyanga

  • Kahama town council
  • Msalala District
  • Ushetu District
  • Shinyanga District

Tabora

  • Nzega District Council
  • Tabora Municipal
  • Urambo
  • Kaliua

Geita

  • Mbogwe District Council
  • Ushirombo District
  • Nyalugusu
  • Bukoli

 Kigoma

  • Kakonko