Recent posts
14 January 2026, 3:18 pm
Vifo vya mama na mtoto vyapungua Kilosa
Uboreshaji wa huduma katika vituo vya afya pamoja na kuongezeka kwa uelewa wa jamii kuhusu umuhimu wa kujifungua salama umeelezwa kuwa miongoni mwa mafanikio ya jitihada za serikali katika kuboresha afya ya mama na mtoto wilayani Kilosa. Na Asha Madohola…
14 January 2026, 12:55 pm
Vikundi 38 vyanufaika na mikopo Kilosa
Mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na Halmashauri ya Wilaya ni mpango wa serikali unaolenga kuwawezesha kiuchumi wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa kutumia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri (asilimia 4 kwa wanawake, 4 kwa vijana na…
16 December 2025, 11:03 am
Vitamin A, dawa za minyoo zatolewa Kilosa
Mwezi wa Afya na Lishe ni kampeni ya kitaifa inayofanyika kila mwaka kuanzia Desemba 1 hadi 31, yenye lengo la kuboresha afya ya mama na mtoto kwa kutoa huduma muhimu za lishe katika vituo vya kutolea huduma za afyana huduma…
1 December 2025, 11:32 am
Mpango wa mil. 137 kupambana na lishe duni Kilosa
Chakula shuleni husaidia kupunguza utoro na kuimarisha mahudhurio kwa kuwa watoto wengi huhamasika kwenda shule wakijua watapata chakula na, huwasaidia watoto wa familia zisizo na uwezo mkubwa kupata mlo kamili angalau mara moja kwa siku, hivyo kupunguza athari za utapiamlo…
27 November 2025, 5:54 pm
Maafisa lishe Kilosa watoa elimu ya vitamin A, lishe bora
Changamoto kubwa zinazokumba lishe kwa watoto na akina mama ni pamoja na ukosefu wa uelewa kuhusu lishe sahihi, umasikini, upatikanaji mdogo wa vyakula vya lishe, na mila au desturi zisizozingatia mahitaji ya lishe. Hali hii husababisha utapiamlo, upungufu wa damu,…
27 November 2025, 11:24 am
Vigodoro vyatajwa chanzo cha ukatili Kilosa
Kila mwaka kuanzia Novemba 25 hadi Desemba 10 Dunia hufanya kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia lengo likiwa ni kupinga ukatili na kutetea haki za wanawake na watoto ambao wamekua wahanga wakubwa wa kufanyiwa ukatili wa kijinsia.…
24 November 2025, 1:26 pm
Habari za uongo,kikwazo kwa biashara Kilosa
Habari za uongo zimekuwa kikwazo kikubwa katika maendeleo ya biashara, hasa katika jamii zinazotegemea taarifa sahihi kufanya maamuzi ya ununuzi na uuzaji. Na Aloycia Mhina Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Kilosa, Ndugu Joshua Chaluza Mbarikiwa, ametoa wito kwa wafanyabiashara na…
18 November 2025, 6:17 pm
Sheria mpya kuwabana wazazi wasiochangia chakula
Hapa nchini katika baadhi ya shule bado kuna changamoto kubwa ya idadi ndogo ya wanafunzi wanaopata huduma ya chakula cha mchana mashuleni na inaelezwa tatizo hili linachangiwa na wazazi wengi kutokuwa na utayari wa kuchangia chakula hasa kwa watoto wasio…
24 October 2025, 7:52 pm
Wafanyabiashara Kilosa walia na ukosefu wa choo
Soko hilo la Kilabu cha Mtendeni linahudumia watu wengi kila siku, na bila choo, mazingira yameanza kuwa hatarishi kwa kusababisha uchafuzi unaoweza kusababisha magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu. Na Beatrice Majaliwa Wafanyabiashara wa soko la kilabu cha Mtendeni lililopo katika…
24 October 2025, 6:16 pm
Habari za uongo kikwazo kipindi cha uchaguzi
Kuelekea uchaguzi mkuu, kumekuwa na ongezeko la habari za uongo na uzushi zinazosambazwa hasa kupitia mitandao ya kijamii. Habari hizi huwalenga wagombea, vyama vya siasa na taasisi mbalimbali kwa lengo la kupotosha umma, kuchafua sifa za watu au kuvuruga amani.…