Radio Fadhila
Radio Fadhila
31 December 2020, 4:03 AM
Je ni wakati gani mwanamke anatakiwa kuhisi kuwa anapata hedhi kupita kiasi? Unapata hedhi inayozidi siku 7 Unapata hedhi nzito inayofanya ubadiri pedi moja ndani ya masaa mawili Unapata hedhi nzito inayokulazimu kuvaa pedi zaidi ya moja Unapata hedhi nzito inayolowesha hadi nguo za…
31 December 2020, 3:29 AM
Chanzo-Hamisi Abdelehemani Nasiri
17 December 2020, 11:19 AM
WATUMISHI wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, wametakiwa kutumia utaalamu wao ili kuisaidia Halmashauri hiyo kuweza kupiga hatua ya kimaendeleo, ikiwemo kubuni vyanzo vipya vya mapato Aidha, watumishi hao wametakiwa kuacha kufanya kazi kwa mazoea badala yake wajikite…
17 December 2020, 11:12 AM
13 December 2020, 6:10 AM
Mkutano uliowahusisha Wazazi na wanajamii katika shule ya msingi Mpindimbi iliyopo wilayani Masasi kwa lengo kujadili mambo ya maendeleo ya katika shule hiyo Katika mkutano huo pia ilihusisha zoezi la harahambee ya kuchangia ili kukamilisha ujenzi wa ofisi ukarabati wa…
11 December 2020, 8:34 AM
Msikilize athumani miranzi ni moja ya wasanii wa sanaa ya uchoraji kwa kutumia rangi amefanya kazi nyingi 9AMECHORA PICHA NYINGI na kuziuza inje ya nchi ni mwanasanaa anaetokea kusini pia moja ya kazi zake alizo wa hi kuzifanya utazitazama hapa…
26 November 2020, 9:48 AM
Nyota wa Soka raia wa Argentina, Diego Maradona amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 60 kwa mshtuko wa moyo, Novemba 25, 2020, ikiwa ni wiki mbili tu baada ya kuruhusiwa kutoka Hospitali alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya oparesheni ya…
26 November 2020, 6:12 AM
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbasi ameiagiza Idara ya Maendeleo ya Utamaduni ya Wizara hiyo kuanza maandalizi ya kuzindua Bodi ya Mfuko wa Utamaduni na Sanaa. Katibu Mkuu Dkt.Abbasi ametoa…
25 November 2020, 9:40 AM
Uchagizi wa Marekani 2020: ‘Marekani imerejea tena’, amesema Biden wakati anazindua timu yake Rais mteule Joe Biden ajaza nafasi sita muhimu akisubiri kuapishwa na kuchukua rasmi madaraka. Ikiwa watathibitishwa, Avril Haines atakuwa mkurugenzi wa kwanza mwanamke katika shirika la upelelezi…
22 November 2020, 9:44 AM
Makala inayohusu umuhimu wa abiria kupatiwa tikatiket katikati usafri ili kuepusha migogoro na makondakta HOST- ASHA MSITAPHA
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara