Radio Fadhila

Recent posts

8 August 2023, 10:45 AM

Wazazi washauriwa kunyonyesha mtoto kwa wakati

Mratibu wa lishe Halmashauri ya Mji Masasi Happiness Mlamka ametoa rai kwa jamii ya Halmashauri ya Mji wa Masasi wakiwemo waajiri na kinababa Mkoani Mtwara  kutoa ushirikiano wa kutosha kwa kinamama wanaonyonyesha watoto ili waweze kuwanyonyesha watoto wao katika hali…

12 June 2023, 12:23 PM

Vyama vya ushirika Mtwara vyapigwa msasa kutumia mfumo mpya wa ‘MUVU’

Takribani wajumbe  110 kutoka  vyama vya ushirika wilaya za Masasi na Nanyumbu, wakiwemo makatibu, wahasibu na maafisi ushirika, wameshiriki katika mafunzo  ya kujengewa uwezo wa kuendesha mfumo mpya wa ‘MUVU’   ili waweze kutekeleza majukumu yao  kiufanisi na  kidigitali zaidi. Mfumo huo…

8 June 2023, 9:55 AM

Door of Hope wakutana na vijana, wawapa mbinu za utambuzi

Shirika lisilo la kiserikali la DOOR OF HOPE lenye makao yake mkoani Mtwara limekutana na vijana  zaidi ya 30 kutoka  kata za Jida na Migongo  ili kuwajengea uwezo wa utambuzi katika mradi wa Kijana Kwanza ambao unatekelezwa katika halmashauri ya…

8 June 2023, 9:49 AM

Mkuu wa wilaya Masasi, viongozi wa dini wakutana apokea maoni

Mkuu wa wilaya ya Masasi Lauter Kanona amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali wa kimila na kidini ndani ya wilaya hiyo, mazungumzo yaliyolenga  kujitambulisha  mbele ya jamii hiyo na kupokea maoni mbalimbali kutoka kwao. Miongoni mwa mambo ambayo yamejadiliwa…

29 May 2023, 10:14 AM

DC Chaurembo: Aliyejirekodi na kusambaza video chafu achukuliwe hatua

Nanyumbu Mkuu wa wilaya ya Nanyumbu Mariam Chaurembo ameliagiza Jeshi la Polisi wilaya ya Nanyumbu kumkamata na kumchukulia hatua kali za kisheria mwanamke aliyetambulika kwa jina la Zakia Yassini mzaliwa wa Maswera wilayani humo, umri wake ukikadriwa kuwa kati ya…

29 May 2023, 9:32 AM

Shirika la SDA lagawa vifaa vya michezo shule za msingi, sekondari Masasi

MASASI. Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na michezo Sports  Development Aid SDA, limeunga mkono  juhudu za serikali za kuhakikisha jamii inajengewa uwezo wa kuwa na afya njema   kwa kugawa vifaa vya michezo kwa shule za msingi na sekondari za halmsahuri…

17 April 2023, 9:15 PM

TCB Bank yatoa msaada shule ya sekondari Nangomba

NANYUMBU Tanzania Commercial BankTawi la Wilaya ya Masasi Mjini  leo imetoa msaada wa viti ,menza na kabati za  kutunzia vifaa katika maktaba ya shule ya sekondari nangomba kama ilivyo sesturi waliojiwekea kama bank  kurudisha faida kwenye jamii walicho vuna, mradi…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara