Radio Fadhila
Radio Fadhila
6 June 2024, 7:49 PM
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ndg. Godfrey Eliakimu Mnzava amezindua miradi mitatu (3) na kuweka mawe ya msingi katika miradi miwili (2), kukagua na kuona miradi miwili (2) Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara. Mbio za Mwenge…
6 June 2024, 7:27 PM
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa 2024 Ndg. Godfrey Eliakimu Mzava amekipongeza kikundi cha vijana cha Tuinuane kilichopo katika kijiji cha Mandiwa ambacho kinajihusisha na ufugaji wa ng’ombe na uuzaji wa maziwa kwa kutoka kukaa tu mitaani na…
22 May 2024, 1:34 PM
Wajumbe wapya wa bodi, mameneja, wajumbe wawakilishi pamoja na makarani wapya wa vyama vya msingi wakipatiwa mafunzo na kujengewa uwezo katika kazi na kukumbushwa majukumu yao. Na Lilian Martin Pamoja na kukumbusha juu ya majukumu yao katika kazi walipata nafasi…
20 May 2024, 10:02 PM
Mkaguzi wa Polisi ametoa elimu ya polisi jamii kwa waendesha pikipiki yaani bodaboda katika kata ya Napupa mtaa wa Wapiwapi eneo la standi ya mabasi wilaya ya Masasi mkoani Mtwara. Elimu iliyotolewa na mkaguzi huyo Inspekta Saada katika eneo hilo…
10 May 2024, 5:30 PM
Mbunge wa Jimbo la Masasi mjini,Geofrey Mwambe (CCM) ametoa vifaa tiba katika kituo cha Afya cha kata ya Mtandi halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara ili kuweza kuhimarisha upatikanaji wa huduma bora ya afya kwa wananchi wa kata hiyo, vifaa…
3 May 2024, 7:42 PM
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Masasi chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Hashim Namtumba April 30, 2024 limepokea, kujadili na kupitisha taarifa za kata robo ya tatu, 2023/2024 katika mkutano wa Baraza la Madiwani Baraza hilo limepokea, kujadili na kupitisha…
1 May 2024, 12:08 PM
Na Lilian Martin. Masasi. Ndugu Habibu Yahya Waziri mkazi wa Nyasa Masasi mwanye umri wa miaka 22 amehukumiwa kifungo Cha miaka 39 jela Kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 10 ambaye ni mwanafunzi wa darasa la Tano…
1 May 2024, 11:50 AM
Na Lilian Martin, Masasi Mkazi wa mtaa wa Dodoma Wilayani Masasi Saidi Bakari mwenye umri wa miaka 42 anaye jishughulisha na ushonaji wa viatu ahukumiwa kifungo Cha miaka 30 jela Kwa kosa la Kumbaka Bi Eva chande mkazi wa mtaa…
22 April 2024, 5:39 PM
Na Lilian Martin Ni mwenyekiti wa CCM wilaya Masasi mwenyekiti wa CCM wilaya ya Masasi Bi Mariam Kasembe ameahidi kuandika historia mpya licha ya kuwa na historia ndefu nyuma uongozi, maumivu na kukatishwa tamaa amesemakuwa safari yake ya kuongozi ilianza…
22 April 2024, 4:16 PM
Wakulima wakiwa katika kikao Na Lilian Martin Masasi wakulima kutoka vijiji vya Chilimba Lisanje na Misechela vilivyopo Wilayani Masasi wamefanya kikao kilicho hudhuriwa na diwani wa kata hiyo mh.Juma Satma kilicho lenga adhima ya kupata chama Cha msingi kipya na…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara