06/12/2024, 20:16

Wilaya ya Kilosa imeanza mchakato wa bajeti ya kuboresha lishe

Wito umetolewa kwa serikali kutoa fedha kwa wakati na kwa kiwango kinachohitajika, huku jamii ikihamasishwa kuchukua jukumu kubwa katika kuhakikisha kila kaya inazingatia lishe bora kwa ajili ya afya na ustawi wa watoto. Na. Asha Rashid Madohola Wilaya ya Kilosa…

On air
Play internet radio

Recent posts

08/03/2026, 11:00

DC Kilosa azindua chanjo ya mifugo

Chanjo ya mifugo ni dawa maalum inayochomwa wanyama kama ng’ombe, mbuzi, kondoo na kuku ili kuwakinga dhidi ya magonjwa mbalimbali na husaidia kupunguza vifo vya mifugo, kuongeza uzalishaji wa maziwa na nyama, pamoja na kuhakikisha mifugo inakuwa na afya bora.…

05/03/2026, 10:24

Kilosa yahamasishwa kupima kisukari mapema

Kisukari ni ugonjwa unaotokea pale mwili unaposhindwa kuzalisha au kutumia vizuri homoni ya insulini, hali inayosababisha kuongezeka kwa kiwango cha sukari kwenye damu na kupima mapema huokoa maisha na husaidia kuepuka madhara makubwa kama matatizo ya figo na magonjwa ya…

03/03/2026, 13:21

DC Kilosa azindua Bima ya Afya kwa Wote

Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote ni mpango wa Serikali ya Tanzania unaolenga kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma za afya bila kuathiriwa na gharama kubwa za matibabu na mpango huu unasimamiwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya…

14/01/2026, 15:18

Vifo vya mama na mtoto vyapungua Kilosa

Uboreshaji wa huduma katika vituo vya afya pamoja na kuongezeka kwa uelewa wa jamii kuhusu umuhimu wa kujifungua salama umeelezwa kuwa miongoni mwa mafanikio ya jitihada za serikali katika kuboresha afya ya mama na mtoto wilayani Kilosa. Na Asha Madohola…

14/01/2026, 12:55

Vikundi 38 vyanufaika na mikopo Kilosa

Mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri ya Wilaya ni mpango wa serikali unaolenga kuwawezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa kutumia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri (asilimia 4 kwa wanawake, 4 kwa vijana na…

16/12/2025, 11:03

Vitamin A, dawa za minyoo zatolewa Kilosa

Mwezi wa Afya na Lishe ni kampeni ya kitaifa inayofanyika kila mwaka kuanzia Desemba 1 hadi 31, yenye lengo la kuboresha afya ya mama na mtoto kwa kutoa huduma muhimu za lishe katika vituo vya kutolea huduma za afyana huduma…

01/12/2025, 11:32

Mpango wa mil. 137 kupambana na lishe duni Kilosa

Chakula shuleni husaidia kupunguza utoro na kuimarisha mahudhurio kwa kuwa watoto wengi huhamasika kwenda shule wakijua watapata chakula na, huwasaidia watoto wa familia zisizo na uwezo mkubwa kupata mlo kamili angalau mara moja kwa siku, hivyo kupunguza athari za utapiamlo…

27/11/2025, 17:54

Maafisa lishe Kilosa watoa elimu ya vitamin A, lishe bora

Changamoto kubwa zinazokumba lishe kwa watoto na akina mama ni pamoja na ukosefu wa uelewa kuhusu lishe sahihi, umasikini, upatikanaji mdogo wa vyakula vya lishe, na mila au desturi zisizozingatia mahitaji ya lishe. Hali hii husababisha utapiamlo, upungufu wa damu,…

27/11/2025, 11:24

Vigodoro vyatajwa chanzo cha ukatili Kilosa

Kila mwaka kuanzia Novemba 25 hadi Desemba 10 Dunia hufanya kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia lengo likiwa ni  kupinga ukatili na kutetea haki za wanawake na watoto ambao wamekua wahanga wakubwa wa kufanyiwa ukatili wa kijinsia.…

24/11/2025, 13:26

Habari za uongo,kikwazo kwa biashara Kilosa

Habari za uongo zimekuwa kikwazo kikubwa katika maendeleo ya biashara, hasa katika jamii zinazotegemea taarifa sahihi kufanya maamuzi ya ununuzi na uuzaji. Na Aloycia Mhina Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Kilosa, Ndugu Joshua Chaluza Mbarikiwa, ametoa wito kwa wafanyabiashara na…

MISSION AND VISSION

Kilosa FM ni kituo cha kijamii kilichopo wilaya ya kilosa mkoani Morogoro, Tafadhari tembelea ukurasa wetu