Radio Fadhila

Recent posts

05/06/2025, 19:28

Masasi yaandika historia taka ngumu zikigeuzwa fursa

Taka zinazozalishwa majumbani na viwandani, bado ni fursa kwa jamii, badala  ya  kuzitupa mtaani wanaweza kutengeneza  mkaa mbadala ambao ni mzuri kwa afya ya  binaadam na mazingira. Na Neema Nandonde Kutokana na kuanzishwa kwa kituo cha elimu ya  mazingira kilichopo wilayani…

01/06/2025, 17:24

Sababu ya panya kufanywa kitoweo Masasi

Panya wanaoliwa si wale wanaoishi ndani ya nyumba bali wanaishi porini na wana lishe bora kutokana na kuharibu mazao ambayo mara nyingi wanakula viini ambavyo kitaalam ndivyo vina lishe. Na Neema Nandonde Kumekuwa na simulizi nyingi kuhusu vyakula vya asili…

01/06/2025, 16:54

Sumu kuvu chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume

 “Tatizo watanzania wengi wanatumia mazoea kwenye shughuli za kilimo, hili tumekutana nalo kwenye maeneo mengi nchini, wanavuna mahindi wanatupa chini (ardhini) kama njia ya kukausha, hii inasababisha uzalishaji  fangasi wanaosababisha Sumukuvu” Na  Neema Nandonde Jamii wilayani Masasi mkoani Mtwara imeshauriwa …

29/05/2025, 19:01

Kuomba misaada si kipaumbele kwake licha ya ulemavu alionao

Licha ya kuzaliwa akiwa mlemavu wa viungo Daisy hufanya shughuli zake kwa kutumia mikono na kutengeneza vitu mbalimbali ambavyo humfanya kumuingizia kipato. Na Lilian Martin Daisy Ajetu ni mama wa Familia anaishi Masasi mtaa wa Nyasa anajishughulisha na ubunifu wa…

20/05/2025, 20:46

Bibi mwenye miaka 89 aendelea na fani yake hadi sasa

Na Lilian Martin Licha ya umri alionao, Bibi Stefania Mmole amekuwa akifanya shughuli mbalimbali hali inayomfanya kuwa na nguvu tofauti na watu wa umri wake wanaokaa bila kufanya mazoezi. Stefania Saidi Mmole mwenye umri wa miaka 89 mkazi wa Masasi…

19/05/2025, 11:28

NHC yapongezwa ujenzi wa kituo cha biashara Masasi

Mradi wa Kituo cha Biashara Masasi (Masasi Comercial Complex) umelenga kuboresha huduma kwa jamii na wafanyabiashara ndani na nje ya wilaya ya Masasi Na Neema Nandonde Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa kwa mwaka 2025, Ismail Ali Ussi,…

17/05/2025, 17:39

NBC yamimina neema kwa wakulima Mtwara, Lindi

Kampeni ya NBC Shambani inatarajia  kuanza  rasmi juni 1 na itahitimishwa Julai 31 2025, ambapo wanaojihusisha  na biashara ya kilimo ambao ni wateja wa NBC, watakaokidhi vigezo watapatiwa  zawadi Na Neema Nandonde Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), imezindua rasmi …

12/05/2025, 14:12

Ashikiliwa kwa kukata nyeti za rafiki yake

Inadaiwa kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro uliotokana na tuhuma za wizi, ambapo mtuhumiwa alimshuku marehemu kuwa anamuibia baadhi ya vitu vyake. Na Lilian Martin Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia mtu mmoja aitwaye Wales Gerald (45), mkazi…

10/05/2025, 09:50

Makala ya historia ya reli ya jimbo la kusini

Picha ya uzinduzi wa reli ya jimbo la kusini mwaka 1949. Picha na Google Na Neema Nandonde Sikiliza Makala fupi iliyoandaliwa na Neema Nandonde kuhusu Historia ya reli ya jimbo la Kusini Sauti ya Neema Nandonde kuhusu Historia ya reli…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara