FM Manyara
FM Manyara
31 March 2026, 13:31

Katika miaka ya hivi karibuni, suala la usawa wa kijinsia limeendelea kupewa kipaumbele katika jamii nyingi Duniani, ikiwemo Tanzania.
Na Mzidalfa Zaid
Makala yetu imezungumza na wanawake, wanaume, mganga mkuu wa mkoa wa Manyara ,mkaguzi wa jeshi ka zima moto na uokoaji , afisa habari wa mkoa pamoja na viongozi kutoka Mashirika mbalimbali.