Huheso FM

Recent posts

November 10, 2021, 8:10 pm

Wananchi wazungumzia uelewa wa magonjwa yasiyo ambukiza

Wananchi wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamesema magonjwa yasiyoambukizwa yamekuwa ni changamoto kutokana na maisha ya mazoea katika jamii. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema watu wengi wanaopata magonjwa yasiyoambukizwa hawatambui mapema kutokana na kutokuwa na tabia ya kupima afya…

November 9, 2021, 8:48 pm

Wananchi walalamikia ukosefu wa kizimba cha kuhifadhi taka

Wananchi wa Mtaa wa Sokola Kata ya Majengo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wanakabiliwa na changamoto ya eneo maalumu la kuhifadhi taka hali inayopelekea kutupa taka hovyo katika eneo la mtu. Wakizungumza na Huheso Fm wakazi wanaoishi karibu na…

October 30, 2021, 11:49 pm

Usalama wa wanafunzi mashuleni wawapatia changamoto

Imeelezwa kuwa Usalama wa wanafunzi ndani na nje ya shule imekua changamoto hali inayowapelekea kushuka katika masomo yao katika Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga. Wameyasema hayo leo wanafunzi wakati wa kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ghama Hotel ambapo kimejumuisha shule…

October 30, 2021, 6:32 pm

Madarasa yatarajiwa kujengwa kwa mfumo wa force account.

Jumla ya madarasa 267 Wilayani Kahama mkoani Shinyanga yanatarajiwa kukamilika mwishoni  mwa mwezi Novemba mwaka huu kwa ajili ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza. Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga kuwa madarasa hayo yanatarajiwa kuanza…

October 13, 2021, 12:45 pm

Wakulima wapewa ruzuku za pembejeo

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga amewataka wakulima waliopatiwa ruzuku za pembejeo za kilimo na halmashauri kuhakikisha wanatumia vizuri pembejeo hizo kwenye kilimo kama ilivyokusudia. Festo kiswaga ameyasema hayo wakati akigawa  pembejeo hizo kwa wakulima ambapo amesema wakulima waliopatiwa …

October 1, 2021, 11:26 am

Mbunge aendelea kuchangia ujenzi wa shule za sekondari

Mbunge wa Jimbo la Kahama Mjini mkoani Shinyanga, Jumanne Kishimba amechangia millioni moja laki mbili na elfu hamsini kwa ajili ya ununuzi vifaa vya ujenzi wa shule ya sekondari ya Kata ya Kagongwa. Akizungumza katika ziara yake aliyoifanya ya kutembelea…

September 28, 2021, 8:36 pm

Wanaume chanzo cha ukatili wa kijinsia

Imeelezwa baadhi ya wanaume ndio chanzo kikubwa cha ukatili wa kijinsia katika jamii kutokana na kutokua tayari kupokea mabadiliko ya kupinga vitendo vya ukatili wilayani Kahama Mkoani Shinyanga. Kauli hiyo imetolewa na Mratibu mradi wa MWANAMKE AMKA Joyce Michael wakati…

September 27, 2021, 11:04 am

Mbunge wa Kahama mjini achangia ujenzi wa shule ya Sekondari Malunga

Mbunge wa jimbo la Kahama Mjini Jumanne Kishimba amechangia millioni moja na laki moja kwa ajili ya kukunua matofali ya kukamilisha ujenzi wa sekondari ya Kata ya Malunga wilayani Kahama Mkoani Shinyanga iliyoanza kujengwa hivi karibuni. Akizungumza katika ziara yake…

September 22, 2021, 4:49 pm

Wananchi watakiwa kujitokeza ujenzi wa Bomba la Mafuta-Kahama

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga amewataka wananchi wilayani humo kuchangamkia fursa za mradi wa ujenzi wa Bomba la mafuta ambao unapita wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Akizungumza katika kikao cha wadau wa EWURA na TPDC ambacho kimeshirikisha wafanyabiashara na…

September 22, 2021, 3:18 pm

Jeshi la Zimamoto latumia gari moja kuhudumia halmashauri tatu

Jeshi la Zimamoto na uokoaji wilayani Kahama mkoani Shinyanga limesema linakabiliwa na uhaba wa vifaa vya uokozi ikiwemo Magari. Hayo yamesemwa na mkuu wa jeshi hilo Hanafi Mkilindi wakati akizungumza na Huheso fm redio kuhusu mikakati ambayo wamekuwa wakiifanya katika…

Huheso Fm Radio

Vision

As a community servant, HUHESO FM RADIO will cultivate a synergy between art and information through social enterprise and creative programs that link diverse cultural backgrounds by stimulating the mind, body and soul. HUHESO FM RADIO will provide every person with a platform of pulsating perspectives to express themselves within the existing cultural diversities.

HUHESO FM RADIO will be the communities’ hub of information; an innovative and dynamic property of lifelong learning that will be open to all and free from the chains of any type of influence. When curiosity leads an individual to begin a voyage of enlightenment, HUHESO FM RADIO will be his or her vessel propelled by the winds of understanding.

Mission

HUHESO FM RADIO will be an independent, communities-based and, to an extent, a volunteer-run radio station dedicated to serve listeners in Kahama District council and neighboring areas.

In accordance with the HUHESO’s mission, and as partners with communities in the area of its coverage, it will engage itself in the transformation of the lives of people in Kahama District council through the exchange of compelling and enriching ideas using a diverse array of educational, informative and creative broadcast programs and services that engage, inspire and stimulate the empowerment of the communities in matters related to children and other community based affairs.

HUHESO FM RADIO aims to serve with particular regard for those individuals, groups, issues and music that have been overlooked, suppressed or under-represented by other media and to provide a forum for the exchange of cultural and intellectual ideas and music through an intuitive and inspirational approach.

Vibrant communities are well informed and involved, embrace diversity, respectfully share opinions and foster economic and social justice. HUHESO FM RADIO shall also build communities by bringing people together to celebrate the music of the world and give an alternative voice to the communities.

Objectives

With the aforementioned narrations, generally, HUHESO FM RADIO’S objectives are to ensure that there will be prompt and easy access to on- the-air (OTA) news, information, and music as well as other radio programs basing on facts and truth to the general folk in the local communities in Kahama District council.

The objectives are based on the recognition of the fact that in order to bring an alternative voice to the airwaves of Kahama District council and to thrive against current and potential future competition, HUHESO Foundation needs to build a radio that will be heavily influenced by the communities that it works for. Locally produced, alternative programming that covers and responds to local developments and the larger worldwide community is what will differentiate HUHESO FM RADIO from the more broad hand-outs of other public radio station as well as satellite radio and other developing technologies.

AUDIENCE

HUHESO FM Radio programs are dedicated to gratify the entire sectors of life. HUHESO FM RADIO offers a diverse combination of informational, educational and entertainment affairs programming reaching all age and sex groups. As we are going on with our radio programs, an estimated total number of 1.5 to 2 million listeners are reached with our broadcastings throughout our coverage areas.

COVERAGE

All listeners are from:-

Shinyanga

  • Kahama town council
  • Msalala District
  • Ushetu District
  • Shinyanga District

Tabora

  • Nzega District Council
  • Tabora Municipal
  • Urambo
  • Kaliua

Geita

  • Mbogwe District Council
  • Ushirombo District
  • Nyalugusu
  • Bukoli

 Kigoma

  • Kakonko