Recent posts
March 4, 2024, 3:06 pm
Afisa mipango miji Kahama asimamishwa kazi
“Huyu afisa alikuwa mpenzi wake na huyu mama kwahiyo penzi lilivyokufa huyu mama alikuwa anashindwa kudai haki yake ya kiwanja” Na Paschal Malulu-Huheso fm Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme amewasimamisha watumishi wanne wa halmashauri ya Manispaa ya Kahama…
September 19, 2023, 2:37 pm
Serikali kujenga shule ya sekondari mpya Ushetu
SERIKALI Kuu imetoa Sh milioni 603.8 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika kijiji cha Ngilimba kata ya Ulowa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Hatua hiyo itawanusuru wanafunzi kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 10 kuelekea…
September 15, 2023, 1:10 pm
Wananchi wasiogope Jeshi la Polisi-RPC Magomi
Kamanda Janeth Magomi amezungumzia elimu ambayo wamekuwa wakiitoa katika jamii ili kupunguza au kutokomeza matukio ya wizi, uvunjaji na uhalifu vinakwisha ambapo amesema polisi Kata wapo kwenye kila Kata ili kuzngumza na wananchi ili kuwafichua wahalifu na wamekuwa wakitoa elimu…
September 14, 2023, 7:36 pm
Clouds Ndondo Cup kuanza kutimua vumbi Kahama Oktoba Mosi
Mashindano ya Clouds Ndondo Cup yanatarajiwa kufanyika mjini Kahama kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu 2023 na usajili wa timu kushiriki wa timu utafungwa rasmi tarehe 22 Septemba 2023 na upangwaji wa makundi utafanyika Septemba 25, 2023 na kila kundi litakuwa…
September 13, 2023, 11:07 pm
Mechi ya pongezi kwa Taifa Stars yapigwa Kilago, Mgeja asifu vipaji
Katika mchezo huo Khamis Mgeja amehudhuria kama mgeni rasmi ambapo amepongeza jitihada zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuunga mkono na kusapoti michezo na kuwapatia taifa stars milioni mia tano kwa kufanikiwa…
September 13, 2023, 2:51 pm
Wazazi Nyahanga wahamasishana ujenzi wa vyoo shuleni
Na Paul Kayanda-Kahama WAZAZI na walezi katika Mtaa was Nyahanga Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga, wameombwa kuhamasika katika suala la uchangiaji wa ujenzi wa choo cha wavula kulingana na upungufu mkubwa uliopo. Kaimu mwenyekiti wa kamati ya shule ya msingi…
September 12, 2023, 11:26 am
Mgeja kuhudhuria mechi ya kuipongeza Taifa stars kufuzu Afcon
Khamis Mgeja licha tu ya kuwa mdau mkubwa wa michezo nchini amekuwa na mchango mkubwa katika kuhamasisha michezo nchini hasa kwenye masuala mazima yanagusa maslahi mapana ya wananchi na taifa kwa ujumla ambapo amekuwa akiunga mkono timu mbalimbali kwa michango…
September 10, 2023, 2:25 pm
Wanafunzi 12,120 Manispaa ya Kahama kufanya mtihani wa taifa juma lijalo
Katika mtihani huo wanafunzi wenye mahitaji maalum katika Manispaa ya Kahama ni kumi ambao wanajumuishwa na wenye uoni hafifu. Watahiniwa 12,120 wanaotarajiwa kuhitimu elimu ya msingi katika halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wanatarajiwa kufanya mtihani wa kitaifa wiki…
September 6, 2023, 1:27 pm
Moto wateketeza mabweni shule ya Mingas, wanafunzi wanusurika kifo
Na Paul Kayanda-Kahama Moto mkubwa uliozuka katika shule ya msingi Mingas uliopo katika eneo la Mayila mtaa wa Nyihogo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga, umeteketeza mabweni yote ya shule hiyo huku wanafunzi wakinusurika baada ya kuokolewa na jeshi la zima…
September 5, 2023, 12:16 pm
Tanroads yawakosha wananchi ujenzi wa barabara Shinyanga
Na Marco Maduhu – Kahama WANANCHI wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga,wamepongeza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoani humo, kwa ujenzi wa miundombinu imara ya Barabara, ambayo imekuwa kichocheo kikubwa cha uchumi,pamoja na akina mama wajawazito kuwahi kufika kwenye huduma…