Radio Fadhila
Radio Fadhila
8 August 2023, 10:45 AM
Mratibu wa lishe Halmashauri ya Mji Masasi Happiness Mlamka ametoa rai kwa jamii ya Halmashauri ya Mji wa Masasi wakiwemo waajiri na kinababa Mkoani Mtwara kutoa ushirikiano wa kutosha kwa kinamama wanaonyonyesha watoto ili waweze kuwanyonyesha watoto wao katika hali…
12 June 2023, 12:23 PM
Takribani wajumbe 110 kutoka vyama vya ushirika wilaya za Masasi na Nanyumbu, wakiwemo makatibu, wahasibu na maafisi ushirika, wameshiriki katika mafunzo ya kujengewa uwezo wa kuendesha mfumo mpya wa ‘MUVU’ ili waweze kutekeleza majukumu yao kiufanisi na kidigitali zaidi. Mfumo huo…
8 June 2023, 9:55 AM
Shirika lisilo la kiserikali la DOOR OF HOPE lenye makao yake mkoani Mtwara limekutana na vijana zaidi ya 30 kutoka kata za Jida na Migongo ili kuwajengea uwezo wa utambuzi katika mradi wa Kijana Kwanza ambao unatekelezwa katika halmashauri ya…
8 June 2023, 9:49 AM
Mkuu wa wilaya ya Masasi Lauter Kanona amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wa kimila na kidini ndani ya wilaya hiyo, mazungumzo yaliyolenga kujitambulisha mbele ya jamii hiyo na kupokea maoni mbalimbali kutoka kwao. Miongoni mwa mambo ambayo yamejadiliwa…
29 May 2023, 10:14 AM
Nanyumbu Mkuu wa wilaya ya Nanyumbu Mariam Chaurembo ameliagiza Jeshi la Polisi wilaya ya Nanyumbu kumkamata na kumchukulia hatua kali za kisheria mwanamke aliyetambulika kwa jina la Zakia Yassini mzaliwa wa Maswera wilayani humo, umri wake ukikadriwa kuwa kati ya…
29 May 2023, 9:54 AM
MASASI Ili kutokomeza vitendo vya ukatili katika jamii , mkurugenzi wa asasi isiyo ya kiserikali kutoka mkoa wa Mtwara MTWANGONET, Fidea Luanda amesema ni wajibu wa kila mmoja katika katika jamii ukatimiaza majukumu yake ili kupunguza vitendo vya kikatili. Fidea …
29 May 2023, 9:32 AM
MASASI. Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na michezo Sports Development Aid SDA, limeunga mkono juhudu za serikali za kuhakikisha jamii inajengewa uwezo wa kuwa na afya njema kwa kugawa vifaa vya michezo kwa shule za msingi na sekondari za halmsahuri…
17 May 2023, 10:40 AM
17 April 2023, 9:15 PM
NANYUMBU Tanzania Commercial BankTawi la Wilaya ya Masasi Mjini leo imetoa msaada wa viti ,menza na kabati za kutunzia vifaa katika maktaba ya shule ya sekondari nangomba kama ilivyo sesturi waliojiwekea kama bank kurudisha faida kwenye jamii walicho vuna, mradi…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara