FM Manyara

Rushwa ya ngono inavyochangia Wanawake kushindwa kuwania nafasi za uongozi

26 June 2025, 11:28 am

Karibu usikilize makala maalum inayohusu Rushwa ya ngono inavyopelekea wanawake kushindwa kuwania nafasi za uongozi kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika october mwaka huu.

Na Hawa Rashid

Makala hii imezungumza na viongozi wa takukuru, wananchi pamoja viongozi wa vyama vya siasa.