Radio Fadhila
Radio Fadhila
9 November 2020, 04:11
Msikilize shAibu ambaye yeye ni mjasilia mali anajihusisha na utengenezaji wa mitungi ya kupandia maua amea amua kujiajili na kazi hii ndi inayompa kipato cha kujikimu yeye na familia yake HOST- MATHEW MAGASHA
3 November 2020, 11:51
sikiliza maoni juu wa mada iliyokuwa izungumziwa katika kipindi cha amka na radio fadhila 95.0 fm JE NI KWELI BAADHI YA WAZAZI NI CHANZO CHA VIJANA KUINGIA KATIKA MAKUNDI MABAYA KAMA VILE MAKUNDI YA KIHARIFU, UVUTAJI BANGI,WIZI USHERATI N.K NINI…
2 November 2020, 04:12
kipindi cha sheria utasikia mazungumzo na wanasheria wakizungumzia UMILIKI WA ARIDHI NA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARIDHI host-MATHEW MAGASHA
2 November 2020, 03:16
KIPINDI cha watu mashuri hii leo utasikiliza harakati za kudai uhuru kutoka kwa Patrice Lumumba-Congolese politician and independence leader ikiwemo barua aliyo iandika kwa mkewe akiwa gerezani. host- Edwin Mpokasye
31 October 2020, 08:11
Kipindi cha ujasilia mali kichoelezea nmna ya watu walio amuwa kujiajili kwa kuanzisha biashara zao , kilimo n.k hapa utamsikia mjasilia mali kutoka shirika la mungu mwokozi fr. JUDE MASAWE alia amuwa kujishugulisha na kilimo cha bustani
31 October 2020, 07:54
kipindi kinachozungumzia mafanikio ya uongozi kwa mwanamke katika ngazi ya kiserikali pamoja na ujasilia mali host- lilian
28 October 2020, 15:23
hawa ni baadhi wa wananchi walioko katika wilaya ya masasi wakishiriki katika zoezi la kupiga kura uchaguzi mkuu 2020 kumchagua mbunge raisi na madiwani
28 October 2020, 15:14
huyu ni mkuu wa wilaya ya masasi mh seleman mzee akipiga kura leoo hii kumchagua rais , mbunge na madiwani kati uchaguzi mkuu wa 2020
26 October 2020, 04:03
MSIMAMIZI wa Uchaguzi jimbo la Masasi mjini, ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya mji Masasi, Gimbana Ntavyo( pichani katikati) amewataka Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi wa vituo vya kupigia kura jimbo hilo la Masasi mjini kwenda kufanya kazi zao…
20 October 2020, 11:04
Kurugenzi mtendaji wa chama Cha wanahabari wanawake (TAMWA) Bi Rose Reuben amewataka viongozi wa kidini,kimila,na manguli wa maswala ya kijinsia kushiriki a na vyombo vya habar kutoa elimu kuhusu elimu ya nafasi ya uongozi wa wanawake, Reuben ameyazungumza hayo wakati…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara