FM Manyara
FM Manyara
25 October 2024, 8:48 pm
Mamlaka ya mapato TanzaniaTRA mkoa wa Manyara Kwa mwaka 2023,2024 wamefanikiwa kuvuka lengo kwa kukusanya kodi kwa asilimia miamoja na kumi na moja na hii imetokana na baada ya kuwafikia watu kwa kutoa elimu . Na Mzidalfa Zaid Mamlaka ya…
24 October 2024, 6:45 pm
Mamalaka ya usimamizi wa Bima Tanzania(TIRA)kanda ya kati, imewataka wananchi kukata bima kujikinga na majanga ili iwasaidie wanapokutana na majanga ya dharura. Na Mzidalfa Zaid Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutembelea banda la Mamlaka ya usimamizi wa Bima (TIRA lililopo katika…
24 October 2024, 1:42 pm
Naibu waziri wa viwanda na biashara Exaud Kigahe amefungua rasmi leo maonyesho ya wanyabiashara Tanzanate Manyara Trade Fear katika viwanja vya stendi ya zamani wilayani Babati mkoani Manyara nakuwataka wafanyabiashara kuwa na nembo zinazo watambilisha Na Angel Munuo Maonyesho ya…
22 October 2024, 6:31 pm
Serikali yasema imeweka mazingira yakuvutia wageni kupitia filamu ya royal tour ambapo watalii wameongezeka hasa mkoani Manyara nakuleta fedha nyingi za kigeni ambazo zinanufaisha vijiji hivyo. Na Marino Kawishe Wananchi waishio karibu na hifadhi za taifa za Manyara na Tarangire…
15 October 2024, 5:33 pm
Wakati  zoezi la uandikishaji wa daftari la mkazi unaendelea  nchi nzima Mkuu wa Wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda amelazimika kutumia usafiri wa bajaji na pikikpi kuhamasisha wananchi wa Wilaya ya Babati kujitokeza kujiandikisha na kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za…
12 October 2024, 9:07 pm
Wakati wiki ya huduma kwa wateja ikiwa imehitimishwa ,kampuni ya uzalishaji vinywaji changamshi ya  Mati Super Brand ltd imegawa zawadi mbalimbali kwa wateja wao. Na Mzidalfa Zaid Mkurugenzi wa kampuni ya uzalishaji vinywaji changamshi ya Mati Super Brand ltd David…
11 October 2024, 10:21 pm
Katika kuhakikisha msongamano wa watu unapungua kwa siku za mwisho katika zoezi la kujiandikisha kweye daftari la mkazi, serikali ya halmashauri ya mji wa Babati imewataka wananchi wajitokeze kushiriki zoezi hilo kwa siku za mwanzo ili kuepuka usumbufu wa kukaa…
11 October 2024, 6:34 pm
Zoezi la kujiandikisha katika daftari la mkazi katika mtaa wa mrara kata ya Babati wilayani Babati mkoani Manyara limeanza rasmi leo  ambapo wananchi  wametakiwa kujitokeza katika zoezi hilo ili watimize haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi wao wa mtaa…
10 October 2024, 9:31 pm
Maonyesho ya mbolea yakiwa yamefunguliwa rasmi Leo 10,october 2024, mkoani Manyara  mkuu wa mkoa wa manyara amewataka wafanyabiashara kusogeza mbolea kwa wananchi kwa kifungua ofisi za wakala vijijini ili kuwapunguzia gharama za kufuata mbolea mijini. Na George Augustino. Mkuu wa…
10 October 2024, 5:11 pm
Mganga mfawidhi wa hospital ya halmashauri ya mji wa Babati(Mrara) Dr Gillian Francis Lupembe amesema Idadi ya wagonjwa waliokwenda kupata huduma ya matibabu ya macho imekuwa kubwa kutokana na watu wengi wanachangamoto ya uoni. Na Marino Kawishe Zaidi ya wananchi…
COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.
Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.
We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.
COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.
VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.
MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.