FM Manyara
FM Manyara
22 November 2025, 10:47 am

Shirika lisilo la kiserikali la kakute Project kwa kushirikiana na shirika la maasai stove wamewafikia wananchi zaidi ya 500 kwa kuwapatia majiko banifu, sola na elimu ya mjasiriamali katika wilaya za Monduli na Babati
Na Diana Dionis
Afisa mradi wa Shirika la kakuto Project Abdullaziz Rashid amesema hadi sasa wameshatoa elimu ya nishati safi, uhifadhi wa mazingira pamoja na elimu ya ujasiriamali.
Afisa mtendaji wa kata ya Mwada Rajabu Shaban, amelishukuru Shirika hilo kwa kuwafikia wananchi kwa lengo la kuwanufaisha.
Aidha, baadhi ya wanufaika wa mradi huo Lucia Loomi pamoja na mwalimu Gabriel Nicodemus wameelezea jinsi walivyonufaika na mradi huo.