Radio Fadhila

Recent posts

26 August 2021, 5:16 AM

CHAMA Cha Mapinduz Kimewazawadia Vyeti Maalumu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimewazawadia vyeti maalumu vya kutambua mchango na juhudi wanazozifanya ndani ya Chama hicho ikiwemo kufanikisha upatikanaji wa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani mwaka 2020 Wanachama…

17 July 2021, 5:03 AM

Mazalia ya mbao maarufu kama rapurapu kutumika mkaa!!

Huu ni mkaa ambao umetengenezwa kutokana na mazalia ya mbao maarufu kama rapurapu baada ya mbao kurandwa mkaa huu unasifa bora ya unapotumia kwanza unatumia kiasi kidogo sana cha lakini pia unasifa ya kuwaka kwa muda mrefu tofauti na mkaa…

21 April 2021, 12:24 PM

MAMCU wafanya mkutano mkuu wa 21 wa mwaka

WAKULIMA wa Chama kikuu Cha Ushirika wa wakulima Masasi-Mtwara( MAMCU) hii leo April 21 – 2021 wanafanya mkutano mkuu wa 21 wa mwaka wenye lengo la kuchagua viongozi wa bodi wa Chama hicho ikiwemo kusoma mapato na matumizi.   Mkutano huo…