Radio Fadhila

Recent posts

28 February 2021, 4:28 AM

Afisa Habari wa Klabu ya Yanga hbumbuli ameshinda rufani

Afisa Habari wa Klabu ya Yanga @hbumbuli ameshinda rufani yake na Sasa yupo huru kuitumikia klabu yake. Ikumbukwe Bumbuli alifungiwa kujishughulisha na masuala ya soka kwa miaka 3 na Kamati ya Maadili ya TFF.

28 February 2021, 4:16 AM

DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba aiwaza Al Merrikh

DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba amesema kuwa mchezo wake ujao dhidi ya Al Merrikh utakuwa mgumu tofauti na wengi wanavyofikiria. Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Simba ikiwa ipo kundi A ipo nafasi ya kwanza na ina pointi…

28 February 2021, 4:07 AM

KIUNGO wa Yanga, Carlos anasikitika kwa kuonyeshwa kadi nyekundu

KIUNGO wa Yanga, Carlos Carlinhos amesema kuwa anasikitika kwa kuonyeshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wao wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora uliochezwa Uwanja wa Uhuru. Jana, Februari 27 wakati Yanga ikishinda bao 1-0 dhidi ya Ken Gold FC…

26 February 2021, 6:05 AM

Simba itakaribishwa na African Lyon

IKIWA Uwanja wa Mkapa leo Simba itakaribishwa na African Lyon kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao utachezwa majira ya saa 1:00 usiku. Chini ya Kocha Mkuu, Didier Gomes unakuwa ni mchezo wake wa kwanza kwenye Kombe la Shirikisho baada…

26 February 2021, 5:14 AM

BARAZA la Madiwani lapitisha Rasimu ya Bajeti 2021/2022

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara limepitisha Rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa fedha 2021/2022,Mpango huo umepitishwa katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika jana tarehe 24, Febuari katika ukumbi wa Halmashauri hiyo…