FM Manyara

Recent posts

30 April 2025, 7:34 pm

Waajiri wasiotoa mikataba kuchukuliwa hatua

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amemwagiza katibu tawala wa mkoa wa Manyara kupita kwenye ofisi za umma na binafsi nakukagua mikataba kwa  wasio na mikataba ili kuchukua hatua kwa waaajiri wanaokwenda kinyume na sheria za kazi hapa nchini…

11 April 2025, 6:52 pm

Dereva bodaboda auwawa Babati

Dereva wa boda ameuwawa na watuwasiojulikana kwa kupigwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya kichwani na mwili wake kutelekezwa katika eneo la ofisi ya mashataka lilipo mtaa wa Negamsi mjini Babati mkoani Manyara Na George Agustino Kijana aliyefahika  kwa…

11 April 2025, 6:39 pm

Semi yaziba njia na kusababisha foleni barabara ya Galapo-Babati

Gari kubwa aina ya semi limesasabisha foleni baada kusimama katikati ya barabara na kusababisha magari kushindwa kupita kutokana na ubovu wa barabara baada ya mvua kunyesha wilayani babati mkoani Manyara Na Mzidalfa Zaid Wananchi wanaotumia Barabara ya Babati Galapo wilayani…

11 April 2025, 1:12 pm

Manyara kupokea mwenge wa uhuru Julai 12 2025

Viongozi  wa  halmashauri  za mkoa  wa Manyara watakiwa  kuhamasisha  wananchi  kujitokeza kuulaki  mwenge wa uhuru na kufika katika miradi yote itakayopitiwa  na mwenge Na Mzidalfa Zaid Mkuu  wa mkoa wa Manyara Queen Cuthbert Sendiga amesema mwenge wa uhuru kwa mkoa…

27 March 2025, 9:58 pm

Wanawake Hanang’ wapata elimu ya uandaaji lishe 

Baadhi ya wanawake wilayani Hanang mkoani Manyara wamefundishwa namna ya kuandaa lishe bora ili kudhibiti tatizo la udumavu kwa watoto. Na Mzidalfa Zaid Katika kuhakikisha watoto wanakuwa na lishe bora, jamii wilayani Hanang mkoani Manyara imeshauriwa kuhifadhi vyema mazao,kwa kuhakikisha…

27 March 2025, 9:20 pm

Takukuru yabaini mianya ya rushwa Babati

Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Manyara Bahati Haule amesema Takukuru imebaini mianya ya rushwa ikiwemo uwezo mdogo wa Halmashauri kumudu jukumu la uondoshaji wa taka ikiwemo taka ngumu. Na George Agustino Taasisi ya na Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Mkoa…

26 March 2025, 7:47 pm

Sumu kuvu ilivyoathiri watoto Babati

Imeelezwa kuwa baadhi ya watoto wa kuanzia umri wa miezi 6- 24 wilayani Babati mkoani Manyara wameathiriwa na changamoto ya sumu kuvu kutokana na jamii kutokuwa na uelewa wa kuhifadhi mazao katika sehemu salama. Na Mzidalfa Zaid Kufuatia utafiti uliofanyika…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.