18 January 2026, 4:14 pm

Wazazi wametakiwa kushirikiana malezi ya watoto wao

kulelewa kwa mtoto na mzazi mmoja pekee kunaweza kusababisha changamoto mbalimbali ikiwemo upweke, msongo wa mawazo na athari nyingine za kisaikolojia Ezra Mesharck Wazazi wametakiwa kushirikiana kikamilifu katika malezi ya watoto wao ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama, yenye…

Offline
Play internet radio

Recent posts

18 March 2026, 3:15 pm

Serikali ya Burundi yapongezwa kulinda, kudumisha amani DRC

Wanyamulenge imempongeza Rais Evariste Ndayishimiye kwa juhudi zake za kusimamia amani nchini DRC,kusaidia na kuwajali watu wa Kongo Na. Bukuru Daniel Jamii ya Wanyamulenge kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokarsia ya Kongo wamempongeza Rais Evarsite Ndayishimiye katika jukumu la serikali yake…

13 March 2026, 6:05 pm

Watumishi sita wa afya wafa maji Kigoma

watu sita wamethibitika kufariki dunia na miili yao imepatikana, huku watu wengine watatu waliokuwa kwenye boti hiyo wakiendelea kutafutwa na vikosi vya uokoaji kwa kushirikiana na wananchi Na. Abdunuru Shafii Watumishi sita wa Idara ya Afya kutoka Halmashauri ya Wilaya…

13 March 2026, 3:05 pm

Uvinza yapokea trekta 19 za kilimo

maafisa ugani kuwa karibu na wakulima kwa kuwapatia elimu na ushauri wa kitaalamu Na. Abdunuru Shafii Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuwekeza katika zana za kisasa za kilimo ikiwemo matrekta makubwa na…

9 March 2026, 10:09 pm

Wanawake tupunguze maneno kwa waume zetu

anapoanza kwenda huko inaweza kuwa sababu ya familia kutelekezwa na watoto kukosa huduma za Msingi Na. Abdunuru Shafii Mkuu wa Dawati la Jinsia na watoto Wilaya ya Uvinza na Polisi Kata Inspekta Winfrida Joram,  amewataka akina mama kutokuwa na maneno…

5 February 2026, 4:23 pm

TRA Uvinza yatoa mafunzo mfumo mpya wa IDRAS

IDRAS ni mfumo jumuishi wa kodi za ndani unaolenga kumwezesha mlipakodi kupata huduma mbalimbali za kikodi akiwa katika eneo lake la biashara. Na Abdunuru Shafii Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kigoma imeendesha mafunzo kwa wafanyabiashara wa Wilaya ya…

3 February 2026, 2:06 am

Mbinu zinazochangia upotevu wa mazao shambani

Kila msimu wa mavuno unapofika, mashamba mengi vijijini hujaa tabasamu na matumaini ya maisha bora, lakini nyuma ya furaha hiyo kuna ukweli usioonekana kirahisi. Jasho la mkulima la miezi mingi mara nyingi huishia kupotea shambani, si kwa sababu ya ukame…

3 February 2026, 1:21 am

Bima ya afya kwa wote sasa bure kwa kaya masikini

Naomba mkatoe elimu kwa wananchi na kuhakikisha wanaelewa mkakati wa serikali wa kutoa bima ya  afya kwa wote  Na. Emmanual Kamangu Wanufaika kaya masikini TASAF  elfu 66800 mkoani kigoma  Kunufaika bure na bima ya afya kwa wote ikiwa ni mpango…

3 February 2026, 12:54 am

Watendaji waonywa kutoingilia mashauri ya mahakama

Maadhimisho ya Siku ya Sheria yameelezwa kuwa ni jukwaa muhimu la kujenga uelewa kwa wananchi kuhusu haki zao, wajibu wa kuheshimu sheria, na mchango wa mahakama katika kujenga taifa lenye amani, haki na maendeleo endelevu. Na. Abdunuru Shafii Mahakama ya…

30 January 2026, 12:21 am

Baraza la Madiwani lapitisha bajeti ya bil. 51.05 Uvinza

bajeti hii inalenga kuboresha utoaji wa huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi, ikiwemo sekta za elimu, afya, miundombinu, maji pamoja na maendeleo ya kiuchumi kwa ujumla. Na Abdunuru Shafii Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza limepitisha…

18 January 2026, 4:14 pm

Wazazi wametakiwa kushirikiana malezi ya watoto wao

kulelewa kwa mtoto na mzazi mmoja pekee kunaweza kusababisha changamoto mbalimbali ikiwemo upweke, msongo wa mawazo na athari nyingine za kisaikolojia Ezra Mesharck Wazazi wametakiwa kushirikiana kikamilifu katika malezi ya watoto wao ili kuhakikisha watoto wanakua katika mazingira salama, yenye…

About us

Uvinza FM is situated in Uvinza District of Kigoma Region, transmitting at FM 96.5 MHz frequency. Uvinza FM is registered under Business names by BRELA and has a broadcasting licence issued by TCRA. It is also incorporated with RITA as a trust.

Uvinza District has unique characteristics of socio economic backwardness. Its culture is predominantly peasant agriculture and animal husbandry has recently migrated into the area.Awareness creation by radio is needed to change mindsets that retard social and economic behavior change. Radio sets are affordable by price and proximity for the general public, NGOs and other institutions.

This radio service is for social investment.The Social Market niche Profile for Uvinza FM Community Radio intervention includes the General Public,GoT, NGO and related projects and institutions.

96.5 Uvinza FM Community Radio is editorially and financially independent community radio station.

VISION:

Communities in of Uvinza and Lake Tanganyika Shore Corridor ecosystems having sustainable soci-political economic and cultural development.

MISSION:

To be a platform for soci-political economic development information by building up knowledge through in depth researched programmes in education, health, agriculture, animal husbandry, entrepreneurship, sports and culture orientations; environmental care, protection and rehabilitation of flora and fauna.

Radio uvinza fm