Radio Fadhila
Radio Fadhila
3 November 2024, 8:22 PM
Pichani ni jengo la X-Ray Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Halmashauri ya Wilaya Masasi katika ziara yake iliyofanya hivi karibuni ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya Halmashauri hiyo imeipongeza Kamati ya Usimamizi wa kituo na Watumishi kwa…
1 November 2024, 6:14 PM
Kwa mwaka , 2024, Mandhari ya Wiki ya Lishe ya Kitaifa kauli mbiu ni ” Lishe Bora kwa Kila Mtu “. Kaulimbiu hii inaweka lengo la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya maendeleo endelevu, ikisisitiza kukuza mlo unaokidhi mahitaji ya lishe ya…
22 October 2024, 12:28 PM
Na Lawrence Kessy. Hayo yamesemwa na Mhashamu Askofu Hendry Mchamungu ambaye ni Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam kwenye Adhimisho la Ibada ya Misa Takatifu ya Daraja Takatifu la Ushemasi kwa Mafrateri 29 iliyofanyika katika Kanisa…
16 October 2024, 7:34 PM
Shule tano za sekondari kutoka Halmashauri ya Mji Masasi zinazonufaika na mradi wa shirika lisilo la kiserikali la Sports Development Aid wametoa Shukrani kwa mradi huo ambao umekua chachu ya mabadiliko Chanya katika kuwajenga vijana katika maadili,uelewa na kujiamini hali…
9 October 2024, 10:44 PM
pichani ni Mwenyekiti CCM Wilaya ya Masasi Na Lilian Martin. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Masasi Bi.Mariam Kasembe amewahakikishia Wananchi wa Masasi kuwa miradi mingi ambayo ilihaidiwa kwenye ilani ya utekelezaji wa CCM kwamba miradi hiyo imeenda vizuri…
9 October 2024, 8:21 PM
Christine simo akiwa na familia Na. Lilian Martin Familia ya kijana anaye fahamika kwa jina la Bw. Issaya mkazi wa Masasi mtaa wa Nyasa ambaye kwa sasa yupo hospital Muhimbili kwa ajili ya matibabu imepokea msaada kutoka shirika lisilo la…
4 October 2024, 7:50 PM
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala amefanya kikao na waendesha maghala ,Viongozi wa Amcos pamoja na wasifirishaji wilayani Masasi. Katika kikao hicho Mhe.Sawala amewataka wadau hao kusimamia Ubora wa zao la korosho ili kuhakikisha linaleta tija kwa…
2 October 2024, 7:09 PM
Pichani ni Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe Waziri wa Kilimo Mh.Hussein Bashe ametembelea katika Halmashauri ya Wilaya Masasi na kupata wasaa wa kusalimiana na viongozi mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Masasi leo tarehe 02/10/2024…
2 October 2024, 10:46 AM
Bi Christine simmo akiwa na wanafunzi shule ya watoto wenye mahitaji maalumu Lukuledi Na. Lilian Martin shirika lisilo la kiserikali Upendo charity limetembelea shule ya watoto wenye mahitaji maalum Lukuledi kwa lengo la kufuatilia maendeleo ya watoto wenye ulemavu waliopelekwa…
1 October 2024, 4:49 PM
Na. Lilian Martin Chama Kikuu cha ushirika MAMCU kimeuza tani 2536 za Mbaazi katika mnada wa Nne uliofanyika katika Shule ya Sekondari Chiungutwa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, bei ya juu ikiwa ni Tsh.1810 na bei ya chini ikiwa ni…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara