FM Manyara
FM Manyara
1 September 2025, 4:18 pm
Wawekezaji  mkoani Manyara wanaohitaji kufuga wanyamapori na kuwapa fursa wananchi kuona wanyama katika maeneo yao, wametakiwa kuwasiliana na uongozi wa pori la akiba Mkungunero ili kupewa utaratibu wa kufuga wanyama hao. Na Mzidalfa Zaid Hayo yameelezewa leo na afisa Utalii…
29 August 2025, 6:28 pm
Vyombo vya habari vimekuwa msaada mkubwa wa kuisadia jamii kwa kuibua na kufikisha ujumbe kwa mhusika, ambapo katika kipindi hiki cha kulekea uchaguzi mkuu, tumejionea namna ambavyo vyombo vya habari vimeonesha mchango mkubwa kwa wanawake wanaowania nafasi mbali mbali za…
29 August 2025, 6:07 pm
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kiujitokeza katika maadhimisho ya juma la elimu ya watu wazima linalotarajia kuanza september 2 hadi september 4 mwaka huu katika viwanja vya Stendi ya zamani. Na Mzidalfa Zaid Afisa elimu ya watu wazima mkoa wa Manyara…
23 August 2025, 10:41 pm
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Manyara imewataka wagombea nafasi mbalimbali za uongozi kutotoa rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Na Mzidalfa Zaid Hayo yameelezewa leo na afisa TAKUKURU mkoa wa Manyara Hamis Mwinyi,…
21 August 2025, 4:33 pm
Serikali mkoani Manyara , imeelezea sababu zilizopelekea kushuka kwa bei ya Mbaazi , kufuatia kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa wakulima wakilalamikia bei ya mbaazi kushuka na kuuzwa kilo moja kwa shilingi 800. Na Mzidalfa Zaid Mrajisi msaidizi wa vyama vya…
17 August 2025, 12:22 pm
Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA)imebaini uwepo wa bidhaa ya Dettol za maji bandia zinazotengenezwa kinyume cha sheria kwa njia haramu na kubandikwa lebo kuonesha ni dettol zilizo halisi. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza na Fm Manyara, Meneja wa TMDA…
17 August 2025, 10:21 am
Vijana Wilayani Babati Mkoani Manyara wametakiwa kuzingatia afya zao kwa kula vyakula ambavyo vina virutubisho ili kujenga na kulinda afya zao pia kupima afya zao mara kwamara na kujikinga na magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya zinaa. Na George Augustino Halmashauri…
8 August 2025, 2:03 pm
Baada ya Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji(EWURA) kutangaza bei mpya ya mafuta ambayo imeanza kutumika mwezi Agast , kwa kanda ya kaskazini wafanyabiashara wa mafuta  wametakiwa kuuza mafuta kwa bei elekezi. Na Mzidalfa Zaid Meneja wa…
8 August 2025, 12:26 pm
Mkuu wa wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara Faki Lulandala, amewataka wakulima, wavuvi na wafugaji kutumia fursa ya mikopo inayotolewa na halmashauri kukuza mitaji Yao na kujiinua kiuchumi. Na Mzidalfa Zaid Lulandala ametoa wito huo mkoani Arusha ,alipokuwa mgeni rasmi wa…
24 July 2025, 6:42 pm
Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga, amemwagiza mkandarasi ambaye amekabidhiwa mradi wa ujenzi wa stendi kuu ya mabasi mkoa wa Manyara, kuhakikisha anakamilisha ujenzi huo kwa wakati ili ianze kutumika na wananchi wanufaike na mradi huo.…
COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.
Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.
We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.
COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.
VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.
MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.