FM Manyara

Recent posts

25 September 2025, 9:45 am

Ndege amnadi mgombea udiwani Riroda

Na Marino Kawishe Kuelekea uchaguzi mkuu  wa Rais,Wabunge na Madiwani  unaotarajiwa kufanyika October 29 mwaka huu hapa Nchini Wananchi wa kata ya Riroda wamehimizwa kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura wakiwa na kadi za mpiga kura ili kumchagua Rais Samia…

24 September 2025, 5:27 pm

Mgombea Urais ADA TADEA awataka wananchi kusikiliza sera za wagombea

Mgombea Urais Wa Jamuhuri ya muungano Wa Tanzania kutoka chama Cha ADA TADEA Georges Bussungu amewataka wananchi kufikia katika kampeini za wagombea mbalimbali na kusikiliza sera bila kuwa na hofu ya aina yeyote. Na Diana Dionis Bussungu ameyasema hayo wakati …

23 September 2025, 6:36 pm

Mvua kunyesha wastani hadi chini ya wastani -Manyara

Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania(TMA)mkoa wa Manyara, imesema mvua  za msimu zinatarajia kunyesha chini ya wastani hadi wastani ambapo wananchi mkoani Manyara wametakiwa kuzingatia utabiri huo. Na Mzidalfa Zaid Hayo yameelezwa na Meneja wa TMA mkoa wa Manyara Salma…

21 September 2025, 3:32 pm

Wazazi watakiwa kuwalinda watoto dhidi ya ukatili

Wazazi mkoani Manyara wametakiwa kuwalinda watoto wao ambao wamehitimu darasa la saba katika kipindi hiki ambacho wanajiandaa kuingia kidato cha kwanza  ili wasifanyiwe vitendo vya ukatili. Na Mzidalfa Zaid Wito huo huo umetolewa na mkuu wa shule ya Greenland Primary…

19 September 2025, 12:09 pm

Aldersgate yamlipa mwalimu aliekuwa anadai stahiki zake

Kufuatia malalamiko ya Babigumira Sauli, raia wa Uganda, dhidi ya Shule ya Aldersgate,Babati mkoani Manyara akidai mafao yake kwa kipindi alichokuwa akifanya kazi shuleni hapo, hatimae amelipwa stahiki zake zote.  Na Mzidalfa Zaid Akizungumza mara baada ya kulipwa fedha hizo amesema…

16 September 2025, 6:38 pm

DC Kaganda awataka wakuu wa idara kutenda haki

Mkuu wa wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda leo amesikiliza na kutatua kero za wananchi ambapo amewataka wakuu wa idara kutenda  haki wanapotatua kero za wananchi. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza katika viwanja vya stendi ya zamani, Kaganda amesema kazi ya serikali…

16 September 2025, 4:36 pm

Asia Halamga azindua kampeni Hanang’

Na Marino Kawishe Wananchi katika jimbo  la hanang mkoani manyara wametakiwa kujitokeza october 29 kwenye uchaguzi mkuu wakumchagua rais, wabunge  na madiwani. Akifungua kampeni za kumnadi mgombea ubunge wa jimbo la hanang kwa tiketi ya ccm, mjumbe wa mkutano mkuu…

15 September 2025, 6:29 pm

Maafisa mifugo Babati Mji wakabidhiwa vishikwambi

Mkurugenzi wa halmashauri ya mji Babati CPA. Shaaban Mpendu  amekabidhi vishikwambi kwa wataalam wa mifugo na kuwaasa kutunza na kutumia vishikwambi hivyo kwa malengo yaliyokusudiwa. Na Mzidalfa Zaid Amesema vishikwambi hivyo vimetolewa na serikali kupitia wizara ya mifugo na uvuvi,…

14 September 2025, 8:59 am

Manyara kudhibiti ukondefu

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka maafisa lishe kukomesha tatizo la ukondefu mkali na utapiamlo Kwa kuifikia jamii na kutoa elimu Ili kudhibiti tatizo Hilo. Na Mzidalfa Zaid Sendiga ametoa kauli hiyo Leo katika kikao Cha tathimini ya…

12 September 2025, 10:32 am

Sillo azindua kampeni za Ubunge Babati vijijini kwa kishindo.

Na Marino Kawishe Mgombea ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi ( CCM) jimbo la Babati Vijijini Daniel Baran Sillo amewataka wananchi wa jimbo la Babati Vijijini kumchagua Rais Dr Samia Suluh Hassan kwenye uchaguzi utakaofanyika tarehe 29 october mwaka…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.