Offline
Play internet radio

Recent posts

9 April 2024, 3:07 pm

Ujenzi wa barabara za kiuchumi wawakuna wakulima Kilosa

Serikali imedhamiria kwa dhati kumaliza changamoto za miundombinu ya barabara kwa kutengeneza madaraja, mifereji na makaravati wilayani Kilosa kwa kuondoa adha ya usafiri na kuwainua wananchi kiuchumi kwa kuweza kusafirisha mazao yao kuyapeleka kwenye masoko makubwa ambayo yatawaongezea kipato mara…

9 April 2024, 1:09 pm

Prof. Kabudi afuturisha mamia ya wakazi Rudewa

Zimesalia siku chache ili kuisha kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhan ambapo waislam duniani kote wamekuwa wakitimiza moja ya nguzo muhimu ya dini kwa kufunga na kufanya ibada na matendo mema huku wakidumisha amani, upendo na ushirikiano baina yao. Na Asha…

6 April 2024, 10:04 pm

Ujenzi tuta la mto Mkundi latumia milioni 30 kuzuia mafuriko Dumila

Kutokana na mafuriko ya mara kwa mara yanayotokea wilayani Kilosa hususani katika kata ya Dumila na kupelekea kuathiri shughuli za kiuchumi serikali imedhamiria kumaliza changamoto hiyo kwa kutenga fedha zitakazotumika katika ujenzi wa tuta ambalo litakuwa suluhisho. Na Asha Madohola…

29 March 2024, 5:06 pm

Watumishi watakiwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za serikali

Ili kuleta kasi ya maendeleo kwa wananchi wote watumishi inatakiwa waendane sambamba na miongozo ya kiserikali ya kiutendaji ambayo ndio itakua chachu pekee ya kuleta maendele. Na Asha Rashid Madohola Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg Michael…

18 March 2024, 1:50 pm

Prof. Kabudi akagua miradi ya shule, ahimiza wazazi kuwasomesha watoto

Katika kuhakikisha elimu inawafikia watoto wote nchini serikali imewekeza kuhakikisha shule za awali, msingi na sekondari zinakuwepo za kutosha hususan vijijini ambapo ilikuwa inawalazimu watoto kutembea umbali mrefu kwenda shule. Na Asha Rashid Madohola Mbunge wa jimbo la Kilosa Prof.…

10 March 2024, 1:05 am

Wananchi Mbumi watakiwa kuacha kutupa uchafu kwenye mifereji

Katika kuhakikisha wananchi wanaishi kwa usalama kipindi chote cha kiangazi na masika serikali imeamua kuwajenge mifereji ambayo itarahisha upitisha maji msimu wa mvua a na kupunguza maji kusambaa kwenye makazi ya watu na kuleta maafa. Na Asha Madohola Wananchi waishio…

27 February 2024, 10:16 am

Halmashauri Kuu ya CCM Kilosa yajipanga kumpongeza Rais Samia

Katika kipindi cha miaka mitatu wilaya ya Kilosa ilipatiwa fedha nyingi kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwepo ya sekta ya elimu, afya, maji na miundombinu ambayo utekelezaji wake umetekelezeka katika kata zote chini ya ilani ya chama cha…

23 February 2024, 6:43 pm

Wanawake Kilosa watakiwa kuchangamkia fursa za uongozi

Uchaguzi wa serikali za mitaa\vitongoji na vijiji utakafanyika mwaka huu 2024 ili kuchagua viongozi katika nafasi hizo ambazo zitawapa fursa ya kwenda kuwaongoza wananchi katika kuwaletea maendeleo kwa kuzingatia sheria na miongozo. Na Asha Madohola Wanawake wametakiwa kuchangamkia fursa kipindi…

17 November 2023, 2:19 pm

Waganga wafawidhi Kilosa wasisitizwa kutumia mfumo wa Got-HoMIS

Katika kuboresha huduma bora za afya na kudhibiti upotevu wa mapato katika vituo vya afya na zahanati serikali imevitaka vituo hivyo kuimarisha usimamizi wa utumiaji wa mfumo wa GoT-HoMIS  ambao utaleta ufanisi katika masuala ya usimamizi wa dawa,vifaa tiba, pamoja…

MISSION AND VISSION

Tembelea ukurasa wetu