Radio Fadhila

Recent posts

9 October 2024, 10:44 PM

Miradi iliyoahidiwa kwenye ilani yatekelezwa

pichani ni Mwenyekiti CCM Wilaya ya Masasi Na Lilian Martin. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Masasi Bi.Mariam Kasembe amewahakikishia Wananchi wa Masasi kuwa miradi mingi ambayo ilihaidiwa kwenye ilani ya utekelezaji wa CCM kwamba miradi hiyo imeenda vizuri…

9 October 2024, 8:21 PM

Familia ya aliyekuwa Muhimbili yahudumiwa na wasamaria wema

Christine simo akiwa na familia Na. Lilian Martin Familia ya kijana anaye fahamika kwa jina la Bw. Issaya mkazi wa Masasi mtaa wa Nyasa ambaye kwa sasa yupo hospital Muhimbili kwa ajili ya matibabu imepokea msaada kutoka shirika lisilo la…

4 October 2024, 7:50 PM

Usimamizi wa ubora katika mazao huleta tija kwa wakulima, taifa

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala amefanya kikao na waendesha maghala ,Viongozi wa Amcos pamoja na wasifirishaji wilayani Masasi. Katika kikao hicho Mhe.Sawala amewataka wadau hao kusimamia Ubora wa zao la korosho ili kuhakikisha linaleta tija kwa…

2 October 2024, 7:09 PM

Karibu Waziri wa Kilimo, asante kwa kutufikia

Pichani ni Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe Waziri wa Kilimo Mh.Hussein Bashe ametembelea katika Halmashauri ya Wilaya Masasi na kupata wasaa wa kusalimiana na viongozi mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Masasi leo tarehe 02/10/2024…

2 October 2024, 10:46 AM

Shule maalum Lukuledi watembelewa na Upendo charity

Bi Christine simmo akiwa na wanafunzi shule ya watoto wenye mahitaji maalumu Lukuledi Na. Lilian Martin shirika lisilo la kiserikali Upendo charity limetembelea shule ya watoto wenye mahitaji maalum Lukuledi kwa lengo la kufuatilia maendeleo ya watoto wenye ulemavu waliopelekwa…

1 October 2024, 4:49 PM

Mnada wa nne wa Mbaazi MAMCU wauza kwa bei ya sh.1810

Na. Lilian Martin Chama Kikuu cha ushirika MAMCU kimeuza tani 2536 za Mbaazi katika mnada wa Nne uliofanyika katika Shule ya Sekondari Chiungutwa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, bei ya juu ikiwa ni Tsh.1810 na bei ya chini ikiwa ni…

1 October 2024, 4:36 PM

Comrade Mobitu ajitambilisha kwa wanachama baada ya kuteuliwa

MASASI. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mtwara Comrade Mobutu Malima amefanya mkutano na Wajumbe wa Chama hicho kutoka Wilaya ya Masasi ikiwa ni sehemu ya kuja kijitambulisha Baada ya kuteuliwa kuwa Katibu wa Ccm Mkoa wa Mtwara. Akizungumza…

13 August 2024, 11:31 AM

Jumuiya ya wazazi Masasi wakutana na kupewa nasaha

Kikao cha utendaji Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha mapinduzi CCM Wilayani Masasi wamekutana katika ofisi za chama hicho Wilayani Masasi. Akizungumza katika Kikao hicho Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Mtwara NDG.JULIUS MSELECHE KAONDO ametoa nasaa kwa viongozi…

4 August 2024, 9:23 PM

Mbunge Masasi awafikia wafanyabiasha walioathiriwa na kuungua kwa soko

Mbunge wa Jimbo la Masasi Mji Geoffrey Mwambe ameendelea na ziara yake katika kata ya Mkuti na kufanikiwa kuzungumza na wananchi waliofika eneo hilo. Akizungumza na wananchi Mhe Mb.Mwambe amesema wafanyabiashara waliopata maafa ya moto sokoni Mkuti ambao walikopa katika…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara