Radio Fadhila
Radio Fadhila
17 February 2023, 10:02
14 February 2023, 17:41
Na, Lilian martin Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Masasi, Wilayani Masasi, Mkoani Mtwara kupitia Baraza la Madiwani kwa kauli moja wameridhia kuwafukuza kazi wauguzi wawili wanaofanya kazi katika Hospitali ya Mkomaindo, Wilayani Masasi Wauguzi hao wanadaiwa kufanya uzembe wa…
4 February 2023, 11:08
Na Lawrence Kessy Askofu wa Jimbo Katoliki la Morogoro, Mhashamu Askofu Lazarus Vitalis Msimbe, SDS amewaomba mapadre na watawa kutumia hekima na busara za mababa wa Kanisa waliobobea kupitia maandiko mbalimbali ili wapate miongozo ili kupata uzoefu katika maisha ya…
3 February 2023, 15:49
Mazungumzo kujadili mpango wa Shule salama
2 February 2023, 10:20
31 January 2023, 12:04
Inspekta Magazi akiwa na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika wakati akiwapa elimu ya usalama barabarani kipengele cha waenda kwa miguu. Na Lawrence Kessy Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika, iliyopo Kata ya Mwenge Mtapika, Halmashauri ya Mji wa Masasi, …
30 January 2023, 16:17
Kikundi kinachosaidia watu wenye uhitaji kilichopo Wilayani Masasi,Mkoani Mtwara, kinachofahamika kama Upendo Charity kimeguswa na tatizo la mtoto Salma Pascha Machemba, mwenye umri wa miaka tisa (9) ambaye anaishi Kijiji cha Matekwe Majenanga, huko Nachingwea Vijijini. Salma ni mlemavu wa…
30 January 2023, 12:31
Shule ya Msingi Mkuti “B” Wilayani Masasi, imefanya Mkutano wake Mkuu wa Kwanza wa Shule hiyo na kuwachaguwa viongozi mbalimbali wa shule pamoja na kujadili ajenda za mipango ya maendeleo ya shule. Mkutano huo ambao umefanyika Shuleni hapo mapema wiki…
25 January 2023, 16:56
Hali ya miundombinu ya elimu katika shule ya msingi namajani imekuwa ni changamoto kubwa mpaka sasa shule ya msingi namajani inamadarasa manne tu, huku baadhi ya wanafunzi wakisoma chini ya mti. Hayo yabainishwa na diwani wa kata ya namajani Faraji…
25 January 2023, 16:25
Katika kuadhimisha wiki ya sheria Jaji wa mahakama kuu kanda ya Mtwara jaji Eliamani isaya laltaika amefanya ziara katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya masasi mkoani mtwara nakutumia ziara hiyo kwa ajili ya kutoa elimu kwa jamii na kusikiliza michango…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara