Radio Fadhila

Recent posts

22/09/2025, 19:50

CCM Masasi mguu sawa ujio wa Dkt Samia

“Kama  wana  Masasi jumanne ya  septemba 23, 2025 tuna  kila  sababu  ya  kwenda  kumsikiliza mgombea urais  kupitia  Chama  Cha Mapinduzi, maana kuna  mengi mazuri ameyatenda  kwetu“ Na Neema Nandonde Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya  Masasi  mkoani Mtwara kimesema  kimejipanga…

19/09/2025, 12:43

Wananchi acheni kupuuzia maelekezo yanayohusu usafi wa mazingira-Ame

Wakati mwingine wananchi hususani wanaoishi vijijini wanaishi kwa mazoea, kama mtu amezaliwa na kukulia kwenye nyumba isiyo na shimo la taka na yeye analazimisha aishi hivyo siku zote Na Neema Nandonde Kuelekea maadhimisho ya siku ya usafi duniani ambayo hufanyika…

14/09/2025, 18:14

Wanafunzi waanzilishi wakutana na kurudisha shukrani Rondo

Kuzaliwa mwanaume ni zawadi ila kuwa mwanaume ni maamuzi..msemo huu ukimaanisha kuwa mwanaume ni kutambua majukumu yanayo kupasa na kuyafanyia kazi. Ni katika maafali ya 24 yaliyofanyika shule ya wavulana Rondo Junior Seminar iliyopo Mtama Mkoa wa Lindi ambapo na…

26/08/2025, 19:53

Wakazi Masasi wasisitizwa chanjo kwa  wanyama wanaofugwa

“Tukichanja  mbwa wetu, siku  akikung’ata  kutakuwa  na  madhara  ya  kawaida, tuhakikishe  mbwa  wanachanjwa ili kuepuka  ugonjwa  hatari  wa  kichaa cha mbwa“ Na Neema Nandonde Mkuu  wa  Wilaya  ya Masasi  mkoani Mtwara, Rachel  Kassanda  amewataka  wakazi wa  wilaya  hiyo  kuwapa  chanjo …

05/08/2025, 15:30

Kumnywesha maji  mtoto aliye chini ya miezi 6 kunaharibu mfumo wa chakula

“Jamii  iache  kuishi  kwa  mazoea kwenye  suala  la   malezi hususani unyonyeshaji  wa maziwa  ya  mama ili  kuwaandaa  watoto  wenye  ukuaji  bora  kimwili  na  kiakili” Na Neema Nandonde Kufuatia  maadhimisho  ya  wiki  ya unyonyeshaji duniani, jamii wilayani Masasi  mkoani Mtwara, imeaswa…

01/07/2025, 08:11

Masasi: Muumini atuhumiwa kumuua mchungaji baada ya kumuombea

“Victor Francis alikuwa ni muumini wa muda mrefu wa kanisa hilo na alikuwa akihudumiwa kwa maombi na marehemu Mchungaji kwa kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja kutokana na matatizo ya kiafya“ Na Neema Nandonde Jeshi la Polisi mkoani Mtwara linamshikilia…

26/06/2025, 11:19

MAMCU yaongoza njia kupambania ushirika kwa vitendo

“Mnaweza kusafisha ufuta vizuri na mkaufunga kwenye vifungashio, lakini watu wasio waaminifu wakaenda mbele wakabadilisha  vifungashio wakaweka uchafu, MAMCU tutalidhibiti hilo kwa kuzalisha vifungashio vyetu vitakavyohifadhi mazao moja kwa moja” Na Neema Nandonde Chama  kikuu cha  Ushirika MAMCU kinachohudumia wakulima…

23/06/2025, 16:09

MANAWASA yakaribia kupata ufumbuzi kero mgao wa maji Masasi

“Kutokana  na  ongezeko  la  wateja  wanaohitaji  huduma ya  maji kupitia MANAWASA, kumesababisha  chanzo chetu kuzidiwa  hivyo  kulazimika  kuwa  na  mgao  wa  maji ili kila  mteja  asikose  kabisa maji“ Na Neema Nandonde Mamlaka ya  maji safi  na usafi  wa  mazingira Masasi-Nachingwea…

19/06/2025, 09:37

Usiri watajwa chanzo ukatili kwa watoto Masasi

“Familia nyingi zinaamua kukaa  kimya pindi  mwanafamilia  anapomfanyia  ukatili  mtoto aliyeko ndani ya  familia  hiyo, kwa kuhofia  kuwa wakiripoti tukio hilo mwanafamilia huyo atachukuliwa hatua“ Na Neema Nandonde Jamii wilayani  Masasi  mkoani Mtwara  imetakiwa  kuacha  kuficha  matukio ya  ukatili dhidi…

16/06/2025, 21:47

Maadhimisho ya mtoto wa Afrika wazazi wakumbushwa wajibu wao

Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wamekumbushwa wajibu wao kwa watoto kwa kuzitambua haki za mtoto ili kuwalinda dhidi ya ukatili na kuwapa haki zao za msingi Na Lilian Martin Katika maadhimisho ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika Wilayani Masasi na…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara