Radio Fadhila

Recent posts

12 May 2025, 2:12 PM

Ashikiliwa kwa kukata nyeti za rafiki yake

Inadaiwa kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro uliotokana na tuhuma za wizi, ambapo mtuhumiwa alimshuku marehemu kuwa anamuibia baadhi ya vitu vyake. Na Lilian Martin Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia mtu mmoja aitwaye Wales Gerald (45), mkazi…

10 May 2025, 9:50 AM

Makala ya historia ya reli ya jimbo la kusini

Picha ya uzinduzi wa reli ya jimbo la kusini mwaka 1949. Picha na Google Na Neema Nandonde Sikiliza Makala fupi iliyoandaliwa na Neema Nandonde kuhusu Historia ya reli ya jimbo la Kusini Sauti ya Neema Nandonde kuhusu Historia ya reli…

10 May 2025, 9:20 AM

DC Kassanda asisitiza mabasi kuwa na madereva wawili safarini

Mkuu wa wilaya ya Masasi Bi. Rachel Kassanda akiwajulia hali majeruhi katika hospitali ya wilaya Mkomaindo. Picha na Halmashauri ya Mji Masasi Jeshi la Polisi fanya ukaguzi wa mara kwa mara wa kuhakikisha madereva wote wawili wanakuwepo kwenye mabasi yanayosafiri…

10 May 2025, 8:51 AM

UNESCO yaja  na  mradi  wa  kuwainua  vijana  Masasi

Mratibu wa mradi Bridge Tanzania kitaifa Bi Fatma Shabani Mrope. Picha na Google mradi huu utatekelezwa  kwa kipindi cha miaka mitano katika wilaya tatu ambazo  ni Masasi, Geita na Kaskazini Unguja, pia unawapa nafasi hawa Vijana na haswa Wanawake ni…

30 April 2025, 5:34 PM

Watu wasiojulikana wachoma vifaa kanisani Masasi

Haya ni mambo yanayojili katika jamii zetu na katika yote hivyo nawasamehe wale wote waliotenda hayo yamkini si akili yao Na Lilian Martin Watu wasiojulikana wamevamia katika kanisa Anglikana lililopo kijiji cha Mpeta wilayani Masasi mkoani Mtwara na kukusanya baadhi…

19 April 2025, 12:18 PM

DC Kasanda awataka wazee kusimamia nidhamu na maadili kwa jamii

Picha na Godbless Lucius Wazee na viongozi wa dini nahitaji ushirikiano wenu juu ya kujenga maadili na nidhamu kwa wananchi, ili kujenga kizazi bora chenye heshima Na Neema Nandonde Mkuu wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Rachel Kassanda, amewataka wazee…

19 April 2025, 11:44 AM

Makala aijibu CHADEMA kuhusu makaa  ya  mawe

Katibu wa NEC, itikadi, uenezi na mafunzo CCM taifa,  CPA Amos Makala akihutubia wanachama na wananchi wilayani Masasi. Picha na Godbless Lucius Si kila   gari lililobeba  makaa  ya  mawe ni kwaajili  ya kusafirisha  kwenda  kuuza nje  ya nchi, kuna  viwanda …

11 April 2025, 2:52 PM

TCRA yasisitiza matumizi ya namba 3 muhimu kudhibiti utapeli

Mhandisi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki Khatibu Chande, alipokuwa akizungumza kupitia redio Fadhila. Picha na Godbless Lucius Namba 15040 mwananchi ataitumia  kuripoti  namba  za  mtu anayejihusisha  na  utapeli wa kimtandao na  namba hizo bure bila malipo…

11 April 2025, 2:41 PM

Watoto kutelekezwa kwa bibi sababu ongezeko la watoto mitaani

Wazazi wengi huwapeleka watoto kwa ndugu akiwemo bibi au babu, pasi na kufuatilia maendeleo ya  watoto  hao au kuwapatia  mahitaji muhimu, jambo linalosababisha watoto kutoangaliwa ipasavyo na ndugu walioachiwa, na hatimaye kujikuta  wanajitafutia chakula, makazi na malazi mtaani. Na Neema…

11 April 2025, 2:26 PM

DC Masasi ahimiza jitihada zaidi kuinua kiwango cha elimu

Mkuu wa wilaya ya Masasi Bi. Rachel Kassanda akifuatilia baadhi ya matukio yaliyokuwa yanaendelea wakati wa mkutano wa hadhara. Picha na Godbless Lucius Wanafunzi waliotakiwa  kujiunga  na  kidato cha kwanza mwaka 2025, asilimia 98 wamesharipoti shuleni na kuanza masomo. Na…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara