Radio Fadhila
Radio Fadhila
7 March 2025, 12:01 PM
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Masasi Bi. Mariam Kasembe akiwa ameongozana na kamati ya siasa wakati wa ukaguzi wa miradi halmashauri ya mji Masasi. Picha na Godbless Lucius Kamati hiyo imepongeza hatua ya halmashauri ya Mji Masasi, kwa kutumia mapato…
7 March 2025, 10:33 AM
Katika kufahamu zaidi kuhusu faida za usafiri wa baiskeli kwa wanafunzi, mwenzetu Neema Nandonde ametuandalia makala iliyohusisha mahojiano na wanafunzi wanaotumia usafiri huo wilayani Masasi mkoani Mtwara. Na Neema Nandonde Sauti ya Makala nzima kuhusu usafiri wa baiskeli kwa wanafunzi.
14 February 2025, 11:45 AM
Na lilian Martin picha na Godbless Lucius Katika kuadhimisha siku ya Radio Duniani kulikuwa na kaulimbiu inayosema Radio na badiliko ya tabia ya nchi hivyo wadau kutoka TFS ikiongozwa na Afsa ugani kanda ya kusini {Lindi,Mtwara,na Ruvuma} Bwan Anderson Besisila…
20 January 2025, 12:45 PM
licha ya kuwa mwanamuziki mkongwe pia King kiki ni mtunzi,mpangaji mziki na mwenye ujuzi wa ujasiliamali wa muziki.
9 January 2025, 11:25 PM
Waandishi wa habari wametakiwa kuandika habari kwa kuzingatia maadili ya uandishi ili kuepuka kuingia kwenye matatizo wakati wa uchaguzi mkuu. Na Lilian Martin Mhariri wa radio tadio Hilali Ruhundwa ametembelea kituo cha Radio Fadhila leo Januari 09, 2025 na kutoa…
9 January 2025, 11:48 AM
Licha ya kuwa mlemavu wa kutoona Mzee Morris Nyunyusa alikuwa na uwezo wa kupiga ngoma 17 kwa wakati mmoja. Na Asha Mustafa Hii ni makala fupi kuhusiana na mpiga ngoma maarufu marehemu Morris Nyunyusa.
7 January 2025, 10:05 AM
Halmashauri imetoa mafunzo kwa ajili ya wajasiriamali wadogo kwa ajili ya matumizi bora ya fedha ili kuepusha changamoto wakati wa urejeshwaji wa fedha hizo. Na Lilian Martin. Vikundi 28 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu vinavyotarajia kupata mkopo wa…
9 December 2024, 11:20 AM
Waamini wamekumbushwa kuwa sauti ya matumaini kama Nabii Baruku alivyokuwa sauti ya matumaini na kualikwa ili waweze kubadilika.Hayo yamesemwa na Askofu wa Jimbo Katoliki la TUNDURU-Masasi, Mhashamu Askofu Filbert Felician Mhasi kwenye homilia ya Ibada ya Misa Takatifu ya Dominika…
6 November 2024, 12:59 PM
Na.Lilian Martin Mkuu wa Wilaya ya Masasi mhe.Lauter Kanoni amewaomba Waheshimiwa Madiwani kuendelea kuwahamasisha Wananchi wajitokeze kupiga kura ifikapo Nov 27, 2024 ili kuwachagua viongozi muhimu wa Serikali za Mitaa wanaowataka. Mhe.kanoni amesema kuwa katika zoezi la uandikishaji kwa Halmashauri…
6 November 2024, 12:34 PM
pichani ni balaza la madiwani Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya Masasi limempongeza Mkuu wa Wilaya ya Masasi mhe.Lauter John Kanoni kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya ndani ya Halmashauri ya Wilaya Masasi. Wa mhe madiwani wametoa pongezi hizo tarehe…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara