Radio Fadhila
Radio Fadhila
10/05/2025, 09:20
Mkuu wa wilaya ya Masasi Bi. Rachel Kassanda akiwajulia hali majeruhi katika hospitali ya wilaya Mkomaindo. Picha na Halmashauri ya Mji Masasi Jeshi la Polisi fanya ukaguzi wa mara kwa mara wa kuhakikisha madereva wote wawili wanakuwepo kwenye mabasi yanayosafiri…
10/05/2025, 08:51
Mratibu wa mradi Bridge Tanzania kitaifa Bi Fatma Shabani Mrope. Picha na Google mradi huu utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitano katika wilaya tatu ambazo ni Masasi, Geita na Kaskazini Unguja, pia unawapa nafasi hawa Vijana na haswa Wanawake ni…
30/04/2025, 17:34
Haya ni mambo yanayojili katika jamii zetu na katika yote hivyo nawasamehe wale wote waliotenda hayo yamkini si akili yao Na Lilian Martin Watu wasiojulikana wamevamia katika kanisa Anglikana lililopo kijiji cha Mpeta wilayani Masasi mkoani Mtwara na kukusanya baadhi…
19/04/2025, 12:18
Picha na Godbless Lucius Wazee na viongozi wa dini nahitaji ushirikiano wenu juu ya kujenga maadili na nidhamu kwa wananchi, ili kujenga kizazi bora chenye heshima Na Neema Nandonde Mkuu wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Rachel Kassanda, amewataka wazee…
19/04/2025, 11:44
Katibu wa NEC, itikadi, uenezi na mafunzo CCM taifa, CPA Amos Makala akihutubia wanachama na wananchi wilayani Masasi. Picha na Godbless Lucius Si kila gari lililobeba makaa ya mawe ni kwaajili ya kusafirisha kwenda kuuza nje ya nchi, kuna viwanda …
11/04/2025, 14:52
Mhandisi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki Khatibu Chande, alipokuwa akizungumza kupitia redio Fadhila. Picha na Godbless Lucius Namba 15040 mwananchi ataitumia kuripoti namba za mtu anayejihusisha na utapeli wa kimtandao na namba hizo bure bila malipo…
11/04/2025, 14:41
Wazazi wengi huwapeleka watoto kwa ndugu akiwemo bibi au babu, pasi na kufuatilia maendeleo ya watoto hao au kuwapatia mahitaji muhimu, jambo linalosababisha watoto kutoangaliwa ipasavyo na ndugu walioachiwa, na hatimaye kujikuta wanajitafutia chakula, makazi na malazi mtaani. Na Neema…
11/04/2025, 14:26
Mkuu wa wilaya ya Masasi Bi. Rachel Kassanda akifuatilia baadhi ya matukio yaliyokuwa yanaendelea wakati wa mkutano wa hadhara. Picha na Godbless Lucius Wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2025, asilimia 98 wamesharipoti shuleni na kuanza masomo. Na…
11/04/2025, 14:06
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche akizungumza kwenye kipindi cha Asubuhi cha Morning Booster kinachorushwa na redio Fadhila. Picha na Godbless Lucius Hata chama cha CHADEMA kikifanikiwa kushika dola, kisipotendenda haki kwa watanzania sisi kama…
25/03/2025, 15:39
Picha na Google Tukio hilo limeibua hofu miongoni mwa wakazi wa eneo hilo, huku wakihofia usalama wao kutokana na tembo kuvamia makazi na mashamba yao. Na Neema Nandonde Mkulima Abasi Bakari Libunda (62) kutoka Kitongoji cha Nangorokoro, Kijiji cha Mirui…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara