Recent posts
August 31, 2023, 2:36 pm
Halmashauri ya Msalala yavuka lengo la makusanyo mapato
Na Paul Kayanda/Erick Felino MWENYEKITI wa Halmashauri ya Msalala Wilayani Kahama, Mkoani Shinyanga Mibako Mabubu amepongeza ushirikiano kati ya watendaji wa Halmashauri hiyo pamoja na Madiwani wake kwa kuvuka lengo la makusanyo ya mapato jambo ambalo itakuwa ni mfano wa…
August 31, 2023, 2:24 pm
Bandari tatu zatengewa Bilioni 60
Waandishi wa Habari mkoani shinyanga wametakiwa kuwa mstari wa mbele kwenye jamii katika kuizungumzia Bandari na matumizi yake ili wananchi waweze kufahamu matumizi yake na umhimu wake. Hayo yamesemwa na Afisa Bandari ya Isaka-Kahama mkoani Shinyanga, Abeli Mshang’a wakati akizunguzma…
August 24, 2023, 2:12 pm
TAKUKURU yabaini madudu matengenezo barabara Shinyanga
TAASISI ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Shinyanga, imembana Mkandarasi kutoka Kampuni ya Brampem Global Investment LTD, kurudia matengenezo ya barabara aliyojenga chini ya kiwango, pamoja na kukatwa fedha kutokana na kuchelewesha matengenezo hayo kinyume cha Mkataba,…
August 23, 2023, 4:53 pm
Watoto wafariki Tinde wakichezea gari
Watoto wawili wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 6 na 7 wamefariki dunia kwa kukosa hewa wakichezea gari katika Kitongoji Ng’ung’ula Kijiji cha Jomu kata ya Tinde wilaya ya Shinyanga. Mwenyekiti wa Kijiji cha Tinde, Juma Warioba ameiambia…
August 23, 2023, 2:15 pm
Mawe ya dhahabu yakamatwa yakitoroshwa kutoka mgodi wa Bulyanhulu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limekamata mawe yenye madini ya dhahabu yenye uzito wa gramu 6753.4 na thamani ya Tsh. Milioni 9 yakitoroshwa kutoka kwenye mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu wilayani Kahama huku pia likikamata Carbon yenye mchanga wenye…
August 23, 2023, 2:00 pm
Vijana washauri kujiajiri na kuacha kusubiri ajira za serikali
Kata ya kagongwa ni miongoni mwa maeneo ambayo yanasifika kwa mchanganyiko wa watu mbalimbali kibiashara. Na Njile Ntelu Vijana wa mtaa wa Iponya Kata ya Kagongwa Manispaa ya kahama mkoani Shinyanga, wamesema kuwa wameondokana na utegemezi wa ajira kutoka serikalini…
August 22, 2023, 10:12 am
Mkulima Shinyanga amwangukia Waziri wa Kilimo ukame kwenye mashamba yake
Paul Kayanda amezungumza na mkulima Shauri Elias namna ambavyo anafanya shughuli zake za kilimo sambamba na changamoto zinazomkabili. Na Paul Kayanda Mkulima wa kijiji cha Lyagiti kata ya Lyabukande halmashauri ya Shinyanga vijijini, Shauri Elias Mbelele amemuomba Waziri wa Kilimo…
August 21, 2023, 6:08 pm
Ilindi waomba kata kupunguza safari ndefu kwenda Zongomela
Mwenyekiti wa mtaa wa Ilindi kata ya Zongomela Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Dogo Mheziwa, ameliomba baraza la madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kuhalalisha mtaa wa Mwime ya Ilindi kuwa kata inayoweza kujiendesha yenyewe ili kupunguza…
August 4, 2023, 3:39 pm
Afariki, mwingine hoi kwa dawa za nguvu za kiume Kahama
Mwanaume aliyejulikana kwa jina la Hosam Elias mkazi wa Bukondamoyo kata ya Mhungula Mjini Kahama amefariki dunia huku mwenzake (jina limehifadhiwa) akinusurika kufa baada ya kunywa dawa zilizodaiwa kuongeza nguvu za kiume kwa mganga wa kienyeji aliyejulikana kwa jina la…
July 25, 2023, 1:59 pm
John Gabriel aeleza changamoto anazopitia baada ya kupata ajali
Mwanaume huyu anayejulikana kwa jina la John Gabriel Mandale mkazi wa kata ya Shunu wilayani Kahama mkoani Shinyanga amejikuta anapitia matatizo makubwa baada ya kupata ajali na kupasuka kichwa alipokuwa akitekeleza majukumu yake ya kikazi huko mkoani Geita Mgodini hali…