Radio Fadhila
Radio Fadhila
1 October 2024, 4:36 PM
MASASI. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mtwara Comrade Mobutu Malima amefanya mkutano na Wajumbe wa Chama hicho kutoka Wilaya ya Masasi ikiwa ni sehemu ya kuja kijitambulisha Baada ya kuteuliwa kuwa Katibu wa Ccm Mkoa wa Mtwara. Akizungumza…
11 September 2024, 5:44 PM
Utambuzi wa noti halali Benki Kuu ya Tanzania (BoT) tawi la Mtwara imetoa elimu ya namna bora ya utunzaji wa noti pamoja na utambuzi wa alama muhimu za usalama katika noti za Tanzania kwa watumishi wa halmashauri ya wilaya ya…
13 August 2024, 11:31 AM
Kikao cha utendaji Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha mapinduzi CCM Wilayani Masasi wamekutana katika ofisi za chama hicho Wilayani Masasi. Akizungumza katika Kikao hicho Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Mtwara NDG.JULIUS MSELECHE KAONDO ametoa nasaa kwa viongozi…
4 August 2024, 9:23 PM
Mbunge wa Jimbo la Masasi Mji Geoffrey Mwambe ameendelea na ziara yake katika kata ya Mkuti na kufanikiwa kuzungumza na wananchi waliofika eneo hilo. Akizungumza na wananchi Mhe Mb.Mwambe amesema wafanyabiashara waliopata maafa ya moto sokoni Mkuti ambao walikopa katika…
4 August 2024, 8:59 PM
Mashabiki wakiwa shule maalum Wanachama na Mashabiki wa Timu ya Simba sports Club Wilaya ya Masasi wamesherekea kilele cha Tamasha la ubaya ubwela kwa kutoa misaada mbalimbali kwa wahitaji Tamasha hilo limehitimishwa kwa Kutoa Misaada ya kijamii katika Hospitali ya…
4 July 2024, 2:21 PM
Pichani ni Rc akitoa pongezi Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala ameipongeza Halmashauri ya Mji Masasi kwa kupata hati safi katika taarifa ya Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2022/2023. Kanali Sawala amesema…
1 July 2024, 8:29 AM
Mkutano wa wanyeviti kata ya nyasa Katika mkutano wa wenyeviti wa kata ya Nyasa uliofanyika eneo la Maendeleo kwa lengo la kuwaaga wananchi wao katika kata ya Nyasa wilayani Masasi. Taasisi ya Upendo Charity ilipata nafasi ya kutoa elimu kwa…
22 June 2024, 5:47 PM
Mkuu wa Wilaya ya Masasi Lautel John Kanoni ameongoza kikao cha dharura kilichowakutanisha vyombo vya ulinzi na usalama wilaya pamoja na wajumbe wa Kamati ya Afya Halmashauri ya Wilaya Masasi na kujadiliana kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha na kutapika…
22 June 2024, 5:25 PM
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mtwara DAVID MOLEN amesema katika kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu ni vizuri Wananchi wenye sifa ikiwemo uzalendo kujitokeza na kugombea nafasi hizo. Molen ametoa hamasa hiyo wakati akifanyiwa mahojino…
21 June 2024, 9:18 PM
Mhe Kanali Patrick Sawala alizungumza Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe: Kanali Patrick Kenan Sawala amezungumza na viongozi wa vyama vya ushirika katika jukwaa la maendeleo ya ushirika yaliyofanyika 20/06/2024 katika ukumbi wa Police mess Mtwara. Lengo la jukwaa hilo…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara