Radio Fadhila

Recent posts

22/05/2024, 13:34

Viongozi wa vyama vya msingi wapigwa msasa

Wajumbe wapya wa bodi, mameneja, wajumbe wawakilishi pamoja na makarani wapya wa vyama vya msingi wakipatiwa mafunzo na kujengewa uwezo katika kazi na kukumbushwa majukumu yao. Na Lilian Martin Pamoja na kukumbusha juu ya majukumu yao katika kazi walipata nafasi…

20/05/2024, 22:02

Waendesha pikipiki Masasi wapata elimu ya polisi jamii

Mkaguzi wa Polisi ametoa elimu ya polisi jamii kwa waendesha pikipiki yaani bodaboda katika kata ya Napupa mtaa wa Wapiwapi eneo la standi ya mabasi wilaya ya Masasi mkoani Mtwara. Elimu iliyotolewa na mkaguzi huyo Inspekta Saada katika eneo hilo…

03/05/2024, 19:42

Baraza la madiwani lapokea na kujadili taarifa za kata

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Masasi chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Hashim Namtumba April 30, 2024 limepokea, kujadili na kupitisha taarifa za kata robo ya tatu, 2023/2024 katika mkutano wa Baraza la Madiwani Baraza hilo limepokea, kujadili na kupitisha…

01/05/2024, 12:08

Jela miaka 30 aliyemlaghai mtoto kwa njiwa na simbilisi

Na Lilian Martin. Masasi. Ndugu Habibu Yahya Waziri mkazi wa Nyasa Masasi mwanye umri wa miaka 22 amehukumiwa kifungo Cha miaka 39 jela Kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka 10 ambaye ni mwanafunzi wa darasa la Tano…

01/05/2024, 11:50

Mshona viatu miaka 30 jela

Na Lilian Martin, Masasi Mkazi wa mtaa wa Dodoma Wilayani Masasi Saidi Bakari mwenye umri wa miaka 42 anaye jishughulisha na ushonaji wa viatu ahukumiwa kifungo Cha miaka 30 jela Kwa kosa la Kumbaka Bi Eva chande mkazi wa mtaa…

22/04/2024, 17:39

Ahaidi kuandika historia nyingine licha ya kuwa historia ndefu

Na Lilian Martin Ni mwenyekiti wa CCM wilaya Masasi mwenyekiti wa CCM wilaya ya Masasi Bi Mariam Kasembe ameahidi kuandika historia mpya licha ya kuwa na historia ndefu nyuma uongozi, maumivu na kukatishwa tamaa amesemakuwa safari yake ya kuongozi ilianza…

22/04/2024, 16:16

Waomba kujitoa katika chama Cha msingi walichopo na kupata chama kipya

Wakulima wakiwa katika kikao Na Lilian Martin Masasi wakulima kutoka vijiji vya Chilimba Lisanje na Misechela vilivyopo Wilayani Masasi wamefanya kikao kilicho hudhuriwa na diwani wa kata hiyo mh.Juma Satma kilicho lenga adhima ya kupata chama Cha msingi kipya na…

08/04/2024, 12:26

Meneja Crdb Masasi akanusha uvumi mkopo wa Mama Samia

mikopo Meneja wa Crdb Masasi Heriethi Rechengura akanusha upotoshwaji wa taarifa za mikopo inayo tolewa na Crdb Kwa akili ya kuwainua wanawake na kuitwa mikopo hiyo niya Mama Samia. Bi Herieth amekanusha uvumi huo Kwa kutoa ufafanuzi kuwa mikopo iliyopo…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara