FM Manyara
FM Manyara
2 May 2025, 11:20 pm

Na Mzidalfa Zaid
Hayo yameelezwa leo na Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Manyara, Gilbert Mvungi, katika maadhimisho ya Wiki ya Zimamoto Duniani ambayo kimkoa yamefanyika Wilaya Babati mkoani Manyara.
Amesema Katika maadhimisho hayo kumefanyika shughuli mbalimbali za kijamii na utoaji wa elimu kwa wananchi.
Aidha Kamanda Mvungi amesema Kwa kipindi Cha hivi karibuni kumetokea matukio mbalimbali ya watu kufariki Kwa kuzama maji ambapo amewataka wananchi kuchukua taadhari katika kipindi hiki Cha mvua.
