Offline
Play internet radio

Recent posts

19 February 2026, 1:55 pm

DC Kaganda awaonya wanaoharibu miundombinu

Mkuu wa wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda amekemea tabia ya baadhi ya wananchi wasio na uzalendo ambao wamekuwa wakiharibu miundombinu makusudi na kupelekea wananchi kukosa huduma. Na Mzidalfa Zaid Kaganda amesema hayo katika Baraza maalum la madiwani la halmashauri ya…

18 February 2026, 6:52 pm

Mfumo wa e-mrejesho unavyohudumia wananchi kwa wakati

Naibu waziri, ofisi ya rais – menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora, mhe. Regina Qwaray amesema serikali imeanzisha mfumo wa e-mrejesho ambao ni jumuishi unaomwezesha mwananchi kutuma,kufuatilia na kupokea mrejesho wa malalamiko,mapendekezo, maulizo au pongezi. Na Mzidalfa Zaid…

17 February 2026, 6:08 pm

Makosa 76 yaripotiwa Manyara ndani ya miezi 3

Jumla ya makosa 76  yakiwemo  makosa ya mauaji, kubaka na ulawiti  yameripotiwa kutokea  mkoani  Manyara katika kipindi cha miezi mitatu  kuanzia mwezi wa kumi na moja mwaka jana 2025  hadi mwezi wa pili  mwaka huu 2026. Na George Agustino Taarifa…

17 February 2026, 5:44 pm

Baraza la madiwani Babati lajadili bajeti mwaka 2026/2027

Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Babati limejadili rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka fedha 2026/2027 na kugusa sekta mbali  mbali. Na Mzidalfa Zaid Katika baraza hilo mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Babati John Noya amewataka madiwani…

16 February 2026, 5:16 pm

Halmashauri ya wilaya ya Babati kunufaika na elimu ya uhifadhi

Shirika la Lesson in Conservation (L.I.C) kwa kushirikiana na Taasisi ya Chem Chem Association wamezindua mradi wa elimu ya uhifadhi mashuleni unaolenga shule za msingi na sekondari zilizopo  katika kata tatu zinazunguka hifadhi ya Tarangire na Manyara. Na Marino Kawishe…

13 February 2026, 8:16 pm

Serikali yaendelea kutambua mchango wa vyombo vya habari

Leo ikiwa ni siku ya redio duniani, mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema serikali inaendelea kutambua mchango wa vyombo vya habari kwa kuwa vinaelimisha jamii. Na Mzidalfa Zaid Akiongea na fm Manyara radio, Sendiga amesema mchango wa vyombo…

13 February 2026, 7:52 pm

Serikali yavutiwa na uwekezaji wa Ayaren Lifestyle Hotel

Ayaren Lifestyle Hotel iliyopo mkoani Manyara imezinduliwa rasmi leo na kuhudhuriwa na viongozi kutoka Taasisi , kampuni na maeneo mbali mbali ya mkoa wa Manyara ambao wamejionea uwekezaji mkubwa uliofanyika mkoani hapa. Na Mzidalfa Zaid Akiongea katika uzinduzi huo Meneja…

12 February 2026, 4:59 pm

TMA Manyara yatoa mwelekeo wa mvua mwezi march –may

Mamlaka ya hali ya hewa mkoa wa Manyara imesema kwa kipindi cha kuanzia mwezi march hadi mwezi mei kunatarajiwa kuwa na mvua za kiwango cha kawaida hadi wastani. Na Mzidalfa Zaid Akiongea na fm Manyara meneja wa TMA mkoa wa…

12 February 2026, 4:37 pm

STC kupanua miradi yake  Manyara

Shirika la SO THEY CAN Tanzania limesema kwa mwaka huu wa 2026 linatarajia kupanua wigo wake kwa mkoa wa Manyara ili kufikia maeneo mengine yenye changamoto mbali mbali zinazowakabili wananchi huku bajeti yao ikiongezeka mwaka hadi mwaka tangu kuanza kufanya…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.