Radio Fadhila
Radio Fadhila
30 April 2025, 5:34 PM
Haya ni mambo yanayojili katika jamii zetu na katika yote hivyo nawasamehe wale wote waliotenda hayo yamkini si akili yao Na Lilian Martin Watu wasiojulikana wamevamia katika kanisa Anglikana lililopo kijiji cha Mpeta wilayani Masasi mkoani Mtwara na kukusanya baadhi…
19 April 2025, 12:18 PM
Picha na Godbless Lucius Wazee na viongozi wa dini nahitaji ushirikiano wenu juu ya kujenga maadili na nidhamu kwa wananchi, ili kujenga kizazi bora chenye heshima Na Neema Nandonde Mkuu wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Rachel Kassanda, amewataka wazee…
19 April 2025, 11:44 AM
Katibu wa NEC, itikadi, uenezi na mafunzo CCM taifa, CPA Amos Makala akihutubia wanachama na wananchi wilayani Masasi. Picha na Godbless Lucius Si kila gari lililobeba makaa ya mawe ni kwaajili ya kusafirisha kwenda kuuza nje ya nchi, kuna viwanda …
11 April 2025, 2:52 PM
Mhandisi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki Khatibu Chande, alipokuwa akizungumza kupitia redio Fadhila. Picha na Godbless Lucius Namba 15040 mwananchi ataitumia kuripoti namba za mtu anayejihusisha na utapeli wa kimtandao na namba hizo bure bila malipo…
11 April 2025, 2:41 PM
Wazazi wengi huwapeleka watoto kwa ndugu akiwemo bibi au babu, pasi na kufuatilia maendeleo ya watoto hao au kuwapatia mahitaji muhimu, jambo linalosababisha watoto kutoangaliwa ipasavyo na ndugu walioachiwa, na hatimaye kujikuta wanajitafutia chakula, makazi na malazi mtaani. Na Neema…
11 April 2025, 2:26 PM
Mkuu wa wilaya ya Masasi Bi. Rachel Kassanda akifuatilia baadhi ya matukio yaliyokuwa yanaendelea wakati wa mkutano wa hadhara. Picha na Godbless Lucius Wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2025, asilimia 98 wamesharipoti shuleni na kuanza masomo. Na…
11 April 2025, 2:06 PM
Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche akizungumza kwenye kipindi cha Asubuhi cha Morning Booster kinachorushwa na redio Fadhila. Picha na Godbless Lucius Hata chama cha CHADEMA kikifanikiwa kushika dola, kisipotendenda haki kwa watanzania sisi kama…
25 March 2025, 3:39 PM
Picha na Google Tukio hilo limeibua hofu miongoni mwa wakazi wa eneo hilo, huku wakihofia usalama wao kutokana na tembo kuvamia makazi na mashamba yao. Na Neema Nandonde Mkulima Abasi Bakari Libunda (62) kutoka Kitongoji cha Nangorokoro, Kijiji cha Mirui…
21 March 2025, 10:05 AM
Mwananchi akipata huduma ya afya ya kinywa na meno katika viwanja vya Mashujaa, Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara mkoani Mtwara. Picha na Godbless Lucius Afya ya kinywa na meno ina uhusiano wa moja kwa moja na afya ya akili, kwani…
19 March 2025, 11:10 AM
Mtunzi wa jina la Tanzania Mohammed Iqbal Dar. Picha na Google Akiwa mwanafunzi mwenye umri wa miaka 18 shuleni Mzumbe, Iqbal alikutana na tangazo linalomtafuta mtu ambaye atatoa wazo la jina la nchi, baada ya kuunganishwa kwa Zanzibar na Tanganyika.…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara