FM Manyara
FM Manyara
2 July 2025, 4:05 pm

Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuwarudisha shule wanafunzi wa kike ambao walikatiza masomo yao kwa sababu mbali mbali ikiwemo ujazito, ndoa za utotoni au sababu nyingine ambazo zilipelekea wanafunzi hao kukatisha masomo yao.
Na Mzidalfa Zaid