Radio Fadhila

Recent posts

26/06/2025, 11:19

MAMCU yaongoza njia kupambania ushirika kwa vitendo

“Mnaweza kusafisha ufuta vizuri na mkaufunga kwenye vifungashio, lakini watu wasio waaminifu wakaenda mbele wakabadilisha  vifungashio wakaweka uchafu, MAMCU tutalidhibiti hilo kwa kuzalisha vifungashio vyetu vitakavyohifadhi mazao moja kwa moja” Na Neema Nandonde Chama  kikuu cha  Ushirika MAMCU kinachohudumia wakulima…

23/06/2025, 16:09

MANAWASA yakaribia kupata ufumbuzi kero mgao wa maji Masasi

“Kutokana  na  ongezeko  la  wateja  wanaohitaji  huduma ya  maji kupitia MANAWASA, kumesababisha  chanzo chetu kuzidiwa  hivyo  kulazimika  kuwa  na  mgao  wa  maji ili kila  mteja  asikose  kabisa maji“ Na Neema Nandonde Mamlaka ya  maji safi  na usafi  wa  mazingira Masasi-Nachingwea…

19/06/2025, 09:37

Usiri watajwa chanzo ukatili kwa watoto Masasi

“Familia nyingi zinaamua kukaa  kimya pindi  mwanafamilia  anapomfanyia  ukatili  mtoto aliyeko ndani ya  familia  hiyo, kwa kuhofia  kuwa wakiripoti tukio hilo mwanafamilia huyo atachukuliwa hatua“ Na Neema Nandonde Jamii wilayani  Masasi  mkoani Mtwara  imetakiwa  kuacha  kuficha  matukio ya  ukatili dhidi…

16/06/2025, 21:47

Maadhimisho ya mtoto wa Afrika wazazi wakumbushwa wajibu wao

Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wamekumbushwa wajibu wao kwa watoto kwa kuzitambua haki za mtoto ili kuwalinda dhidi ya ukatili na kuwapa haki zao za msingi Na Lilian Martin Katika maadhimisho ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika Wilayani Masasi na…

05/06/2025, 19:28

Masasi yaandika historia taka ngumu zikigeuzwa fursa

Taka zinazozalishwa majumbani na viwandani, bado ni fursa kwa jamii, badala  ya  kuzitupa mtaani wanaweza kutengeneza  mkaa mbadala ambao ni mzuri kwa afya ya  binaadam na mazingira. Na Neema Nandonde Kutokana na kuanzishwa kwa kituo cha elimu ya  mazingira kilichopo wilayani…

01/06/2025, 17:24

Sababu ya panya kufanywa kitoweo Masasi

Panya wanaoliwa si wale wanaoishi ndani ya nyumba bali wanaishi porini na wana lishe bora kutokana na kuharibu mazao ambayo mara nyingi wanakula viini ambavyo kitaalam ndivyo vina lishe. Na Neema Nandonde Kumekuwa na simulizi nyingi kuhusu vyakula vya asili…

01/06/2025, 16:54

Sumu kuvu chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume

 “Tatizo watanzania wengi wanatumia mazoea kwenye shughuli za kilimo, hili tumekutana nalo kwenye maeneo mengi nchini, wanavuna mahindi wanatupa chini (ardhini) kama njia ya kukausha, hii inasababisha uzalishaji  fangasi wanaosababisha Sumukuvu” Na  Neema Nandonde Jamii wilayani Masasi mkoani Mtwara imeshauriwa …

29/05/2025, 19:01

Kuomba misaada si kipaumbele kwake licha ya ulemavu alionao

Licha ya kuzaliwa akiwa mlemavu wa viungo Daisy hufanya shughuli zake kwa kutumia mikono na kutengeneza vitu mbalimbali ambavyo humfanya kumuingizia kipato. Na Lilian Martin Daisy Ajetu ni mama wa Familia anaishi Masasi mtaa wa Nyasa anajishughulisha na ubunifu wa…

20/05/2025, 20:46

Bibi mwenye miaka 89 aendelea na fani yake hadi sasa

Na Lilian Martin Licha ya umri alionao, Bibi Stefania Mmole amekuwa akifanya shughuli mbalimbali hali inayomfanya kuwa na nguvu tofauti na watu wa umri wake wanaokaa bila kufanya mazoezi. Stefania Saidi Mmole mwenye umri wa miaka 89 mkazi wa Masasi…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara