Utalii
29 June 2026, 08:53
DC Uvinza asikiliza kero za wananchi atakaa uimarishaji utoaji wa huduma
Serikali ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na changamoto zao zinatatuliwa kwa wakati na mojawapo ya njia zinazosaidia kufanikisha jambo hili ni viongozi kuwafikia wananchi moja kwa moja, kusikiliza maoni yao na kutafuta suluhisho la matatizo yanayowakabili Na…
23 June 2026, 14:47
Wajane watakiwa kupigania haki zao kisheria Kigoma
Wajane ni kundi muhimu katika jamii ambalo mara nyingi hukumbana na changamoto mbalimbali za kijamii, kiuchumi na kisheria baada ya kufiwa na wenza wao na ni muhimu kwa wajane kutambua na kupigania haki zao ili waweze kuishi maisha bora na…
19 June 2026, 20:44
Mahakama tatu za mwanzo zazinduliwa Kigoma
Uzinduzi wa mahakama hizo kunatajwa kusogeza huduma karibu na wananchi ambao walitumia muda mwingi kufuata huduma za mahakama mbali na maeneo yao Na Timotheo Leonard Mahakama za Mwanzo za Bangwe, Herujuu na Manyovu zimezinduliwa rasmi leo Juni 19, 2026 mkoani…
2 June 2026, 19:20
ZECO, Airtel Money zaunganisha nguvu kurahisisha ununuzi wa umeme Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea kuimarisha sekta ya nishati kwa kutumia teknolojia za kisasa ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya umeme ya kuaminika na nafuu. Hatua hiyo imejidhihirisha kupitia ushirikiano kati ya Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) na…
13 May 2026, 11:40
Mtatifikolo: Nipo tayari kuwatumikia Wanaismani
Na Hafidh Ally Wananchi wa Tarafa ya Pawaga Kata ya Itunundu Wilaya ya Iringa Vijijini wamejitokeza katika Uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Isimani kupitia Mgombea Ubunge kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Emmanuela Mtatifikolo. Wananchi…
May 12, 2026, 9:38 am
Madiwani na Watumishi kuchangia elfu 12 za taka
‎Pendekezo hilo la kutoa shilingi 1,000 kila mwezi kama ada ya taka limetolewa na Meya Acton Rwankomezi kutokana na kutozolewa taka kwa wakati sababi ikiwa ni ukosefu wa magari ya kubeba taka Na Enock Yoronimo- Bukoba, KAGERA Kutokana na changamoto…
27 March 2026, 13:50
Tanga waaswa kutowanyanyapaa wenye matatizo ya afya ya akili
“Hapa kwetu tuna vituo 33 vya kutolea matibabu ya afya ya akili, ambavyo vinajumuisha vituo vyote vya kutolea huduma za afya kuanzia ngazi ya Zahanati hadi hospital“ Na Mwandishi Wetu Wananchi katika wilaya ya Tanga, mkoani Tanga wameaswa kuepuka kutumia…
6 February 2026, 3:19 pm
34 wadakwa kwa makosa mbalimbali Katavi
SACP Kaster Ngonyani kamanda wa polisi Katavi. Picha na Anna Mhina “Tumefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 34 kwa makosa mbalimbali” Na Anna Mhina Jeshi la polisi mkoa wa Katavi limeendelea kuimarisha ulinzi na usalama kwa raia na mali zao kwa kufanya operasheni,…
3 February 2026, 9:32 am
Mahakama za mwanzo Kahama zamaliza kesi zote kwa mwaka 2025
”Kwa mwaka 2025, mahakama za mwanzo za wilaya ya Kahama zimefanikiwa kumaliza kesi zote na kuvuka kesi” Mahakama za mwanzo wilayani Kahama mkoani Shinyanga kwa mwaka 2025 zimefanikiwa kumaliza kesi zote kwa mwaka huo na kuvuka na kesi 0. Hayo…
8 January 2026, 1:06 pm
Mzozo wa imani, mila Arusha, askofu Mwamba aanika chanzo
Na Nyangusi Olesang’ida Viongozi wa dini mkoani Arusha wameibua hofu juu ya mmomonyoko wa maadili na kupoteza sifa za kiroho kwa watumishi wa Mungu wanaojiingiza kwenye tamaduni za tohara za kienyeji ambazo zinakinzana na misingi ya kanisa. Askofu Dr. Joel…