Radio Fadhila
Radio Fadhila
9 October 2024, 10:44 PM
pichani ni Mwenyekiti CCM Wilaya ya Masasi Na Lilian Martin. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Masasi Bi.Mariam Kasembe amewahakikishia Wananchi wa Masasi kuwa miradi mingi ambayo ilihaidiwa kwenye ilani ya utekelezaji wa CCM kwamba miradi hiyo imeenda vizuri…
9 October 2024, 8:21 PM
Christine simo akiwa na familia Na. Lilian Martin Familia ya kijana anaye fahamika kwa jina la Bw. Issaya mkazi wa Masasi mtaa wa Nyasa ambaye kwa sasa yupo hospital Muhimbili kwa ajili ya matibabu imepokea msaada kutoka shirika lisilo la…
4 October 2024, 7:50 PM
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala amefanya kikao na waendesha maghala ,Viongozi wa Amcos pamoja na wasifirishaji wilayani Masasi. Katika kikao hicho Mhe.Sawala amewataka wadau hao kusimamia Ubora wa zao la korosho ili kuhakikisha linaleta tija kwa…
2 October 2024, 7:09 PM
Pichani ni Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe Waziri wa Kilimo Mh.Hussein Bashe ametembelea katika Halmashauri ya Wilaya Masasi na kupata wasaa wa kusalimiana na viongozi mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Masasi leo tarehe 02/10/2024…
2 October 2024, 10:46 AM
Bi Christine simmo akiwa na wanafunzi shule ya watoto wenye mahitaji maalumu Lukuledi Na. Lilian Martin shirika lisilo la kiserikali Upendo charity limetembelea shule ya watoto wenye mahitaji maalum Lukuledi kwa lengo la kufuatilia maendeleo ya watoto wenye ulemavu waliopelekwa…
1 October 2024, 4:49 PM
Na. Lilian Martin Chama Kikuu cha ushirika MAMCU kimeuza tani 2536 za Mbaazi katika mnada wa Nne uliofanyika katika Shule ya Sekondari Chiungutwa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, bei ya juu ikiwa ni Tsh.1810 na bei ya chini ikiwa ni…
1 October 2024, 4:36 PM
MASASI. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mtwara Comrade Mobutu Malima amefanya mkutano na Wajumbe wa Chama hicho kutoka Wilaya ya Masasi ikiwa ni sehemu ya kuja kijitambulisha Baada ya kuteuliwa kuwa Katibu wa Ccm Mkoa wa Mtwara. Akizungumza…
11 September 2024, 5:44 PM
Utambuzi wa noti halali Benki Kuu ya Tanzania (BoT) tawi la Mtwara imetoa elimu ya namna bora ya utunzaji wa noti pamoja na utambuzi wa alama muhimu za usalama katika noti za Tanzania kwa watumishi wa halmashauri ya wilaya ya…
13 August 2024, 11:31 AM
Kikao cha utendaji Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha mapinduzi CCM Wilayani Masasi wamekutana katika ofisi za chama hicho Wilayani Masasi. Akizungumza katika Kikao hicho Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Mtwara NDG.JULIUS MSELECHE KAONDO ametoa nasaa kwa viongozi…
4 August 2024, 9:23 PM
Mbunge wa Jimbo la Masasi Mji Geoffrey Mwambe ameendelea na ziara yake katika kata ya Mkuti na kufanikiwa kuzungumza na wananchi waliofika eneo hilo. Akizungumza na wananchi Mhe Mb.Mwambe amesema wafanyabiashara waliopata maafa ya moto sokoni Mkuti ambao walikopa katika…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara