FM Manyara
FM Manyara
5 December 2025, 8:11 pm
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amefanya ziara ya ukaguzi wa mradi, kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua, ambapo ameanza ziara yake hiyo ya Kata kwa Kata, yenye kauli mbiu “tunavua buti ama hatuvui, tukutane site”. Na Mzidalfa Zaid…
5 December 2025, 4:50 pm
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kuitunza amani ya Tanzania na kuepukana na vurugu zinazosababishwa na baadhi ya watu wachahe ili kuijenga Tanzania yenye maendeleo. Na Angel Munuo Hayo yamesemwa leo na Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa chama cha mapinduzi…
4 December 2025, 2:13 pm
Halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara imetoa tuzo na zawadi kwa walimu na shule zilizofanya vizuri katika ufaulu wa masomo . Na Angel Munua Hafla hiyo imefanyika katika uwanja wa Tanzanite Kwaraa ikiwa na lengo la kutoa hamasa kwa…
3 December 2025, 5:47 pm
Mkuu wa mkoa wa manyara, Queen Sendiga, anatarajia kuanza ziara yake ya kusikiliza kero za wananchi pamoja na kutemblea miradi mbalimbali na ziara hiyo itafanyika chini ya kampeni maalum iitwayo “tunavua buti ama hatuvui, tukutane saiti”, ikiwa ni muendelezo wa…
2 December 2025, 8:36 pm
Madiwani kutoka kata za halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara wameapishwa rasmi leo kuanza kutekeleza majukumu yao pamoja na kufanyika uchaguzi wa kumchangua mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa Baraza la madiwani halmashauri ya mji wa Babati. Na Mzidalfa Zaid…
28 November 2025, 10:12 pm
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kushiriki zoezi la usafi katika maeneo yanayowazunguka kama ulivyo utaratibu wa kufanya usafi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi hapa nchini. Na Mzidalfa Zaid Afisa afya mkoa wa Manyara Suten Mwabulambo, amesema halmashauri zote mkoani humo…
28 November 2025, 2:02 pm
Wakulima mkoani Manyara wametakiwa kulima kilimo cha kisasa kwa kutumia mbegu na viuatilifu bora pamoja na kuzingatia ushauri unaotolewa na wataalamu wa kilimo katika maeneo yao. Na Mzidalfa Zaid Wito huo Umetolewa na mwakilishi wa mkurugenzi wa halmashauri ya mji…
27 November 2025, 4:31 pm
Mtandao wa jinsia tanzania (TGNP) imetoa mafunzo kwa kamati za viongozi ngazi ya vijiji na kata Na Marino Kawishe Mtandao wa jinsia tanzania (TGNP) umeendesha mafunzo yakuwajengea uwezo viongozi warakibishi waliopo kwenye kamati za mpango wa taifa wakutokomeza ukatili dhidi…
26 November 2025, 9:12 pm
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Florence George amekagua ujenzi wa jengo ya damu salama, jengo la wagonjwa mahututi na jengo la wagonjwa wa dharura katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza baada ya ukaguzi wa…
26 November 2025, 12:52 pm
Shirika la Umeme Tanzania Tanesco mkoa wa Manyara limeanza zoezi la kubadilisha Mita za umeme kwa kuondoa mita za zamani na kufunga mita janja (Smart Meters ) mita ambazo zitawezesha wateja pindi wanaponunua umeme kuingia moja kwa moja . Na…
COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.
Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.
We provide and promote business through the following
Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
Airing spot adverts.
Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.
COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.
VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.
MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.