Radio Tadio

Utalii

6 June 2023, 4:23 pm

Wananchi wahimizwa kufanya utalii wa ndani

Dhana ya wananchi ya kuamini utalii hufanywa na watu kutoka nje ya nchi inakwamisha sana sekta ya utalii nchini. Na Alfred Bulahya. Kuelekea siku ya maporomoko ya maji duniani, watanzania wametakiwa kuacha kuamini kuwa suala la utalii linafanywa na watu…

19 April 2023, 2:43 pm

Ishara zipi ambazo kaka kuona hutabiri

Je chifu Tupa atamuwekea nini Kaka kuona ili aweze kutabiri ishara zinazo kuja. Na Yussuph Hassani. Hii ni imani ambayo ipo kwenye jamii na tulipo fika katika kijiji cha Makang’wa tulikuwa watu wa kijiji hicho wana hamu kubwa ya kutaka…

28 March 2023, 3:58 pm

Wakazi wa Dodoma wahamasishwa kutembelea vivutio vya utalii

Ili kukuza utalii katika Mkoa wa Dodoma Taasisi mbalimbali, wadau pamoja na wananchi kutembelea katika mapori hayo ya akiba. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amewataka wananchi,Taasisi pamoja wadau mbalimbali kushiriki kutembelea katika vivutio vilivyopo…

23 November 2022, 1:45 pm

Wananchi watakiwa kujitokeza kupata elimu ya utalii.

Na; Benard Filbert. Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wameombwa kujitokeza  kwenye tamasha la utalii katika eneo la Nyerere square  tarehe 26 mwezi huu kwa  lengo la kupata elimu ya utalii. Hayo yameelezwa na Dorothea Masawe  kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa…

23 October 2022, 9:47 am

Onesho La S!Te 2022 Kufungua Fursa Za Utalii

NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amesema uwepo Onesho la Kimataifa la Utalii la Swahili (S!TE) katika Jiji la Dar es Salaam ni fursa kubwa kwa jijini hilo kutangaza vivutio vyake. Amesema kuwa Jiji la Dar…