Recent posts
19 February 2026, 1:55 pm
DC Kaganda awaonya wanaoharibu miundombinu
Mkuu wa wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda amekemea tabia ya baadhi ya wananchi wasio na uzalendo ambao wamekuwa wakiharibu miundombinu makusudi na kupelekea wananchi kukosa huduma. Na Mzidalfa Zaid Kaganda amesema hayo katika Baraza maalum la madiwani la halmashauri ya…
18 February 2026, 6:52 pm
Mfumo wa e-mrejesho unavyohudumia wananchi kwa wakati
Naibu waziri, ofisi ya rais – menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora, mhe. Regina Qwaray amesema serikali imeanzisha mfumo wa e-mrejesho ambao ni jumuishi unaomwezesha mwananchi kutuma,kufuatilia na kupokea mrejesho wa malalamiko,mapendekezo, maulizo au pongezi. Na Mzidalfa Zaid…
17 February 2026, 6:08 pm
Makosa 76 yaripotiwa Manyara ndani ya miezi 3
Jumla ya makosa 76 yakiwemo makosa ya mauaji, kubaka na ulawiti yameripotiwa kutokea mkoani Manyara katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia mwezi wa kumi na moja mwaka jana 2025 hadi mwezi wa pili  mwaka huu 2026. Na George Agustino Taarifa…
17 February 2026, 5:44 pm
Baraza la madiwani Babati lajadili bajeti mwaka 2026/2027
Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Babati limejadili rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka fedha 2026/2027 na kugusa sekta mbali mbali. Na Mzidalfa Zaid Katika baraza hilo mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Babati John Noya amewataka madiwani…
16 February 2026, 5:16 pm
Halmashauri ya wilaya ya Babati kunufaika na elimu ya uhifadhi
Shirika la Lesson in Conservation (L.I.C) kwa kushirikiana na Taasisi ya Chem Chem Association wamezindua mradi wa elimu ya uhifadhi mashuleni unaolenga shule za msingi na sekondari zilizopo katika kata tatu zinazunguka hifadhi ya Tarangire na Manyara. Na Marino Kawishe…
13 February 2026, 8:16 pm
Serikali yaendelea kutambua mchango wa vyombo vya habari
Leo ikiwa ni siku ya redio duniani, mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema serikali inaendelea kutambua mchango wa vyombo vya habari kwa kuwa vinaelimisha jamii. Na Mzidalfa Zaid Akiongea na fm Manyara radio, Sendiga amesema mchango wa vyombo…
13 February 2026, 7:52 pm
Serikali yavutiwa na uwekezaji wa Ayaren Lifestyle Hotel
Ayaren Lifestyle Hotel iliyopo mkoani Manyara imezinduliwa rasmi leo na kuhudhuriwa na viongozi kutoka Taasisi , kampuni na maeneo mbali mbali ya mkoa wa Manyara ambao wamejionea uwekezaji mkubwa uliofanyika mkoani hapa. Na Mzidalfa Zaid Akiongea katika uzinduzi huo Meneja…
12 February 2026, 4:59 pm
TMA Manyara yatoa mwelekeo wa mvua mwezi march –may
Mamlaka ya hali ya hewa mkoa wa Manyara imesema kwa kipindi cha kuanzia mwezi march hadi mwezi mei kunatarajiwa kuwa na mvua za kiwango cha kawaida hadi wastani. Na Mzidalfa Zaid Akiongea na fm Manyara meneja wa TMA mkoa wa…
12 February 2026, 4:37 pm
STC kupanua miradi yake  Manyara
Shirika la SO THEY CAN Tanzania limesema kwa mwaka huu wa 2026 linatarajia kupanua wigo wake kwa mkoa wa Manyara ili kufikia maeneo mengine yenye changamoto mbali mbali zinazowakabili wananchi huku bajeti yao ikiongezeka mwaka hadi mwaka tangu kuanza kufanya…
7 February 2026, 11:01 am
RC Sendiga akabidhi kadi za bima ya afya kwa wote kwa kaya maskini
Zaidi kaya maskini 60 katika kijiji cha Imbilili wameanza kunufaika na mpango wa bima wa afya kwa wote katika mpango wa kwanza wa ugawaji wa bima hizo. Na Emmy Peter Akikabidhi kadi hizo kwa wananchi hao mkuu wa mkoa wa Mnyara …