Radio Fadhila

Recent posts

31 October 2020, 8:11 AM

Kipindi cha Ujasiliamali -Radio Fadhila 95.0Fm

Kipindi cha ujasilia mali kichoelezea nmna ya watu walio amuwa kujiajili kwa kuanzisha biashara zao , kilimo n.k hapa utamsikia mjasilia mali kutoka shirika la mungu mwokozi fr. JUDE MASAWE alia amuwa kujishugulisha na kilimo cha bustani

20 October 2020, 11:04 AM

Viongozi wa kidini,na kimila wakutana kujadili kuhusu wanawake na uongozi

Kurugenzi mtendaji wa chama Cha wanahabari wanawake (TAMWA) Bi Rose Reuben amewataka viongozi wa kidini,kimila,na manguli wa maswala ya kijinsia kushiriki a na vyombo vya habar kutoa elimu kuhusu elimu ya nafasi ya uongozi wa wanawake, Reuben ameyazungumza hayo wakati…

19 October 2020, 10:53 AM

Prof Ibrahim Lipumba amefanya kampeni wilayani masasi

Mgombea uraisi kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF prf Ibrahim lipumba amefanya mkutano wa kampeni wilayani masasi katika eneo la uwanja wa fisi na kuzungumza na wakazi wa masisi prf lipumba aliwaahidi wananchi wa wilaya ya masasi endapo tu…