Radio Fadhila

Recent posts

7 March 2025, 12:01 PM

Kamati ya siasa CCM yapongeza miradi Masasi Mji

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Masasi Bi. Mariam Kasembe akiwa ameongozana na kamati ya siasa wakati wa ukaguzi wa miradi halmashauri ya mji Masasi. Picha na Godbless Lucius Kamati hiyo imepongeza hatua ya halmashauri ya Mji Masasi, kwa kutumia mapato…

7 March 2025, 10:33 AM

Makala: Usafiri wa baiskeli kwa wanafunzi Masasi

Katika kufahamu zaidi kuhusu faida za usafiri wa baiskeli kwa wanafunzi, mwenzetu Neema Nandonde ametuandalia makala iliyohusisha mahojiano na wanafunzi wanaotumia usafiri huo wilayani Masasi mkoani Mtwara. Na Neema Nandonde Sauti ya Makala nzima kuhusu usafiri wa baiskeli kwa wanafunzi.

14 February 2025, 11:45 AM

Mabadiliko tabianchi chanzo shughuli za binadamu

Na lilian Martin picha na Godbless Lucius Katika kuadhimisha siku ya Radio Duniani kulikuwa na kaulimbiu inayosema Radio na badiliko ya tabia ya nchi hivyo wadau kutoka TFS ikiongozwa na Afsa ugani kanda ya kusini {Lindi,Mtwara,na Ruvuma} Bwan Anderson Besisila…

9 January 2025, 11:25 PM

Redio Fadhila wapigwa msasa uandishi unaozingatia maadili

Waandishi wa habari wametakiwa kuandika habari kwa kuzingatia maadili ya uandishi ili kuepuka kuingia kwenye matatizo wakati wa uchaguzi mkuu. Na Lilian Martin Mhariri wa radio tadio Hilali Ruhundwa ametembelea kituo cha Radio Fadhila leo Januari 09, 2025 na kutoa…

9 January 2025, 11:48 AM

Mfahamu Morris Nyunyusa na ngoma zake 17

Licha ya kuwa mlemavu wa kutoona Mzee Morris Nyunyusa alikuwa na uwezo wa kupiga ngoma 17 kwa wakati mmoja. Na Asha Mustafa Hii ni makala fupi kuhusiana na mpiga ngoma maarufu marehemu Morris Nyunyusa.

7 January 2025, 10:05 AM

Wanaotarajia kupata mikopo ya 10% wapigwa msasa Masasi

Halmashauri imetoa mafunzo kwa ajili ya wajasiriamali wadogo kwa ajili ya matumizi bora ya fedha ili kuepusha changamoto wakati wa urejeshwaji wa fedha hizo. Na Lilian Martin. Vikundi 28 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu vinavyotarajia kupata mkopo wa…

9 December 2024, 11:20 AM

Askofu wa jimbo la Tunduma awataka watu kumrudia Mungu

Waamini wamekumbushwa kuwa sauti ya matumaini kama Nabii Baruku alivyokuwa sauti ya matumaini na kualikwa ili waweze kubadilika.Hayo yamesemwa na Askofu wa Jimbo Katoliki la TUNDURU-Masasi, Mhashamu Askofu Filbert Felician Mhasi kwenye homilia ya Ibada ya Misa Takatifu ya Dominika…

6 November 2024, 12:59 PM

Tuwahamasishe kujitoa kupiga kura kama walivyojiandikisha ifikapo Nov 27, 2024

Na.Lilian Martin Mkuu wa Wilaya ya Masasi mhe.Lauter Kanoni amewaomba Waheshimiwa Madiwani kuendelea kuwahamasisha Wananchi wajitokeze kupiga kura ifikapo Nov 27, 2024 ili kuwachagua viongozi muhimu wa Serikali za Mitaa wanaowataka. Mhe.kanoni amesema kuwa katika zoezi la uandikishaji kwa Halmashauri…

6 November 2024, 12:34 PM

Madiwani wampongeza DC Masasi kwa uchapa kazi

pichani ni balaza la madiwani Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya Masasi limempongeza Mkuu wa Wilaya ya Masasi mhe.Lauter John Kanoni kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya ndani ya Halmashauri ya Wilaya Masasi. Wa mhe madiwani wametoa pongezi hizo tarehe…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara