Recent posts
18 March 2026, 3:15 pm
Serikali ya Burundi yapongezwa kulinda, kudumisha amani DRC
Wanyamulenge imempongeza Rais Evariste Ndayishimiye kwa juhudi zake za kusimamia amani nchini DRC,kusaidia na kuwajali watu wa Kongo Na. Bukuru Daniel Jamii ya Wanyamulenge kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokarsia ya Kongo wamempongeza Rais Evarsite Ndayishimiye katika jukumu la serikali yake…
13 March 2026, 6:05 pm
Watumishi sita wa afya wafa maji Kigoma
watu sita wamethibitika kufariki dunia na miili yao imepatikana, huku watu wengine watatu waliokuwa kwenye boti hiyo wakiendelea kutafutwa na vikosi vya uokoaji kwa kushirikiana na wananchi Na. Abdunuru Shafii Watumishi sita wa Idara ya Afya kutoka Halmashauri ya Wilaya…
13 March 2026, 3:05 pm
Uvinza yapokea trekta 19 za kilimo
maafisa ugani kuwa karibu na wakulima kwa kuwapatia elimu na ushauri wa kitaalamu Na. Abdunuru Shafii Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuwekeza katika zana za kisasa za kilimo ikiwemo matrekta makubwa na…
9 March 2026, 10:09 pm
Wanawake tupunguze maneno kwa waume zetu
anapoanza kwenda huko inaweza kuwa sababu ya familia kutelekezwa na watoto kukosa huduma za Msingi Na. Abdunuru Shafii Mkuu wa Dawati la Jinsia na watoto Wilaya ya Uvinza na Polisi Kata Inspekta Winfrida Joram, amewataka akina mama kutokuwa na maneno…
5 February 2026, 4:23 pm
TRA Uvinza yatoa mafunzo mfumo mpya wa IDRAS
IDRAS ni mfumo jumuishi wa kodi za ndani unaolenga kumwezesha mlipakodi kupata huduma mbalimbali za kikodi akiwa katika eneo lake la biashara. Na Abdunuru Shafii Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kigoma imeendesha mafunzo kwa wafanyabiashara wa Wilaya ya…
3 February 2026, 2:06 am
Mbinu zinazochangia upotevu wa mazao shambani
Kila msimu wa mavuno unapofika, mashamba mengi vijijini hujaa tabasamu na matumaini ya maisha bora, lakini nyuma ya furaha hiyo kuna ukweli usioonekana kirahisi. Jasho la mkulima la miezi mingi mara nyingi huishia kupotea shambani, si kwa sababu ya ukame…
3 February 2026, 1:21 am
Bima ya afya kwa wote sasa bure kwa kaya masikini
Naomba mkatoe elimu kwa wananchi na kuhakikisha wanaelewa mkakati wa serikali wa kutoa bima ya afya kwa wote Na. Emmanual Kamangu Wanufaika kaya masikini TASAF elfu 66800 mkoani kigoma Kunufaika bure na bima ya afya kwa wote ikiwa ni mpango…
3 February 2026, 12:54 am
Watendaji waonywa kutoingilia mashauri ya mahakama
Maadhimisho ya Siku ya Sheria yameelezwa kuwa ni jukwaa muhimu la kujenga uelewa kwa wananchi kuhusu haki zao, wajibu wa kuheshimu sheria, na mchango wa mahakama katika kujenga taifa lenye amani, haki na maendeleo endelevu. Na. Abdunuru Shafii Mahakama ya…
30 January 2026, 12:21 am
Baraza la Madiwani lapitisha bajeti ya bil. 51.05 Uvinza
bajeti hii inalenga kuboresha utoaji wa huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi, ikiwemo sekta za elimu, afya, miundombinu, maji pamoja na maendeleo ya kiuchumi kwa ujumla. Na Abdunuru Shafii Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza limepitisha…
18 January 2026, 4:14 pm
Wazazi wametakiwa kushirikiana malezi ya watoto wao
kulelewa kwa mtoto na mzazi mmoja pekee kunaweza kusababisha changamoto mbalimbali ikiwemo upweke, msongo wa mawazo na athari nyingine za kisaikolojia Ezra Mesharck Wazazi wametakiwa kushirikiana kikamilifu katika malezi ya watoto wao ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama, yenye…