Radio Fadhila
Radio Fadhila
14/06/2025, 15:24
Mtafiti wa kilimo akitoa maelezo Katika kuifikia adhima ya serikali ya kuongez uzalishaji wa zao la kotosho kwa mwaka 2025-2026 hadi kufikia tani millioni 1 kwa mwaka 2029-2030 maafsa ugani wapewa mafunzo yatakayoleta tija kwa wakulima Na Lilian Martin Maafsa…
05/06/2025, 19:28
Taka zinazozalishwa majumbani na viwandani, bado ni fursa kwa jamii, badala ya kuzitupa mtaani wanaweza kutengeneza mkaa mbadala ambao ni mzuri kwa afya ya binaadam na mazingira. Na Neema Nandonde Kutokana na kuanzishwa kwa kituo cha elimu ya mazingira kilichopo wilayani…
01/06/2025, 17:24
Panya wanaoliwa si wale wanaoishi ndani ya nyumba bali wanaishi porini na wana lishe bora kutokana na kuharibu mazao ambayo mara nyingi wanakula viini ambavyo kitaalam ndivyo vina lishe. Na Neema Nandonde Kumekuwa na simulizi nyingi kuhusu vyakula vya asili…
01/06/2025, 16:54
“Tatizo watanzania wengi wanatumia mazoea kwenye shughuli za kilimo, hili tumekutana nalo kwenye maeneo mengi nchini, wanavuna mahindi wanatupa chini (ardhini) kama njia ya kukausha, hii inasababisha uzalishaji fangasi wanaosababisha Sumukuvu” Na Neema Nandonde Jamii wilayani Masasi mkoani Mtwara imeshauriwa …
29/05/2025, 19:01
Licha ya kuzaliwa akiwa mlemavu wa viungo Daisy hufanya shughuli zake kwa kutumia mikono na kutengeneza vitu mbalimbali ambavyo humfanya kumuingizia kipato. Na Lilian Martin Daisy Ajetu ni mama wa Familia anaishi Masasi mtaa wa Nyasa anajishughulisha na ubunifu wa…
20/05/2025, 20:46
Na Lilian Martin Licha ya umri alionao, Bibi Stefania Mmole amekuwa akifanya shughuli mbalimbali hali inayomfanya kuwa na nguvu tofauti na watu wa umri wake wanaokaa bila kufanya mazoezi. Stefania Saidi Mmole mwenye umri wa miaka 89 mkazi wa Masasi…
19/05/2025, 11:28
Mradi wa Kituo cha Biashara Masasi (Masasi Comercial Complex) umelenga kuboresha huduma kwa jamii na wafanyabiashara ndani na nje ya wilaya ya Masasi Na Neema Nandonde Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa kwa mwaka 2025, Ismail Ali Ussi,…
17/05/2025, 17:39
Kampeni ya NBC Shambani inatarajia kuanza rasmi juni 1 na itahitimishwa Julai 31 2025, ambapo wanaojihusisha na biashara ya kilimo ambao ni wateja wa NBC, watakaokidhi vigezo watapatiwa zawadi Na Neema Nandonde Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), imezindua rasmi …
12/05/2025, 14:12
Inadaiwa kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro uliotokana na tuhuma za wizi, ambapo mtuhumiwa alimshuku marehemu kuwa anamuibia baadhi ya vitu vyake. Na Lilian Martin Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia mtu mmoja aitwaye Wales Gerald (45), mkazi…
10/05/2025, 09:50
Picha ya uzinduzi wa reli ya jimbo la kusini mwaka 1949. Picha na Google Na Neema Nandonde Sikiliza Makala fupi iliyoandaliwa na Neema Nandonde kuhusu Historia ya reli ya jimbo la Kusini Sauti ya Neema Nandonde kuhusu Historia ya reli…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara