FM Manyara

Mchango Vyombo vya habari katika kuwasadia wanawake kuwania nafasi za uongozi

29 August 2025, 6:28 pm

picha ya baadhi ya waandishi wa habari wakitekeleza majukumu yao

Vyombo vya habari vimekuwa msaada mkubwa wa kuisadia jamii kwa kuibua na kufikisha ujumbe kwa mhusika, ambapo katika kipindi hiki cha kulekea uchaguzi mkuu, tumejionea namna ambavyo vyombo vya habari vimeonesha mchango mkubwa kwa wanawake wanaowania nafasi mbali mbali za uongozi.

Karibu usikilize makala maalum iliyoandaliwa na Mzidalfa Zaid kwa kushirikiana na Hawa Rashid

sauti ya Makala