FM Manyara

Jamii yatakiwa kutembelea vivutio vya ndani 

27 September 2025, 8:52 pm

Picha ya vivutio vya utalii

Leo ikiwa ni siku ya utalii duniani ambayo huadhimishwa September 27 kila mwaka , jamii imetakiwa kuweka utaratibu wa kutembelea vivutio vinavyopatikana katika hifadhi zinazopatikana Kanda ya kaskazini.

Na Mzidalfa Zaid

FM Manyara Radio imekuandalia makala fupi inayozungumzia siku ya utalii duniani ambapo imezungumza na wataalamu kutokaTAWA Kanda ya Kaskazini, TAWA Mfumo Ikolojia Simanjiro Lolkisale,Burunge WMA na Randilen WMA.

Karibu usikilize makala fupi.

Sauti ya makala inayozungumzia siku ya utalii duniani