Radio Fadhila
Radio Fadhila
22/10/2024, 12:28
Na Lawrence Kessy. Hayo yamesemwa na Mhashamu Askofu Hendry Mchamungu ambaye ni Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam kwenye Adhimisho la Ibada ya Misa Takatifu ya Daraja Takatifu la Ushemasi kwa Mafrateri 29 iliyofanyika katika Kanisa…
16/10/2024, 19:34
Shule tano za sekondari kutoka Halmashauri ya Mji Masasi zinazonufaika na mradi wa shirika lisilo la kiserikali la Sports Development Aid wametoa Shukrani kwa mradi huo ambao umekua chachu ya mabadiliko Chanya katika kuwajenga vijana katika maadili,uelewa na kujiamini hali…
09/10/2024, 22:44
pichani ni Mwenyekiti CCM Wilaya ya Masasi Na Lilian Martin. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Masasi Bi.Mariam Kasembe amewahakikishia Wananchi wa Masasi kuwa miradi mingi ambayo ilihaidiwa kwenye ilani ya utekelezaji wa CCM kwamba miradi hiyo imeenda vizuri…
09/10/2024, 20:21
Christine simo akiwa na familia Na. Lilian Martin Familia ya kijana anaye fahamika kwa jina la Bw. Issaya mkazi wa Masasi mtaa wa Nyasa ambaye kwa sasa yupo hospital Muhimbili kwa ajili ya matibabu imepokea msaada kutoka shirika lisilo la…
04/10/2024, 19:50
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala amefanya kikao na waendesha maghala ,Viongozi wa Amcos pamoja na wasifirishaji wilayani Masasi. Katika kikao hicho Mhe.Sawala amewataka wadau hao kusimamia Ubora wa zao la korosho ili kuhakikisha linaleta tija kwa…
02/10/2024, 19:09
Pichani ni Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe Waziri wa Kilimo Mh.Hussein Bashe ametembelea katika Halmashauri ya Wilaya Masasi na kupata wasaa wa kusalimiana na viongozi mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Masasi leo tarehe 02/10/2024…
02/10/2024, 10:46
Bi Christine simmo akiwa na wanafunzi shule ya watoto wenye mahitaji maalumu Lukuledi Na. Lilian Martin shirika lisilo la kiserikali Upendo charity limetembelea shule ya watoto wenye mahitaji maalum Lukuledi kwa lengo la kufuatilia maendeleo ya watoto wenye ulemavu waliopelekwa…
01/10/2024, 16:49
Na. Lilian Martin Chama Kikuu cha ushirika MAMCU kimeuza tani 2536 za Mbaazi katika mnada wa Nne uliofanyika katika Shule ya Sekondari Chiungutwa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, bei ya juu ikiwa ni Tsh.1810 na bei ya chini ikiwa ni…
01/10/2024, 16:36
MASASI. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mtwara Comrade Mobutu Malima amefanya mkutano na Wajumbe wa Chama hicho kutoka Wilaya ya Masasi ikiwa ni sehemu ya kuja kijitambulisha Baada ya kuteuliwa kuwa Katibu wa Ccm Mkoa wa Mtwara. Akizungumza…
11/09/2024, 17:44
Utambuzi wa noti halali Benki Kuu ya Tanzania (BoT) tawi la Mtwara imetoa elimu ya namna bora ya utunzaji wa noti pamoja na utambuzi wa alama muhimu za usalama katika noti za Tanzania kwa watumishi wa halmashauri ya wilaya ya…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara