Radio Fadhila

Recent posts

13/08/2024, 11:31

Jumuiya ya wazazi Masasi wakutana na kupewa nasaha

Kikao cha utendaji Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha mapinduzi CCM Wilayani Masasi wamekutana katika ofisi za chama hicho Wilayani Masasi. Akizungumza katika Kikao hicho Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Mtwara NDG.JULIUS MSELECHE KAONDO ametoa nasaa kwa viongozi…

04/08/2024, 21:23

Mbunge Masasi awafikia wafanyabiasha walioathiriwa na kuungua kwa soko

Mbunge wa Jimbo la Masasi Mji Geoffrey Mwambe ameendelea na ziara yake katika kata ya Mkuti na kufanikiwa kuzungumza na wananchi waliofika eneo hilo. Akizungumza na wananchi Mhe Mb.Mwambe amesema wafanyabiashara waliopata maafa ya moto sokoni Mkuti ambao walikopa katika…

04/08/2024, 20:59

Mashabiki Simba SC wawafikia wenye mahitaji Masasi

Mashabiki wakiwa shule maalum Wanachama na Mashabiki wa Timu ya Simba sports Club Wilaya ya Masasi wamesherekea kilele cha Tamasha la ubaya ubwela kwa kutoa misaada mbalimbali kwa wahitaji Tamasha hilo limehitimishwa kwa Kutoa Misaada ya kijamii katika Hospitali ya…

04/07/2024, 14:21

Hati safi fahari ya halmashauri ya mji Masasi

Pichani ni Rc akitoa pongezi Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala ameipongeza Halmashauri ya Mji Masasi kwa kupata hati safi katika taarifa ya Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2022/2023. Kanali Sawala amesema…

01/07/2024, 08:29

Upendo charity yahimiza jukumu la malezi ni jamii

Mkutano wa wanyeviti kata ya nyasa Katika mkutano wa wenyeviti wa kata ya Nyasa uliofanyika eneo la Maendeleo kwa lengo la kuwaaga wananchi wao katika kata ya Nyasa wilayani Masasi. Taasisi ya Upendo Charity ilipata nafasi ya kutoa elimu kwa…

22/06/2024, 17:47

DC Masasi aongoza kikao cha dharura kujadili ugonjwa wa mlipuko

Mkuu wa Wilaya ya Masasi Lautel John Kanoni ameongoza kikao cha dharura kilichowakutanisha vyombo vya ulinzi na usalama wilaya pamoja na wajumbe wa Kamati ya Afya Halmashauri ya Wilaya Masasi na kujadiliana kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha na kutapika…

21/06/2024, 21:18

RC Mtwara azungumza katika jukwaa la ushirika 2024

Mhe Kanali Patrick Sawala alizungumza Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe: Kanali Patrick Kenan Sawala amezungumza na viongozi wa vyama vya ushirika katika jukwaa la maendeleo ya ushirika yaliyofanyika 20/06/2024 katika ukumbi wa Police mess Mtwara. Lengo la jukwaa hilo…

06/06/2024, 19:49

Mnzava aridhishwa utekelezaji wa miradi Masasi na kuizindua

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ndg. Godfrey Eliakimu Mnzava amezindua miradi mitatu (3) na kuweka mawe ya msingi katika miradi miwili (2), kukagua na kuona miradi miwili (2) Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara. Mbio za Mwenge…

06/06/2024, 19:27

Tuaminiane chapongezwa na mwenge wa uhuru

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa 2024 Ndg. Godfrey Eliakimu Mzava amekipongeza kikundi cha vijana cha Tuinuane kilichopo katika kijiji cha Mandiwa ambacho kinajihusisha na ufugaji wa ng’ombe na uuzaji wa maziwa kwa kutoka kukaa tu mitaani na…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara