Radio Fadhila
Radio Fadhila
22/09/2025, 19:50
“Kama wana Masasi jumanne ya septemba 23, 2025 tuna kila sababu ya kwenda kumsikiliza mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, maana kuna mengi mazuri ameyatenda kwetu“ Na Neema Nandonde Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimesema kimejipanga…
19/09/2025, 12:43
Wakati mwingine wananchi hususani wanaoishi vijijini wanaishi kwa mazoea, kama mtu amezaliwa na kukulia kwenye nyumba isiyo na shimo la taka na yeye analazimisha aishi hivyo siku zote Na Neema Nandonde Kuelekea maadhimisho ya siku ya usafi duniani ambayo hufanyika…
14/09/2025, 18:14
Kuzaliwa mwanaume ni zawadi ila kuwa mwanaume ni maamuzi..msemo huu ukimaanisha kuwa mwanaume ni kutambua majukumu yanayo kupasa na kuyafanyia kazi. Ni katika maafali ya 24 yaliyofanyika shule ya wavulana Rondo Junior Seminar iliyopo Mtama Mkoa wa Lindi ambapo na…
26/08/2025, 19:53
“Tukichanja mbwa wetu, siku akikung’ata kutakuwa na madhara ya kawaida, tuhakikishe mbwa wanachanjwa ili kuepuka ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa“ Na Neema Nandonde Mkuu wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Rachel Kassanda amewataka wakazi wa wilaya hiyo kuwapa chanjo …
05/08/2025, 15:30
“Jamii iache kuishi kwa mazoea kwenye suala la malezi hususani unyonyeshaji wa maziwa ya mama ili kuwaandaa watoto wenye ukuaji bora kimwili na kiakili” Na Neema Nandonde Kufuatia maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani, jamii wilayani Masasi mkoani Mtwara, imeaswa…
01/07/2025, 08:11
“Victor Francis alikuwa ni muumini wa muda mrefu wa kanisa hilo na alikuwa akihudumiwa kwa maombi na marehemu Mchungaji kwa kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja kutokana na matatizo ya kiafya“ Na Neema Nandonde Jeshi la Polisi mkoani Mtwara linamshikilia…
26/06/2025, 11:19
“Mnaweza kusafisha ufuta vizuri na mkaufunga kwenye vifungashio, lakini watu wasio waaminifu wakaenda mbele wakabadilisha vifungashio wakaweka uchafu, MAMCU tutalidhibiti hilo kwa kuzalisha vifungashio vyetu vitakavyohifadhi mazao moja kwa moja” Na Neema Nandonde Chama kikuu cha Ushirika MAMCU kinachohudumia wakulima…
23/06/2025, 16:09
“Kutokana na ongezeko la wateja wanaohitaji huduma ya maji kupitia MANAWASA, kumesababisha chanzo chetu kuzidiwa hivyo kulazimika kuwa na mgao wa maji ili kila mteja asikose kabisa maji“ Na Neema Nandonde Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Masasi-Nachingwea…
19/06/2025, 09:37
“Familia nyingi zinaamua kukaa kimya pindi mwanafamilia anapomfanyia ukatili mtoto aliyeko ndani ya familia hiyo, kwa kuhofia kuwa wakiripoti tukio hilo mwanafamilia huyo atachukuliwa hatua“ Na Neema Nandonde Jamii wilayani Masasi mkoani Mtwara imetakiwa kuacha kuficha matukio ya ukatili dhidi…
16/06/2025, 21:47
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wamekumbushwa wajibu wao kwa watoto kwa kuzitambua haki za mtoto ili kuwalinda dhidi ya ukatili na kuwapa haki zao za msingi Na Lilian Martin Katika maadhimisho ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika Wilayani Masasi na…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara