FM Manyara

Recent posts

26/02/2026, 14:13

Waadventisti wasabato Babati, watoa matibabu kwa wananchi wa Nakwa

Zaidi ya Wananchi 116 kutoka kata ya Nakwa wilayani Babati mkoani Manyara wamefanyiwa  uchunguzi wa magonjwa mbali mbali ikiwemo kufanyiwa vipimo vya presha, kisukari na shinikizo la juu la damu zoezi ambalo limeendeshwa na kanisala la waadventisti wasabato mjini Babati.…

24/02/2026, 18:16

PSSSF yawanoa maafisa utumishi, wahasibu Manyara

Mfuko wa Maendeleo ya jamii PSSSF umeendelea kuboresha  huduma  zao  kwa njia ya kidijitali kwa kuwafikia maafisa utumishi  na wahasibu katika mikoa kumi kwa kufikisha elimu kwa wanachama wa mfuko huo.  Na Emmy Peter Hayo yamesemwa na Meneja wa PSSSF …

24/02/2026, 16:12

Manyara kuboresha huduma za umeme, maji, barabara

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema mkoa huo utaboresha huduma za umeme, maji na barabara. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza katika kikao cha 40 cha kamati ya usafiri mkoa, Sendiga amesema mkoa wa Manyara umepokea zaidi ya shilingi bilion…

23/02/2026, 22:26

RC Sendiga aziagiza TANROAD, TARURA kukarabati barabara korofi Manyara

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewaagiza Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini(TARURA) na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD) Mkoa wa Manyara kuomba fedha za dharura kukarabati barabara zinazoharibiwa na mvua. Na Mzidalfa Zaid Amesema hayo Leo katika kikao…

19/02/2026, 13:55

DC Kaganda awaonya wanaoharibu miundombinu

Mkuu wa wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda amekemea tabia ya baadhi ya wananchi wasio na uzalendo ambao wamekuwa wakiharibu miundombinu makusudi na kupelekea wananchi kukosa huduma. Na Mzidalfa Zaid Kaganda amesema hayo katika Baraza maalum la madiwani la halmashauri ya…

18/02/2026, 18:52

Mfumo wa e-mrejesho unavyohudumia wananchi kwa wakati

Naibu waziri, ofisi ya rais – menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora, mhe. Regina Qwaray amesema serikali imeanzisha mfumo wa e-mrejesho ambao ni jumuishi unaomwezesha mwananchi kutuma,kufuatilia na kupokea mrejesho wa malalamiko,mapendekezo, maulizo au pongezi. Na Mzidalfa Zaid…

17/02/2026, 18:08

Makosa 76 yaripotiwa Manyara ndani ya miezi 3

Jumla ya makosa 76  yakiwemo  makosa ya mauaji, kubaka na ulawiti  yameripotiwa kutokea  mkoani  Manyara katika kipindi cha miezi mitatu  kuanzia mwezi wa kumi na moja mwaka jana 2025  hadi mwezi wa pili  mwaka huu 2026. Na George Agustino Taarifa…

17/02/2026, 17:44

Baraza la madiwani Babati lajadili bajeti mwaka 2026/2027

Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Babati limejadili rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka fedha 2026/2027 na kugusa sekta mbali  mbali. Na Mzidalfa Zaid Katika baraza hilo mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Babati John Noya amewataka madiwani…

16/02/2026, 17:16

Halmashauri ya wilaya ya Babati kunufaika na elimu ya uhifadhi

Shirika la Lesson in Conservation (L.I.C) kwa kushirikiana na Taasisi ya Chem Chem Association wamezindua mradi wa elimu ya uhifadhi mashuleni unaolenga shule za msingi na sekondari zilizopo  katika kata tatu zinazunguka hifadhi ya Tarangire na Manyara. Na Marino Kawishe…

13/02/2026, 20:16

Serikali yaendelea kutambua mchango wa vyombo vya habari

Leo ikiwa ni siku ya redio duniani, mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema serikali inaendelea kutambua mchango wa vyombo vya habari kwa kuwa vinaelimisha jamii. Na Mzidalfa Zaid Akiongea na fm Manyara radio, Sendiga amesema mchango wa vyombo…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.